Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Nimemkumbuka huyu mwandishi wa habari wa zamani ITV siku hizi simuoni jamani mwenyewe information zake au alishastaafu?
Msala upi jombaa?Ule msala lazima ukae kimya
Dah! Kweli aisee. Watu tumemmisi sana. Binti wa kimachame alitrend sana mitandaoni kipindi kile alipokoswakoswa kutolewa roho na bwana Mushi. Yule mwamba alidhamiria kuua Ufoo Saro, Mama yake Ufoo Saro na yeye mwenyewe. Mungu akamuokoa Ufoo Saro.
Haa Ni Watu Poa Tu Wale Wafilisti Wa Kilimanjaroshikamoo wapalestina.
Kabinti kembemba hivi aiseeYupo anakulaa maishà kashasahau yaliyotokea mkuu,c unajua Tena tumeumbwa kusahau
Mkuu hiyo stori ilikupita?? Iko humu, tafuta kwa hilo jina lake utaipataSamahani, elezea kidogo mkuu
Atakuwa bize kutafuta ama kumuandaa mtu wa kumuua tenaNimemkumbuka huyu mwandishi wa habari wa zamani ITV siku hizi simuoni jamani mwenyewe information zake au alishastaafu?
Atulie tena, mtu aliyezoea kutesa watu hawezi tulia hata siku moja...subirini tu aje na matukio ya hajabu soonHatari sana.Kwa aibu ile bora atulie tu.
Ni story ndefu na ilikuwa wazi kwenye vyombo vya habari.Samahani, elezea kidogo mkuu
Hivi hakufa?Ule msala lazima ukae kimya
Yupo haiHivi hakufa?
Atakua kajifunzaYupo hai