Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ushauri kwa nikki unakuwa fala chalii, fla kweli kweli
68 Reactions
997 Replies
153K Views
Kifo cha Kibo Marealle kimenishtua sana, hasa kwa kuzingatia kwamba alikuwa bado kijana. Cha kusikitisha zaidi ni kwamba muda mfupi kabla ya mauti kumfika, usiku huo alikuwa kwenye sherehe...
2 Reactions
74 Replies
20K Views
Habari Wakuu, Taarifa inataarifu mlembwende huyo ambaye ni influensa kutoka USA amefia kwenye moja ya Resort ya hali ya juu hapa TZ. Hii habari ni ya zamani mimi ilinipita au ni manga'nyu...
4 Reactions
11 Replies
414 Views
Mitandao ya kijamii imetoa fursa kubwa sana kwa mtu yeyote ‘kwenda mjini’ chap. Hii ni orodha ya baadhi ya watu ambao kusingekuwa na intaneti, wasingepata umaarufu walioupata. DKT. LOUIS SHIKA...
42 Reactions
96 Replies
11K Views
Kuna tetesi mwanamuziki A.K.A kutoka South Africa amepigwa risasi huko Durban, South Africa A.K.A aliwahi kushirikiana na mwanamuziki Diamond miaka ya nyuma wakachia kibao kinaitwa 'Make Me Sing'...
17 Reactions
382 Replies
46K Views
Mrisho Mpoto Watanzania wengi wanamjua Msanii Mrisho Mpoto ambaye anafahamika si tu kwa kazi zake, bali pia kwakuwa hutembea peku peku wakati mwingi. Mpoto amejipatia umaarufu kwa utaratibu wake...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
African Princess Records inapenda kuwataarifu rasmi wadau wa muziki, vyombo vya habari, na mashabiki wote kuwa msanii wetu mpendwa Yasirun Yasin Shaban, anayefahamika zaidi kwa jina la kisanii...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Mdogo wa Martha Mwaipaja aanika mabaya ya dada yake akidai kuwa Martha Mwaipaja ana fedha nyingi sana lakini hamsaidii mama yake vilevile akidai kuwa amejitenga na ndugu zake Tazama Video hizi...
18 Reactions
291 Replies
18K Views
Mama mzazi wa Martha Mwaipaja amezungumza na kuthibitisha kuwa yale yaliyosemwa na mdogo wake, Beatrice Mwaipaja kuwa muimbaji huyo wa 'Hatufanani' hamsaidii. Akizungumza kwa uchungu kwenye...
8 Reactions
206 Replies
14K Views
Mchungaji aanika machafu yote ya Martha Mwaipaja katika ukurasa wa Facebook Mchungaji anadai Martha Mwaipaja anajihusisha na vitendo vichafu vya usa**ji) visivyokubalika ndani ya jamii ya...
8 Reactions
142 Replies
10K Views
Wambea wa Jf Nimeisikilza hii habar mara 10 na sjjapata jibu. Nilivoelewa n kama Joan apendi martha kuwa au kuwasiliana na mama ake. Mlioelewa Joan n rafiki wa martha Joan n mtoto wa martha? Joan...
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Ama kwa hakika ukiwa mtu wa watu wala hutumii nguvu. Kila la heri Mh Mbunge wa milele wa Mbeya Mjini
11 Reactions
63 Replies
12K Views
  • Redirect
Pipijojo Ahamia Rasmi Kwa Nandy (The African Princess) – Mwanzo Mpya Wa Moto! 🔥 Msanii chipukizi mwenye kipaji kikubwa, Pipijojo, anaendelea kupiga hatua kubwa kwenye tasnia ya muziki Tanzania...
0 Reactions
Replies
Views
Ninapoongelea kipaji wengi tunaelewa: ni kama kalama au ID ambayo unazaliwa nayo So Huwa nikitulia home na pc yangu ninamtindo wa kupakua beat na kuingiza saut mwisho na play kwa kujisikiliza...
4 Reactions
15 Replies
251 Views
Malipo ni hapa hapa. Ulimbukeni wa kupata mwanamke mzuri, ulimfanya Nikki wa Pilli kusema, "Mwanadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni mwanamke, na sio mwanaume kama Biblia inavyosema" - hio ilikuwa...
25 Reactions
210 Replies
17K Views
Jamaa anavuta ganja hospitali bila tabu kabisa Soma pia Rapa wa Marekani, Offset apigwa risasi Florida
6 Reactions
14 Replies
522 Views
Wazee mtajiongeza wenyewe kuna hot cake moja nimerushiwa hapa ya mke wa mheshimiwa kijana yule wa Arusha anayependa kumpost sana mke wake amepigiwa mke wake aisee kwa ninavyomjua yule mheshimiwa...
61 Reactions
1K Replies
119K Views
Mchekeshaji maarufu kutoka Senegal na ambaye anaishi Italy ameepuka mtego wa wazungu Mwaka 2024 mwezi wa sita alifunga Harusi ya kiisilamu na mwadada , Wendy Thembelihle. Mwaka huu mke wake...
19 Reactions
32 Replies
912 Views
Back
Top Bottom