Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Jamani mshaiona hii movie ya CHUMO inapigiwa promo sana these days?? KWa ufupi hii movie(nimeipendea mazingira yake ya uigizaji) inaongelea wavuvi wawili( Masharobaro) wakimgombania dada mmoja( )...
1 Reactions
10 Replies
4K Views
Mmiliki wa Calabash Pub, Mazembe Nyerere amefariki jana usiku katika hospitali ya Muhimbili. Msiba uko nyumbani kwake Upanga. RIP Mazembe.
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Hii kitu sasa ipo serious wadau maana Sugu kaanza sasa Jaffarai anamalizia
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Jaffarai amemlipua Sugu baada ya kauli yake ya kukataa kufanyika Fiesta mkoani mwake sasa jaffarai amjibu na kumwambia si kweli kwamba wakazi wa Mbeya hawaitaki yeye mwenyewe alisoma Mbeya na...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Umbea umeenea kwamba Selena Gomez an MIMBA ya Justin Bierber! Is it true? Let's see: Juzi Selena Gomez alipelekwa hospitali huku anatapika......Endelea E.A COMBINED: Selena Gomez carrying Justin...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
FYI...! photo credit: Haki Ngowi Blog
0 Reactions
23 Replies
3K Views
JAMANI HEBU NIJUZENI KWANI POSHO ZINA KIZUNGUMKUTI GANI HUKO DOM?????????gud sunday29 minutes ago*·*Like*·* Yassin Aboubakar,*Violet Mzindakaya*and*Berinka Bella*like this. Sanga...
0 Reactions
70 Replies
8K Views
nimepigiwa simu na kaka home muda huu ambao ni nane usiku tz kuwa kitilya kaingia club 84 na mawaziri 4 na mademu wao.
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Hapo mpambano kati ya Sugu na Luge nani kidume, ila Luge nae amezidi kunyonya wasanii huku yeye anatajirikaPata habari zaidi www.hassbabymapacha.com
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Jamani naomba niwaulize swali hivi huyu sijui Bijuox ndio nani?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
-Vijana wabunifu sana, wasanii wa kweli! Walianzia EATV-walifanya vizuri, wakawa maarufu wakaitwa Bungeni mpaka Ikulu wakajisahau wakadhani ni maarufu kuliko EATV yenyewe, wakatemwa! -Wakaja TBC...
2 Reactions
72 Replies
14K Views
Mnakumbuka hii thread in 2006? https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/694-freedom-of-speech-in-tanzania.html Mnaweza kusema kuwa whats the significance na siasa za Tanzania? Ukweli ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kim Courtney
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu,Wenye taarifa watujuze hapa hivi wale waigizaji maarufu tuliowazoea wa FUTUHI akina Babu Kulikombe wapo wapi? Wengi wao siwaoni. Kuondoka kwa hao jamaa kumepunguza kwa sana mvuto wa FUTUHI.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mambo vipi jaman wanajamvini hivi kwanini macelebret wengi wa bongo especially wakina dada wanapenda kufungua blogs halafu vitu wanavyoweka unakuta ni mambo ya ujinga ujinga tu. Hv hao wanao...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nikiangalia video za wimbo wa Mwana FA 'unanijua/unanisikia' na wimbo wa Mabeste 'baadaye sana' zote toka B'Hits naona zote 'zimeshutiwa' location moja na ubaya video zote zaidi ya 80% ya matukio...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hello jf!naomba kufahamishwa alipo basil pesambili mramba na anafanya nin kwa sasa,huyu jamaa aliwah kutamka hadhari eti ni bora watanzania wale majani lakini ndege ya raisi ni lazma...
1 Reactions
0 Replies
916 Views
Mkali wa maigizo ya kuchekesha Bongo, Dickson Samson Makwaya a.k.a Bambo alfajiri ya leo amepata ajali mbaya ya pikipiki na kuvunjika mguu wake wa kulia sehemu ya paja.
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Dada ambaye anamtia jela nyota wa Chelsea aitwa Christine Bleakley.....................sioni vitufe vya kubandika picha vinginevyo ningezibandika sasa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom