Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Lilikuwa ni suala la muda tu. Hatimaye imetiki. Pepsi imemvua ubalozi diamond , hivyo diamond ameondoa utambulisho rasmi wa yeye kama balozi wa pepsi Tanzania. Sasa hapa inabidi nguvu nyingine...
31 Reactions
33 Replies
4K Views
Mzee Yusufu Kaimu mchekeshaji mkongwe maarufu kama Pembe afariki dunia alasiri ya leo jijini Dar es Salaam. Taarifa zimethibitishwa na Msanii wa Filamu, Vincent Kigosi “Ray” na taratibu za mazishi...
21 Reactions
105 Replies
24K Views
'Hakuna maneno yanayo tosha sawa sawa kuelezea family zilizo poteza wapendwa wao ambao ni ndugu zetu pia. Kifo ndio ahadi pekee ya kweli inayopaswa kuheshimiwa MAISHANI huja mara moja tu. Ingawa...
4 Reactions
5 Replies
278 Views
Katika ukombozi wa taifa la Tanganyika sekta ya kulaani na matusi alikabidhiwa Sativa ila kwa sasa rasmi hii sekta kapewa Rachel Dangwa, ambapo inasemekana huwa hata akiota, anaota anaitusi...
8 Reactions
20 Replies
1K Views
Kupitia Insta Story yake msanii Marioo ameandika kuwa, “Kabla ya kila kitu Niliahidi kutoa Ngoma Week ya kwanza ya Mwezi huu ambayo ilikuwa ndo leo tars lakini Baada ya kila kitu. kutokea...
6 Reactions
12 Replies
867 Views
Wakuu, napenda nyimbo za Lucky Dube, Kuna ile anamuambia Mama yake kuwa ametendwa na mwanamke, Na kuna ule analalamika amekuwa Mtumwa wa pombe, hivi Lucky Dube akuacha watoto wakubwa?
11 Reactions
119 Replies
29K Views
Haikuwa rahisi.. Ulikuwa ni ugomvi mzito.. Pesa ikashinda. Kinje alimsaidia Jacky ku-maintain maisha classic ya mjini, career yake ya mitindo/music na kumpatia exposure.. Mengi alikuwa ana ofisi...
69 Reactions
954 Replies
180K Views
Wakuu! :D:D sasa hii ndio kazi yako Mkojani, endelea kuchekesha Watu tu! Mwigizaji na mchekeshaji Abdallah Mohamed Nzunda, maarufu kama Mkojani, amemwaga machozi akidai kufadhaishwa na matokeo...
9 Reactions
19 Replies
2K Views
Dozi inaanza kumuingia taratibu Diamond, kila akipost hapati comments wala like za kutosha kama mwanzoni hivyo inadhihirisha nguvu yake ya ushawishi inazidi kuporomoka. Kuna post mbili alipost...
25 Reactions
50 Replies
2K Views
Inadaiwa Kampuni ya Pepsi imeamua kujitenga na Diamond Platnumz ili kujiweka salama baada ya kadhia iliyozikumba baadhi ya kampuni Oktoba 29, 2025. Hii imetokana pia na presha ya watu mtandaoni...
0 Reactions
1 Replies
356 Views
Mgahawa wa Shishi Food unaomilikiwa na mwanadada mrembo Shilole na duka la electronic la Nenga Tronix linalomilikiwa na msanii machachali Billnass, vilishika moto kipindi mtandao umezimwa. Chanzo...
11 Reactions
45 Replies
2K Views
Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando Maarufu Baba Levo akieleza furaha yake Siku yake ya kwanza Bungeni ambapo leo Novemba 11. 2025 amekula kiapo rasmi...
5 Reactions
10 Replies
665 Views
Wengi wetu tumeshuhudia jinsi baadhi ya celebrities hasa wasanii na wanamuziki walivyokuwa wakishiriki si tu kwa kuonyesha mapenzi yao ya kisiasa kwa upande flani, bali pia wakivuka mstari...
1 Reactions
7 Replies
246 Views
Anaitwa Joseph jamaa anajua sana uyukuigiza I think alichoigiza huwa anakifanya
0 Reactions
7 Replies
396 Views
Nimepita page za wachekeshaji mtandaoni maarufu kama COMEDIAN WA BONGO , Jamaa wanaomba matangazo hata ya Tsh 50,000/= na kumaliza kwa kusema "NJAA ITATUUA" Mkawasapoti wapate unga na dagaa...
2 Reactions
12 Replies
605 Views
Kwanza niseme tu leo lazima nifungue champagne Nilikuwa naangalia nomination list ya Grammy kwa mwaka huu ambayo imetoka muda mfupi uliopita Kuna kile kile kipengele cha Best African Music...
3 Reactions
16 Replies
475 Views
Wakuu, Naona Watanzania mmepelekea moto wasanii mpaka sasa imefikia hatua wanaahirisha show zao Tuko kwenye first stage ya Cancel Culture. Tukiendelea hivi tunaenda kutengeneza wasanii ambao...
5 Reactions
17 Replies
887 Views
Msisahau kureport kabla ya ku unfollow. Na msiwape engagement yoyote hao chawa. miziki na muvi zao watazisikiliza wenyewe.
7 Reactions
21 Replies
725 Views
Haijaisha mpaka iishe. Tunaanza walipoishia wao. Kama kweli una uchungu wa watu waliopoteza maisha kwa ajili ya mama yule kuingia madarakani kibabe akisaidiwa na wasanii uchwara kumpa promo...
14 Reactions
89 Replies
3K Views
Back
Top Bottom