Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,296
- 68,376
Msanii wenu ana agenda zipi, mbona haeleweki. Kama kuna washauri wake wanasoma uzi huu wamfikishie ujumbe, anakoelekea ni kubaya.
Awilo kidume cha MbeyaWho's this guy.....🤔
Ohhhh basi huyu Ndaule nimemuona pale Saza wakati napita kuelekea Mkwajuni...🤣Awilo kidume cha Mbeya
Wape hi Mbuyuni wambie kamanda kipara bado nipo nadundaOhhhh basi nimemuona pale Saza wakati napita kuelekea Mkwajuni...🤣
Umejuaje mkuu?Msanii wenu ana agenda zipi, mbona haeleweki. Kama kuna washauri wake wanasoma uzi huu wamfikishie ujumbe, anakoelekea ni kubaya.
View attachment 3591216
Vipi unayo 😅Inaitwa Ikweji 😅
Enhee 2…. 🤣 Ila sizipendi sababu mi chaufupi.Vipi unayo 😅
Yesu, show me pulizii 😅😂Enhee 2…. 🤣 Ila sizipendi sababu mi chaufupi.
Weeee! 😂🏃🏻♀️Yesu, show me pulizii 😅😂
Nadia buhari kuja hapa 😅Weeee! 😂🏃🏻♀️
Dah hili jina linanichanganya! Ujue yule mama mzuri sana mweh! Afu ana helaaaaaa!Nadia buhari kuja hapa 😅
Yule mmama ni pisi hadi sasa hivi, halafu kibongo bongo we ndio ume take place yake 😊🦅Dah hili jina linanichanganya! Ujue yule mama mzuri sana mweh! Afu ana helaaaaaa!
Mzuri toka akiwa mdogo hadi now mshangazi, Afu sijui kafanya surgery sa hivi…. Yuko lelelele 🔥