Wema, tatizo ni nini?

didas

Member
Feb 22, 2011
8
1
Kwako,
Mpendwa dada Wema Sepetu. Naamini u mzima kiafya na unaendelea vizuri na mchakato wa kutafuta mkate wa kila siku.
Kwanza kabisa, pole kwa matatizo. Nilisikia kuwa juzi ulipandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumtolea maneno makali Bob Junior. Yataisha tu...usijali.

Nimeona leo nikuandikie barua dada yangu, maana nahisi kama hufahamu kinachoendelea huku uswahili. Washkaji wa vijiweni wamebadilisha stori, wanakuzungumzia wewe. Siyo Barcelona wala Arsenal tena, ni wewe tu. Unajua wanajadili nini kuhusu huyo Wema?

Ngoja nikuambie...wanazungumza kuhusu haya matatizo yasiyoisha unapokuwa katika ‘relationship’. Tatizo ni nini? Hivi, unakumbuka kipindi kile ulipotwaa taji ya Miss Tanzania? Wiki chache tu, yakaibuka mambo...kwamba ulikuwa na uhusiano wa kimapenzi na wasanii wawili wa Bongo Fleva (kwa nyakati tofauti), ingawa mpaka leo unaendelea kukanusha.

Hayo tuyaache, hebu tuanzie pale ulipokuwa na Kanumba (Steven), baadaye ukahamisha majeshi kwa mjasiriamali Jumbe Yusuf Jumbe.
Nini kilitokea? Pamoja na kwamba ulikuwa umeachana na Kanumba, maneno yakaanza kiasi cha kuvunja vioo vya gari lake, mwisho wake ukawa Segerea! Aibu kiasi gani? Niliamini tukio lile lilikupa funzo lakini kumbe...!

Sitaki kufuatilia sana mambo yako ya ndani, lakini nakumbuka baadaye ulikuwa katika himaya ya mwanamuziki wa Twanga Pepeta Chalz Baba. Mkavuma kweli kweli. Kila mahali mlikuwa pamoja huku mkijinadi kwenye vyombo vya habari kwamba mngefunga ndoa. Uhusiano wenu ukawa gumzo jijini, lakini baadaye ukasafiri kwenda Marekani.

Ukiwa huko, uhusiano ukaanza kuyumba, uliporudi Bongo, ukaangukia kwa Diamond. Mapenzi yamekuwa ‘hot’ ile mbaya ingawa hivi sasa inaelezwa kwamba kuna harufu ya kuvurugika!

Lakini ukiwa na Diamond, ukakumbwa na hili balaa linalosumbua sasa hivi...kesi na Bob Junior ambaye ana bifu na boyfriend wako Diamond. Sitaki kuingilia sana suala hili, maana lipo mahakamani, lakini cha kujiuliza hapa, kwanini haya yote yanatokea?

Wema, nadhani kuna maeneo unatakiwa kujikagua. Kuna mahali kuna tatizo. Mosi, kujitambua na kuthamini thamani yako kama msichana uliyepata bahati ya kushika wadhifa mkubwa wa Miss Tanzania 2006. Hiyo ni heshima ambayo haiwezi kufutika. Ukisimama sehemu yoyote utajulikana kama Miss Tanzania.

Ni hadhi hiyo Wema. Hadhi ambayo inahitaji kutendewa haki. Naamini ukitulia na kujichunguza utagundua ni wapi unaposea. Nitakupa mwanga wa mahali pa kuanzia.
Kwanza; chunguza marafiki zako, maana kama ukiwa na marafiki wenye ushawishi wa kufanya mambo mabaya, utajikuta na wewe unafanya vitu kinyume na jamii halafu mwisho wa siku, unabaki na aibu zako mwenyewe.

Pili, nakushauri kabla ya kuingia kwenye uhusiano ni vizuri kumchunguza na kumjua vizuri huyo mtu ambaye unataka awe mpenzi wako.
Unaweza kuwa na mpenzi mwenye tabia za hovyo na ushawishi hasi, ambao utakufanya na wewe uwe mfuasi wa tabia zake, mwisho wake unaishia pabaya. Jichunguze, wapi unapokosea? Kujua tatizo ndiyo mwanzo wa kusonga mbele katika kufanya mabadiliko.

