Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 9,426
- 28,232
Week end hii ilikuwa poa sana moja ya siku ambayo mashabiki wa Hip Hop Tanzania tuliisubiria sana
Jongwe na wasanii wengine walikuwepo kwenye usiku wa Prof Jay kutambua mchango wake katika game ya rap nchini. Huu ni ukweli usiopingika Jay alistahili though kwa kuchelewa lakini si haba
Tukirudi katika muziki wa bongo flava anayestahili kufanyiwa event kama hii ni mjukuu wa mzee Sykes, Dully. Sijui kama wasanii wenzake wa bongo flava watakuwa tayari.
Ila tuliona kwenye usiku wa Jay, Nikki Mbishi, Songa, Joh Makini na wengine wakiimba na kufanya back vocals ya ngoma za Jay walishoo love sana. Mbishi aliimba hit songs zote za Jay.
Dully ndiye king wa bongo flava. Alileta mapinduzi makubwa kwenye kiwanda cha flava za kibongo.
Jongwe na wasanii wengine walikuwepo kwenye usiku wa Prof Jay kutambua mchango wake katika game ya rap nchini. Huu ni ukweli usiopingika Jay alistahili though kwa kuchelewa lakini si haba
Tukirudi katika muziki wa bongo flava anayestahili kufanyiwa event kama hii ni mjukuu wa mzee Sykes, Dully. Sijui kama wasanii wenzake wa bongo flava watakuwa tayari.
Ila tuliona kwenye usiku wa Jay, Nikki Mbishi, Songa, Joh Makini na wengine wakiimba na kufanya back vocals ya ngoma za Jay walishoo love sana. Mbishi aliimba hit songs zote za Jay.
Dully ndiye king wa bongo flava. Alileta mapinduzi makubwa kwenye kiwanda cha flava za kibongo.