Diamond Platnumz️ ni mwizi wa nyota za wasanii wenzake?

Diamond Platnumz️ ni mwizi wa nyota za wasanii wenzake?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
3,808
Reaction score
11,894
Wadau habari zenu? Hili suala la diamond platnumz kuhusishwa na kupoka nyota za wasanii wenzake, hasa wale wanaofanya vizuri kwa kipindi fulani, limeshika kasi sasa.

Hivi karibuni kumekuwa na mijadala mbalimbali mitandaoni kuhusu kupokwa kwa nyota ya msanii Jay melody aliyetamba ni nyimbo kadhaa hapo nyuma.

Wadau wanadai Jay melody baada tu kufanya wimbo wa pamoja na diamond platnumz ndio basi tena, hasikiki tena. Hata akitoa wimbo sasa hivi haufiki mbali kama hapo awali.

Hata hivyo msanii Jay melody amekanusha vikali madai hayo ya kuibiwa nyota yake.


 
Wadau habari zenu? Hili suala la diamond platnumz kuhusishwa na kupoka nyota za wasanii wenzake, hasa wale wanaofanya vizuri kwa kipindi fulani, limeshika kasi sasa.

Hivi karibuni kumekuwa na mijadala mbalimbali mitandaoni kuhusu kupokwa kwa nyota ya msanii Jay melody aliyetamba ni nyimbo kadhaa hapo nyuma.

Wadau wanadai Jay melody baada tu kufanya wimbo wa pamoja na diamond platnumz ndio basi tena, hasikiki tena. Hata akitoa wimbo sasa hivi haufiki mbali kama hapo awali.

Hata hivyo msanii Jay melody amekanusha vikali madai hayo ya kuibiwa nyota yake.


View attachment 3574166
Waafrica tuna safari ndefu sana
 
Hahahaaa!!
Piga kazi dangote.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Hii nchi inawatu wajinga sana aiseee, hizi lawama zote nisababu hiki chama....🤒
 
Wadau habari zenu? Hili suala la diamond platnumz kuhusishwa na kupoka nyota za wasanii wenzake, hasa wale wanaofanya vizuri kwa kipindi fulani, limeshika kasi sasa.

Hivi karibuni kumekuwa na mijadala mbalimbali mitandaoni kuhusu kupokwa kwa nyota ya msanii Jay melody aliyetamba ni nyimbo kadhaa hapo nyuma.

Wadau wanadai Jay melody baada tu kufanya wimbo wa pamoja na diamond platnumz ndio basi tena, hasikiki tena. Hata akitoa wimbo sasa hivi haufiki mbali kama hapo awali.

Hata hivyo msanii Jay melody amekanusha vikali madai hayo ya kuibiwa nyota yake.


View attachment 3574166
Imani potofu kabisa
 
Harmonize na rayvany wenyewe hawakuibiwa hizo nyota zao?
 
Back
Top Bottom