Naamini ukisoma maandishi ya barua hii kama simulizi za kusisimua, hakuna utakachoelewa, lakini ukisoma kama waraka kutoka kwa mtu ambaye anapenda mafanikio yako, utabadilika na kuwa bora zaidi. Wewe ni staa Wema. Hebu ishi kistaa.
Ahsante kwa kusoma barua yangu.
Wako katika kuwekana sawa,
 
Atakuwa na matatizo yeye na sio hao wanaume anaokuwa nao kimapenzi, haiwezekani kila siku aachane na kuanzisha uhusiano mpya. Ajiangalie sana huyu dada.
 
Huo ushauri alishapewa sana... Kutakuwa na mtaalam kamwekea kipele maji kinamuwasha ndiyo maana anatafuta wa kumkuna hampati..

ushauri; rudi kwa yuleyule uliyegoma kumtaja kwenye tv interview
didas; unambembeleza wa nini mpaka unamwita dada kuwa bwana.. Kama unataka na wewe kuwa wazi///
 
Didas, huu ukumbi wa picha, nadhani siku nyingine utarekebisha hiyo. Ila kwa vile bado junior, ngoja basi tukuwekee japo hii ya huyo Wema unayempa ushauri nasaha.
WemaIsaacSEPETU.jpg
 
Tukiwa watoto.....ukipenda kuzurura......unaambiwa umekula miguu ya kuku
ukiwa msahaulifu.....umekula kichwa cha samaki
na simulizi zinasema kondoo ana wadudu wawili kichwani, wakianza kuwasha ndo pale wanapopigana ili kuwatuliza/kujikuna
SASA UKILA KICHWA CHA KONDOO...TENA UKAWA NI BINTI.....WAHENGA WANAMAJIBU SAHIHI
 
Hi guys!

Yule fisadi wa BOT aliekuwa akigawa gari nyekundu kwa ma miss na madazetu na kufanya wengine kuogopa hata kwenda kupima kutokanan na mawzo hivi jana alianguka akiwa kazini akisuburi kupangiwa nafasi nyingine...

Kwa wale wenye ndugu BOT mnaweza nyonya data zaidi tumwagie. Ninachofahamu alielekea hospital ya Aghakhan na baadae kuruhusiwa, kutokana na pressure na kisukari.

Mie "chichemi"
WALIOPITIWA NA KAMANDA AMATUS LIUMBA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UTUMISHI PALE BOT DAR ES SALAAAM MAARUFU KAMA TWIN TOWER:

Hofu kubwa imetanda jijini Dar es salaam na kwingineko miongoni mwa wanawake na hata baadhi ya wanaume baada ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi wa BOT, Amatus Liumba kufikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuisababishia serikali hasara ya shilingi bilioni 200/= kutokana na mradi wa majengo pacha ya benki hiyo yaani Twin Towers na kutolewa kwa orodha ndefu ya akina dada na akina mama aliotembea nao na kuwaambukiza kwa makusudi ukimwi!

Hali inasikitisha sana hasa ukisoma orodha hiyo ambayo wengi wanaonekana kuwa ni vijana wadogo lakini kutokana na tamaa yao ya pesa na kupenda mambo makubwa kwa njia ya mteremko sasa huenda kukawatokea puani.
Bw. Liumba ambaye anasifika kwa ubingwa wake wa kuhonga pesa na hasa magari kwa akina dada zetu wenye tamaa, alijijengea umaarufu mkubwa kutokana na style yake ya kuhonga magari yenye rangi nyekundu akimaanisha tayari amekuambukiza ukimwi.

Lakini hivi sasa inasemekana akitembea na mwanamke anamhonga gari jeusi kuashiria msiba upo hapo mwanawane!

Sasa ifuatayo hapo chini ni orodha ya baadhi ya mademu aliowapitia mkware huyo ikibidi itaongezeka baada ye, swali linakuja tutapona kweli kwa mwendo huu?

