Nandy tangu aolewe sijawahi sikia skendo

Nandy tangu aolewe sijawahi sikia skendo

Alexido jz instagram

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2026
Posts
2,183
Reaction score
5,259
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.

Screenshot_20260528-192104.jpg
 
Kama si Ruge Nandy angekuwa msafi tu!
Kaka pale Kwa ruge, ilikua juu ya uwezo wake, ni ina akubali kikojoleo kiliwe au apotezwe, wale walikua kama miungu watu mziki walikua nao wao, wao ndo waliamua nani atoke awe star na nani apotezwe, SUMA MNAZALETI aliambiwa hakuna kupanda show yoyote ya fiesta Wala p.a wakati huo na ndo ilivokua, walifeli Kwa diamondi tu
 
Ukiacha skendo ya marehemu mutahaba, sijawahi sikia skendo nyingine, alipo olewa nilijua ndoa haikatiz mwaka Mmoja Chali, lakini wapiiii, ndo kwanza ananenepa dada wa watu.

Nadhani wachawi wako bize kugombanisha ili waachane na wabaki single kama wao, aseee sister nandy na zawadi Yako pliz, napenda kuona dada zangu mkitulia kwenye ndoa zenu nafurahi sana, MUNGU akutangulie dada angu, INSHAALLAH.

Unampa maua yake!
 
Back
Top Bottom