CNN anchor Don Lemon has come out. In a new book, "Transparent," Lemon talks about his life and his sexuality, and he revealed that he is gay in an interview with the New York Times. In a tweet on...
Bw. Hamis Dambaya akiripotia Mlimani TV. Namsikiliza katika Jarida la Habari akiruka na kijambo cha Wiki. Staili anayotumia ni ya aina yake, awali nildhani ni ubunifu wake katika tasnia ya habarii...
Bw. Hamis Dambaya akiripotia Mlimani TV. Namsikiliza katika Jarida la Habari akiruka na kijambo cha Wiki. Staili anayotumia ni ya aina yake, awali nildhani ni ubunifu wake katika tasnia ya habarii...
Kwako,
Mpendwa dada Wema Sepetu. Naamini u mzima kiafya na unaendelea vizuri na mchakato wa kutafuta mkate wa kila siku.
Kwanza kabisa, pole kwa matatizo. Nilisikia kuwa juzi ulipandishwa...
Nimeona comment hapa inasema halima mdee anataka mume,sio kweli sababu nimeongea naye sasa hivi na anasema ana mtu permanent,kama huamini ntakupa fone no!!!!!!!!!!!!!aghhhhhhhhhhhhhh
Oscar-nominated actor, 36, and the "Sports Illustrated" supermodel, 25, recently ended their five year relationship. Hawa mastaa walishatengana halafu wakarudiana tena! sasa sijui ni kiburi ya...
Rejea kichwa cha habari hapo juu kuhusiana na Dr. Slaa:
Mcha Mungu.
Anayewajali na kuwastahi watu.
Anapenda haki na kuwajali wanyonge.
Mkweli wa maneno na matendo.
Ana uwezo wa kuongoza na upeo...
Pippa, the 27 year-old younger sister of Prince William's wife Kate, has lately created much interest fom the media.
Much frenzy is due to her captivating pictures...
Mkenya kwa jina la Stella Mwangi amefanikiwa kuingia nusu fainali ya shindano kubwa a muziki lujulikanalo kama Eurovision. Wimbo unakwenda kwa jina la Haba haba...
cheki mwenyewe hapa chini...
Msanii maarufu wa filamu kutoka Tanzania, yupo nchini Ghana ambako ameenda kimya kimya kwa malengo mahsususi.
Bofya link hii upate habari kamili. Tanzanian Star Actress Hides In Ghana
....MARIAH CAREY NA HUSBAND WAKE NICK CANNON....!
Mnamo tarehe 30/4/2011, hapa Los Angeles, Mariah amejifungua watoto mapacha kama wanavyoonekana hapo juu. A baby boy and Baby girl.
Hongera zake
David Beckham involved in car crash but escapes uninjured
Crash took place on busy Los Angeles freeway
Driver of other car taken to hospital but not seriously injured...
Namsikiliza huyu dogo kupitia Star TV, Bongo Beats na Sauda Mwilima: Kama ilivyo kwa wasaniii wetu chipukizi, naona kijana anajigamba kwa mbwembwe kuwa anakaa gheto NHC Ilala Boma, siunajua tenaa...
Haya Jamani,
Zimebakia siku chache kabla ya Mshindi wa tuzo ya uongozi bora Afrika atangazwe. Mshindi huyo si tu atapata ujiko wa kuitwa kiongozi bora Afrika, ila pia atashinda tuzo ya...
Rais wa nchi ya Zanzibar mambo mazuri Uturuki, asije akaomba na silaha, kwa heshma kubwa kwa Uturuki, tunaijuwa nguvu yake kijeshi na kiuchumi, hata Israel inabembeleza ipate urafiki na Uturuki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.