Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Matonya amesema "inamuumiza sana na siwezi kuisema kiukubwa lakini naweza kusema hiyo picha mbaya ya ubakaji ndio inaniumiza zaidi kwa kweli walioamua kuiweka hivyo au kuipanga hivyo mpaka...
1 Reactions
12 Replies
576 Views
UGOMVI WA SISTER P & ZAY B "Tangu zamani nilikuwa naficha lakini leo itabidi niseme ukweli, Mimi na Zay B hazijawahi kuiva, haziivi na haziji kuiva yaani yule mtoto hapana hatuendani, na yeye Zay...
0 Reactions
3 Replies
390 Views
Kwa wapenzi wa Movies za action za Mishen (Mission) Impossible hii sura ama huyu mwigizaji siyo geni. Muigizaji maarufu Mmrekani mweusi anayependwa sana (beloved) Ving Rhames 66 yrs amelazwa...
7 Reactions
14 Replies
511 Views
Angeendele kuishi Tanzania angekuwa anatembelea mkongojo kama siyo kutangulia mbele ya haki.
6 Reactions
13 Replies
759 Views
Kuna bendi moja kongwe ya muziki wa dansi, sitaitaja jina. Wanamuziki wake walipukutika kama Uyoga ndani ya miongo miwili ni kama walikwisha. Unajua sababu? Jimama la Kimanyema mixer Kiarabu...
47 Reactions
273 Replies
24K Views
Ni watangazaji wa mwanzoni kabisa wakati ITV inaanzishwa walinogesha mno kipindi cha muziki muziki. Sunday yuko BBC kama sikosei ila Monica sijui alipo. Nawatakia mafanikio mema.
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Wana JF, habari zenu. Zanzibar ni kisiwa cha marashi, sifa yake duniani kote ni fukwe safi na utalii wa kiwango cha juu. Lakini kwa mrembo Mmarekani Ashlee Jenae (31), ambaye amejijengea...
2 Reactions
32 Replies
1K Views
LAGOS — The Ologolo branch of Harvesters International Christian Centre has surged into the spotlight as online conversations intensify around its lead pastor, Bolaji Idowu, following a series of...
1 Reactions
2 Replies
325 Views
Nimeangalia series nyingi za Kikorea lakini sijawahi kuona jamaa ambaye anaweza kuvaa character ya Ujambazi na kuwa na kiherehere kama huyu jamaa Huyu jamaa kaigiza kwenye East Of Eden, Secret...
2 Reactions
3 Replies
415 Views
Msanii Mkongwe wa Filamu Nchini Hashim Kambi amefariki dunia hii leo April 27, 2026 ambapo taarifa za kifo chake zimethibitishwa na Msemaji wa Shirikisho la Filamu Nchini Coletha Raymond...
17 Reactions
68 Replies
3K Views
Umaarufu kitaifa kwenye sanaa, michezo, mitandaoni, n.k. Tuelewane kidogo, wawe ni vijana wasiozidi miaka 40 walioishi na kukulia huko, sio wazazi kutokea huko. 1. Katavi 2. Mara 3. Lindi 4...
3 Reactions
33 Replies
974 Views
Habari nataka kujua huyu msanii SPARK yupo wapi? Je, anaendelea na muziki au ameacha? Nakumbuka alitamba sana na Nyimbo yake ya USINIACHE?
2 Reactions
35 Replies
8K Views
Ukwaju wa kitambo Leo nimebahatika kukutana na msanii Kigwema Bosco kwa jina Maarufu anafahamika kama kigwema. Ni msanii wa zamani wa Bongo Fleva. Naimani unatamkumbuka kwa ngoma kali kama Vile...
1 Reactions
12 Replies
519 Views
BREAKING NEWS: Pastor Jerry Eze Trends Amid Debate Over Publicized Charity Works Nigeria’s social media landscape is once again abuzz as Pastor Jerry Eze, convener of the widely followed NSPPD...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Gangster Hiphop ya Arusha, Muziki unaosambaza mbolea ya magenge, mihadarati, uhalifu na vurugu, ukifumbiwa macho ukamea ni bomu linalosubiri kulipuka Muziki wa hiphop wa Arusha unazidi...
3 Reactions
26 Replies
647 Views
Hawa wanawake wengine ni shida, ya ndani analeta hapa mtandaoni kweli dah. somenihapo chini (instagram) joycekiriasuperwoman Kilewo baba Watoto wangu, yaliyotokea ilibidi yatokee ili kila...
15 Reactions
574 Replies
89K Views
Chama cha Ma-DJ kule Nigeria kimetangaza mgomo wa kupiga nyimbo za Burna Boy. Wamepiga marufuku Ma-DJ wote ndani na nje ya nchi kupiga ngoma za msanii huyo sehemu yoyote. Kisa na mkasa ni kwamba...
2 Reactions
10 Replies
637 Views
🧵 TAFAKURI: Maisha ya Wasanii Nyuma ya Pazia – Kuna Nini Kinaendelea? Kuna jambo huwa linanikaa kichwani kila mara ninaposikia habari za wasanii kufariki katika mazingira ya kutatanisha. Sio kwa...
2 Reactions
10 Replies
835 Views
HADITHI YA CINDY LE CŒUR MAMACY LA VOIX QUI DEVINT REINE : HISTOIRE DE CINDY LE CŒUR 01) Alizaliwa tarehe 11 Novemba 1983, Candy Nkunku anafahamika na kuheshimiwa katika jukwaa la muziki wa Congo...
7 Reactions
11 Replies
395 Views
Msanii wa Bongo Flava, Matonya (Sefu Shabani Ramadhan), amefunguliwa mashtaka ya ubakaji mjini Mombasa, Kenya kufuatia tukio linalodaiwa kutokea Aprili 7, 2026. Matonya, anayejulikana kwa nyimbo...
7 Reactions
59 Replies
2K Views
Back
Top Bottom