Sina pa kwenda
Senior Member
- Nov 18, 2010
- 113
- 15
Mambo vipi jaman wanajamvini hivi kwanini macelebret wengi wa bongo especially wakina dada wanapenda kufungua blogs halafu vitu wanavyoweka unakuta ni mambo ya ujinga ujinga tu. Hv hao wanao authorise hizo blogs ni wakina nani au mtu tu anacreate mwenyewe? yaaaaaan kila siku mara huyu kafungua mara yule kafungua ukiangalia unadhani labda yeye yupo tofauti na wenzie kumbe ni muendelezo wa ujinga. Au mie mshamba kwa kila anaekuwa maarufu lazima awe na blog>