Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimeangalia hoja za Steve kuhusu kauli alizotoa Mh Msigwa bungeni jamaa amekuja na kashfa na sio hoja kwa nini anastahili nafasi aliyopewa na Mh Kigwangala. Hivi ina maana anaamini kuwa anaweza...
11 Reactions
81 Replies
13K Views
Masanii wa muziki wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz amepata maualiko rasmi wa kuhudhuria michezo ya NBA All-Star ambayo itafanyika mjini Chicago Marekani kuanzia Februari 14 hadi 16 mwaka huu. Ommy...
5 Reactions
59 Replies
8K Views
Abel Loshilaa Motika, maarufu kama Mr. Ebbo, alizaliwa tarehe 26 Mei 1974 jijini Arusha na alikuwa msanii wa muziki wa hip hop kutoka Tanzania. Alijipatia umaarufu wake kupitia wimbo wake "Mimi...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Salute kwenu JF bosses! Kutokana na usaliti wao kwa wananchi na kuwakumbatia watawala waliofanya mauaji ya kikatili October 29 ya mwaka 2025, ni dhahiri shairi sasa HAKUTAKUWA na MSANII...
20 Reactions
65 Replies
2K Views
Mbona kama nuru imepotea ghafla kwa Idris Sultan, Nini kimemsibu star huyu?
12 Reactions
263 Replies
10K Views
Fikiria MC Pilipili anauwawa kama kuku mchana peupe. Mlinyamaza Gen Z wakiuawa sasa ona yanayoendelea. Tukemee Uovu, tupone.
6 Reactions
25 Replies
843 Views
ninayoandika hapa simsingizii mtu bali natoa habari zangu kwenye vyanzo vya uhakika. sasa hivi mc pilipili ana trend baada ya kutangaza kuachana na mwanamke wake na kwenda mbali zaidi kusema ana...
28 Reactions
219 Replies
11K Views
Wakuu naona Manara hajakatia tamaa bado suala la ndoa, amedai watoto wazuri wanazaliwa kila siku anaachaje kuoa kwa mfano
1 Reactions
10 Replies
378 Views
Mange Kimambi: Mwanaharakati mwiba wa serikali ya Magufuli Ikiwa ni zaidi ya miaka miwili sasa tangu Rais John Magufuli wa Tanzania aingie madarakani, rais huyo ameonesha kutokusita kukabiliana na...
12 Reactions
168 Replies
17K Views
Wakuu, Hivi ni nini hasa kilikuwa kinamsumbua MC Pilipili? Nimeona kwa hii video akiwa anazungumzia kipindi ambacho hakuwa sawa na alikuwa anapitia msongo wa mawazo. Ni kuachwa na mkewe tu ndo...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Ni ukweli usiopingika kwamba kwa sasa Tanzania kuna wanawake ambao pasipo kuangalia mazingira ya walipotoka, ila kwa sasa wapo kwenye daraja la juu sana, both kwenye upande wa umaarufu, pesa, high...
1 Reactions
47 Replies
3K Views
Yaliyojiri siku za karibuni, Kuna taarifa kwamba mama yake Hamisa Mobeto ambae ni Mama Mobetto amemnyakua bwana/ mume wa boss wa kitambaa cheupe Jesca Kikumbi. Kufuatia mnyakuo huo bi Jesca...
18 Reactions
129 Replies
10K Views
Wakuu, Mpoto huyu alikuwa wa moto bwana, inspiration kwa wengi, hata ambao tunapenda kuandika tulikuwa tunapata madini ya kuongeza nondo kwenye articles, mashari, na analysis mbalimbali Mpoto...
3 Reactions
6 Replies
268 Views
Ukitaka kumpa adhabu celebrity au socialite. Achana na habari za unfollow. Unfollow haimuumizi sana mtu aliyejenga brand na anaaminika sababu mitikasi yake itaendelea kumuendea. Ukitaka kumpa...
22 Reactions
34 Replies
1K Views
Nimejaribu kumsikiliza huyu dada Nicole Franklin Miss Shinyanga 2014 kuhusu mahusiano yake na MC Pilipili au Emmanuely yalivyovunjika lakini hayaeleweki maana inaonekana huyu dada alimpenda sana...
0 Reactions
119 Replies
18K Views
Mc na Mchungaji pilipili ameweka wazi kuwa alijichanganya na kuoa mwanamke aliyejaa tamaa ya maisha ya juu hivyo anajuta sana na kutoa ushauri kuwa vijana kuwa makini wanapochagua wanawake wa kuoa...
33 Reactions
416 Replies
17K Views
Nimejiuliza ila sijapata jibu. Maana ukikutana na msanii hata kama anamiliki Passo ambayo watu wengine huwa tunauziwa milioni saba, yeye atakwambia amenunua milioni kumi na tano! Jana nimeshangaa...
6 Reactions
81 Replies
10K Views
Idris Sultan ni miongoni mwa mastaa waliopata pesa nyingi wakiwa wadogo, na wakapata umaarufu wakiwa wadogo. Idris aliwahi kushiriki shindano la Big Brother na kitoka kitita cha mamilioni na...
2 Reactions
36 Replies
1K Views
Hizi ripoti asipuuze mshua, hali ya maisha inazidi kuwa mbaya sana. Gharama za hizo semina didimizi zingeweza kununua madawa ya kutosha zahanati zote nchini. Yale matrekta pale Suma Jkt yatakuja...
4 Reactions
33 Replies
9K Views
Back
Top Bottom