Kwamex
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 378
- 96
Nikiangalia video za wimbo wa Mwana FA 'unanijua/unanisikia' na wimbo wa Mabeste 'baadaye sana' zote toka B'Hits naona zote 'zimeshutiwa' location moja na ubaya video zote zaidi ya 80% ya matukio ya video yamechukuliwa hapohapo hakukuwa na kuhamahama japo ya Mwana FA ni production ya 'next level' na ya Mabeste ni production ya 'HK Vision' ufanano wa video hizo ni mkubwa....je! tatizo ni uhaba wa location au ndo mambo ya kuibiana idea?