1.Cristabela Mwingira.
2.Joan.
3.Ray C.
4.Mboni Mhita na mama yake Zabein Mhita naye kapitiwa.
5.Maimartha wa Jesse.(Mama Mkorogo).
6..Asha Kingui (Kaolewa na Liumba).
7.Raya (Yuko London anasambaza miwaya kwa kwenda mbele).
8.Mastura (Sasa marehemu).
9.Linda ( Huyu inasemekana ni mtoto wake kabisa na Liumba duh).
10. Wema Sepetu.(Former Miss Tanzania).
11.Sada ******.
12.Vivian Sirikwa.
13.Irene Uwoya (Muigizaji filamu maarufu bongo).
14.Mary Chingwile.
15.Neema Mjango.
16.Diana.
17.Sophia Byanaku.
18.Hamida Kinana.
19.Shamsa.
20.Devota Diva.
21.Jacquline Ntuyabalilwe (Haya, "You know I am crazy over you", kazi ipo).
22.Johari.
23.Esther Lema.
24.Mange Kimambi.
25.Teddy Kalonga (Zamani alikuwa anatangaza Jackpot Bingo ITV).
26.Lady JD (Masikini mwimbaji wetu, Gardner anayo kazi ila na yeye ni kiwembe).
27.Fina Mango (Aliyekuwa anatangaza Power Breakfast na Masoud Kipanya pale Clouds FM).
28.Najma.
29. Marehemu Amina Chifupa (Wakasingizia eti karogwa).
30.Nancy Sumari.(Miss World Africa).
31.Irene Kiwia.
32.Mary Stella (Alikuwa demu wa marehemu Mutie Mengi wa EATV).
33.Jackie Kavishe.(Mbezi Loius Kimara).
34.Suzi wa Mdeke.
35.Happinness Magese (Former Miss Tanzania).
36.Rashida Wanjala (Aliwahi kuwa Miss Mara).
37.Alice Biduga.
38.Lydia Moshi (Mwenye Magic Massage Namanga).
39.Salima Masoud (Mke wa Masoud Kipanya kajengewa na ghorofa wanayoishi na mumewe hapatoshi hapo).
40.Vicky Kamata.("Wanawake na Maendeleo", kumbe bure)
41.Lucy Ngongoseke Kiwehle (Sasa hivi ni Meneja wa Mawasiliano Standard Chattered Bank zamani alikuwa Multi Choice).
42.Fatuma Uledi wa TRA (Nasikia yuko hoi bin taabani).
43.Carol Kirita.
44.Shyrose Bhanji (Senior Public Relations Manager NMB, kama ni kweli Yesu rudi haraka).

NB:Jamani orodha ni ndefu mno kama unafahamu wengine ongezea kwa muda wako, sasa hawa mademu wengi wao walikuwa wanazunguka kwa mapedeshee na watu wenye pesa Dar baadhi yao ni:

1.Zadoc.
2.Mlatie (Mwenye Rose Garden pale Mikocheni Majimachafu).
3.Mujuni (wa EPA).
4.Lawrence Masha (Waziri wetu wa Mambo ya Ndani).
5.Cisco Mtiro (Aliyekuwa Mkuu wa Itifaki Ikulu kazi ipo).
6.Papaa Msofe.
7.Jack Pemba.
8.Bashir Awadh (MD wa Stanbic Bank kama sikosei).
9.Ray (wa Regency Hotel).
10.Kinjekitile Ngombale Mwiru.
11.Alex Massawe.( mwenye A.M. Investment).
12.Mudhamil(kampani ya akina Msofe).
13.Crecensious Magori (Jamaa wa NSSF).
HILI LISHAWAHI JADILIWA HAPA JAMVINI:

https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/24332-amatus-liyumba-balaa-20.html
 
Kwako,
Mpendwa dada Wema Sepetu. Naamini u mzima kiafya na unaendelea vizuri na mchakato wa kutafuta mkate wa kila siku.
Kwanza kabisa, pole kwa matatizo. Nilisikia kuwa juzi ulipandishwa kizimbani kwa tuhuma za kumtolea maneno makali Bob Junior. Yataisha tu...usijali.

Nimeona leo nikuandikie barua dada yangu, maana nahisi kama hufahamu kinachoendelea huku uswahili. Washkaji wa vijiweni wamebadilisha stori, wanakuzungumzia wewe. Siyo Barcelona wala Arsenal tena, ni wewe tu. Unajua wanajadili nini kuhusu huyo Wema?

