nimepigiwa simu na kaka home muda huu ambao ni nane usiku tz kuwa kitilya kaingia club 84 na mawaziri 4 na mademu wao.
Kazi na dawanimepigiwa simu na kaka home muda huu ambao ni nane usiku tz kuwa kitilya kaingia club 84 na mawaziri 4 na mademu wao.
nimepigiwa simu na kaka home muda huu ambao ni nane usiku tz kuwa kitilya kaingia club 84 na mawaziri 4 na mademu wao.
Tuhuma nzito hizo lakini!kawaida yao... posho wanazopata kubwa sana na hazikatwi kodi na wake zao hawazihitaji... wanataka nyama mbichi
hivi wanajua kitilya anaumwa lakini?
kawaida yao... posho wanazopata kubwa sana na hazikatwi kodi na wake zao hawazihitaji... wanataka nyama mbichi
hivi wanajua kitilya anaumwa lakini?[/QUOTE]
wewe ni daktari, lab tech, au pharmacist unaetoa siri za wagonjwa? au ni wale wenzetu wanaofanya diagnosis kwa kutazama sura, mimi huyu baba naumuona na sura yake hiohio tangu miaka ya 80,
sio kuwa namtetea na mambo yake hayo,
baba mtu mzima, na watoto wenye kwenda disco, hadi wamechachoka, ukionekana masaa hayo inabidi tujiulize inakuwaje.
sio uungwana,
kwanza watu wa position kama zake, huwa wakialikwa kwenye sherehe za kifamilia wanadai eti inabidi waondoke mapema kwa sababu za kiusalama, kisha uwakute club usiku wa manane!
nimepigiwa simu na kaka home muda huu ambao ni nane usiku tz kuwa kitilya kaingia club 84 na mawaziri 4 na mademu wao.
acheni majungu ijengeni nchi.nimepigiwa simu na kaka home muda huu ambao ni nane usiku tz kuwa kitilya kaingia club 84 na mawaziri 4 na mademu wao.
kawaida yao... posho wanazopata kubwa sana na hazikatwi kodi na wake zao hawazihitaji... wanataka nyama mbichi
hivi wanajua kitilya anaumwa lakini?
we kigogo mbavu zangu mieyaani huyo kitilya sura tu inaonekana hata kikombe cha babu kimedunda!! halafu na wewe saa nane usiku baada ya kutengeneza watoto na mywife wako unakazi ya kupokea simu...zima simu u concentrate na tendo la uumbaji bana..mbona mnatumia rasilimali vibaya nyie