Hivi Mwandishi wa ITV Ufoo Saro yu wapi?

Sijui nani alisababisha kifo cha mama yake na mumewe,sijui kati yake na mumewe. Au mumewe alihadithiwa tu na wenye wivu wa mtaani?.

Anyway,atakuwa anaendeleza kumlea yule mwanae ndyo maana haonekani runingani since those days.
 
Samahani, elezea kidogo mkuu
Ni story ndefu na ilikuwa wazi kwenye vyombo vya habari.

Kwa kifupi sana Ufoo Saro alikuwa ripota maarufu na kipekee wa ITV katika matukio ya kusisimua hususani Dar katika siasa, na watu wengi tulimuona kama mwanamke aliyetulia na kujiheshimu mpaka siku yaliyomkuta yakajulikana!

Kilichotokea ni kuwa, kumbe Ufoo Saro alikuwa anadanga na jamaa mmoja hivi anaitwa Mr. Mushi (nadhani jamaa mjeshi? Usalama? ambaye alikuwa yuko special UN mission huko Darfur), sasa jamaa akawekeza pesa zake ikiwemo kujenga nyumba na kummilikisha Ufoo Saro, nyuma ya pazia kumbe Ufoo Saro alikuwa na mishe zake zingine za siri, mkorofi na huku akitaka kumdhulumu msela, sasa jamaa kwa kuwa alikuwa amekolea kwa Ufoo Saro akawa mara kwa mara anatafuta suluhu na mama yake Ufoo saro akiwa msuluhishi, lakini msuluhishi (Mama wa Ufoo Saro) alikuwa akimpendelea binti yake kwa kuwa walikuwa na njama moja ya kumdhulumu msela. Siku moja Msela alipogundua hilo akachukua bunduki (pisto?) kisiro akijifanya anakwenda kusuluhishwa akatinga nyumbani kwa kina Ufoo Saro kwa nia ya kuua wote. Akampiga risasi Ufoo Saro tumboni, akamlamba risasi mama Ufoo Saro kichwani na kufa, akijua kazi imekwisha naye akajiua kwa kujipiga risasi kichwani/mdomoni?. Bahati nzuri Ufoo Saro hakufa.
 
Back
Top Bottom