Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Haya Jamani,
Zimebakia siku chache kabla ya Mshindi wa tuzo ya uongozi bora Afrika atangazwe. Mshindi huyo si tu atapata ujiko wa kuitwa kiongozi bora Afrika, ila pia atashinda tuzo ya mabilioni ya shilingi.
Kati ya majina ya maraisi wastaafu 11 wa Afrika ambao wametajwa kushiriki, Rais wetu mstaafu Benjamin W Mkapa ni miongoni mwao na kwa wale mnaofahamu siasa za dunia, Mkapa pia ana nafasi ya kushinda.
Zitto alianzisha thread hapa zamani kidogo kuuliza maoni yetu kuhusu Mkapa kushinda hiyo tuzo. Juzi Bubu aliweka story ya BBC iliyoelezea kwa kiasi kuhusu hiyo tuzo. Inaonekana hii ni big deal (au hata kama sio big deal, mimi naiona hivyo).
Mimi nakampeni dhidi ya Mkapa ili ashindwe. Najua maneno yangu hayatasaidia ila yatasikika hapa na kwa waandaji nitakaowatumia email kuhusu hili. Mkapa ameonyesha kiburi cha hali ya juu sana.
piece ya habari hii kama ilivyo kwenye bbc...
Ninajua kuna mengi mazuri Mkapa ameifanyia Tanzania ila vitendo vyake na tabia zake za kipindi cha pili cha utawala wake vinatia aibu. Haya majibu yake ya dharau yanasononesha mioyo.
Mkapa, haufai kupewa tuzo ya uongozi bora Afrika. Umeitia aibu nchi yako na umemsaliti Nyerere aliyekuweka madarakani.
Zimebakia siku chache kabla ya Mshindi wa tuzo ya uongozi bora Afrika atangazwe. Mshindi huyo si tu atapata ujiko wa kuitwa kiongozi bora Afrika, ila pia atashinda tuzo ya mabilioni ya shilingi.
Kati ya majina ya maraisi wastaafu 11 wa Afrika ambao wametajwa kushiriki, Rais wetu mstaafu Benjamin W Mkapa ni miongoni mwao na kwa wale mnaofahamu siasa za dunia, Mkapa pia ana nafasi ya kushinda.
Zitto alianzisha thread hapa zamani kidogo kuuliza maoni yetu kuhusu Mkapa kushinda hiyo tuzo. Juzi Bubu aliweka story ya BBC iliyoelezea kwa kiasi kuhusu hiyo tuzo. Inaonekana hii ni big deal (au hata kama sio big deal, mimi naiona hivyo).
Mimi nakampeni dhidi ya Mkapa ili ashindwe. Najua maneno yangu hayatasaidia ila yatasikika hapa na kwa waandaji nitakaowatumia email kuhusu hili. Mkapa ameonyesha kiburi cha hali ya juu sana.
piece ya habari hii kama ilivyo kwenye bbc...
As former African leaders wait to see who has won the Mo Ibrahim prize for good governance, BBC world affairs correspondent Mark Doyle finds Mozambique ex-President Joaquim Chissano's shock and amusement at the value of the prize endearing.
"It's worth how much? Five MILLION dollars?"
.....
The winner of the Mo Ibrahim prize for African governance is to be announced on 22 October at a ceremony in London hosted by former UN Secretary General Kofi Annan.
Sudanese businessman Mo Ibrahim is sponsoring the prize
....
The idea is to encourage democracy, transparency and decency.
All 11 former presidents who left office in Africa in 2004, 2005 or 2006 are automatically eligible for consideration.
A spokesman for Mo Ibrahim said the "long list" of candidates (i.e. the list of eligibles who have not been selected in any way by the judges) was, in no particular order:
Mathieu Kerekou (Benin)
Azali Assoumani (Comoros)
Domitien Ndayizeye (Burundi)
Henrique Rosa (Guinea Bissau)
Maaouya Ould Sid'Ahmed Taya (Mauritania)
Joaquim Chissano (Mozambique)
Sam Nujoma (Namibia)
Benjamin Mkapa (Tanzania)
Abass Bonfoh (Togo)
Gnassingbe Eyadema (Togo)
Bakili Muluzi (Malawi)
France-Albert Rene (Seychelles)
Abdiqassim Salad Hassan (Somalia)
.....
Source bbc....
Ninajua kuna mengi mazuri Mkapa ameifanyia Tanzania ila vitendo vyake na tabia zake za kipindi cha pili cha utawala wake vinatia aibu. Haya majibu yake ya dharau yanasononesha mioyo.
Mkapa, haufai kupewa tuzo ya uongozi bora Afrika. Umeitia aibu nchi yako na umemsaliti Nyerere aliyekuweka madarakani.