Ngoja nikuambie...wanazungumza kuhusu haya matatizo yasiyoisha unapokuwa katika ‘relationship'. Tatizo ni nini? Hivi, unakumbuka kipindi kile ulipotwaa taji ya Miss Tanzania? Wiki chache tu, yakaibuka mambo...kwamba ulikuwa na uhusiano wa kimapenzi na wasanii wawili wa Bongo Fleva (kwa nyakati tofauti), ingawa mpaka leo unaendelea kukanusha.

Hayo tuyaache, hebu tuanzie pale ulipokuwa na Kanumba (Steven), baadaye ukahamisha majeshi kwa mjasiriamali Jumbe Yusuf Jumbe.
Nini kilitokea? Pamoja na kwamba ulikuwa umeachana na Kanumba, maneno yakaanza kiasi cha kuvunja vioo vya gari lake, mwisho wake ukawa Segerea! Aibu kiasi gani? Niliamini tukio lile lilikupa funzo lakini kumbe...!

Sitaki kufuatilia sana mambo yako ya ndani, lakini nakumbuka baadaye ulikuwa katika himaya ya mwanamuziki wa Twanga Pepeta Chalz Baba. Mkavuma kweli kweli. Kila mahali mlikuwa pamoja huku mkijinadi kwenye vyombo vya habari kwamba mngefunga ndoa. Uhusiano wenu ukawa gumzo jijini, lakini baadaye ukasafiri kwenda Marekani.

Ukiwa huko, uhusiano ukaanza kuyumba, uliporudi Bongo, ukaangukia kwa Diamond. Mapenzi yamekuwa ‘hot' ile mbaya ingawa hivi sasa inaelezwa kwamba kuna harufu ya kuvurugika!

Lakini ukiwa na Diamond, ukakumbwa na hili balaa linalosumbua sasa hivi...kesi na Bob Junior ambaye ana bifu na boyfriend wako Diamond. Sitaki kuingilia sana suala hili, maana lipo mahakamani, lakini cha kujiuliza hapa, kwanini haya yote yanatokea?

Wema, nadhani kuna maeneo unatakiwa kujikagua. Kuna mahali kuna tatizo. Mosi, kujitambua na kuthamini thamani yako kama msichana uliyepata bahati ya kushika wadhifa mkubwa wa Miss Tanzania 2006. Hiyo ni heshima ambayo haiwezi kufutika. Ukisimama sehemu yoyote utajulikana kama Miss Tanzania.

Ni hadhi hiyo Wema. Hadhi ambayo inahitaji kutendewa haki. Naamini ukitulia na kujichunguza utagundua ni wapi unaposea. Nitakupa mwanga wa mahali pa kuanzia.
Kwanza; chunguza marafiki zako, maana kama ukiwa na marafiki wenye ushawishi wa kufanya mambo mabaya, utajikuta na wewe unafanya vitu kinyume na jamii halafu mwisho wa siku, unabaki na aibu zako mwenyewe.

Pili, nakushauri kabla ya kuingia kwenye uhusiano ni vizuri kumchunguza na kumjua vizuri huyo mtu ambaye unataka awe mpenzi wako.
Unaweza kuwa na mpenzi mwenye tabia za hovyo na ushawishi hasi, ambao utakufanya na wewe uwe mfuasi wa tabia zake, mwisho wake unaishia pabaya. Jichunguze, wapi unapokosea? Kujua tatizo ndiyo mwanzo wa kusonga mbele katika kufanya mabadiliko.

Naamini ukisoma maandishi ya barua hii kama simulizi za kusisimua, hakuna utakachoelewa, lakini ukisoma kama waraka kutoka kwa mtu ambaye anapenda mafanikio yako, utabadilika na kuwa bora zaidi. Wewe ni staa Wema. Hebu ishi kistaa.
Ahsante kwa kusoma barua yangu.
Wako katika kuwekana sawa,

Ili ni jukwaa la picha, sasa picha ya Wema iko wapi?
 
Tukiwa watoto.....ukipenda kuzurura......unaambiwa umekula miguu ya kuku
ukiwa msahaulifu.....umekula kichwa cha samaki
na simulizi zinasema kondoo ana wadudu wawili kichwani, wakianza kuwasha ndo pale wanapopigana ili kuwatuliza/kujikuna
SASA UKILA KICHWA CHA KONDOO...TENA UKAWA NI BINTI.....WAHENGA WANAMAJIBU SAHIHI

Hajatulia anakilanga huyu Binti.
 
Back
Top Bottom