Violeti mzendakaya akimbia mjadala kisa kiingereza

never

JF-Expert Member
Apr 4, 2011
240
77
[h=6]JAMANI HEBU NIJUZENI KWANI POSHO ZINA KIZUNGUMKUTI GANI HUKO DOM?????????gud sunday[/h]29 minutes ago*·*Like*·*
  • Yassin Aboubakar,*Violet Mzindakaya*and*Berinka Bella*like this.



    • Sanga Festo*Mtafute zito kwenye wall yake ameanalyize vizur.24 minutes ago*·*Like



    • Sanga Festo*Shemu mi c u23 minutes ago*·*Like



    • Violet Mzindakaya*mic u too shemu wangu...poa ngoja nicheki23 minutes ago*·*Like
    • Henry Kilewo*unajifanya hujui? we sikada? muulize pinda akusomee kwenye katiba kifungu kwa kifungu...... aisee kwishinee, tuliwaambia hamna uchungu na taifa hili mkaleta ukada ukweli umejieleza juzi...22 minutes ago*·*Like



    • Violet Mzindakaya*we henry kaka tuheshimiane kuwa kada siyo ndo kujua kila kitu minimeuliza kama ningekuwa najua ningeuliza?????au una hamu tu yakuiharibu jumap[ili yako kupitia kwangu????/kama huwezi kunambia jichenge siyo lazma we vp???/21 minutes ago*·*Like



    • Chacha Mathew*Yaps, check na Zito ndo mwanzilishi wa hili sekeseke, hawa wengine watakuzingua 2 ccta V.19 minutes ago*·*Like
    • Henry Kilewo*popote pale nionapo neno la kada lazima ni mnyookee coz ur klng dic country...18 minutes ago*·*Like*·**1 person



    • Violet Mzindakaya*mi zitto siyo rafiki yangu kwenye fcb......nyi niambieni tu,,kwani si mnajua??????18 minutes ago*·*Like



    • Violet Mzindakaya*sasa kaka wanyokee hao hao kwangu tutanyookana,,,,,,,,na hulazimishwi ku comment kwangu na mimi ni KADA,,,,,,,sasa fanya unalotaka.........17 minutes ago*·*Like*·**1 person



    • Yassin Aboubakar*Gwand boy unaongea nini wewe ?@ Henry Kileo17 minutes ago*·*Like*·**1 person
      [*]


      Violet Mzindakaya*‎@henry kilewo.....,,,,muulize wewe yassin mana naona kitui cha......tayari sa hizi anataka kumalizia kwangu heshima kuheshimianan bwana....15 minutes ago*·*Like
      [*]


      Violet Mzindakaya*umemaliza@henry kunyooka na mimi????13 minutes ago*·*Like
      [*]


      Sanga Festo*Zito amesewa waziri mkuu inatakiwa ajiuzulu ama Afukuzwe kazi.Nikutokana na kusaliti maamuzi ya mapema kabla ya bunge kuwa Posho za wabunge zielekezwe kwenye Mfuko wa maendeleo wa miaka mitano(nadhani unajua mpango huo).Kwa kuwa amekiuka makubaliano anastahili kufukuzwa au Ajiuzulu mtoto wa mkulima.Ni hayo shemeji yangu.(plz acha kuharibu siku yako).12 minutes ago*·*Like
      [*] Henry Kilewo*‎Violet Mzindakaya:ninachotaka tayari nishakifanya kukufikishia ujumbe yakuwa nyie makada mnaua hii nchi na hamtakaa mpate na nafasi hiyo tena.... na jibu nilikupa muulize PINDA na wewe YASSIN umefufukia wapi chalii yangu? mimi nipo bongo kwasasa natarajia kuondoka mwezi ujao11 minutes ago*·*Like
      [*]


      Hassan Haruna*sister usiwe mkali hizo ni changamoto@Violet Mzindakaya10 minutes ago*·*Like
      [*]


      Violet Mzindakaya*nakushukuru sana kwa ujumbe wako.........jipe moyo10 minutes ago*·*Like
      [*]


      Yassin Aboubakar*hahahaha kijana niko njiani naja kuangalia unavyo sema wameharibu niko Klein kwa sasa Gwanda boy @ Henry Kileo ni aje Building ? hahaha8 minutes ago*·*Like
      [*]


      Violet Mzindakaya*wala misina ukali kaka hasan,,,,,sema minimeuliza nieleweshwe naanza kuambiwa muulize Pinda si kashfa hiyo mi pinda namtoa wapi kumuuliza nimefanya makosa kuwauliza nyinyi marafiki mniambie.......................tatizo hatupendi kuelewa huyu anataka kufahamu nini????/we kada ndo jibu hilo????minikada kweli kwani nimeandika kwenye status yangu mininani?????CHANGAMOTO ziwe akili siyo matope na chuki binafsi7 minutes ago*·*Like
      [*] Henry Kilewo*‎Violet Mzindakaya:The way for a young man to rise is to improve himself in every way he can, never suspecting that anybody wishes to hinder him.*
      There is another old poet whose name I do not now remember who said, "Truth is the daughter of Time."6 minutes ago*·*Like*·**1 person
      [*]


      Violet Mzindakaya*sijui kiingereza andika lugha yetu ya taifat*Henry4 minutes ago*·*Like
      [*]


      Yassin Aboubakar*hahahaha unasikia kada hajui kingereza @ Henry kilewo , Kama vipi mpige kwa kiswahili gwanda2 minutes ago*·*Like
    • Henry Kilewo*brother...longtime tumekuwa tukisafa katika taifa hili so unapokutana na watu kama hawa lazima tuwaambie hii ni nyeusi na siyo nyeupe
 
[h=6]JAMANI HEBU NIJUZENI KWANI POSHO ZINA KIZUNGUMKUTI GANI HUKO DOM?????????gud sunday[/h]29 minutes ago*·*Like*·*
  • Yassin Aboubakar,*Violet Mzindakaya*and*Berinka Bella*like this.



    • Sanga Festo*Mtafute zito kwenye wall yake ameanalyize vizur.24 minutes ago*·*Like



    • Sanga Festo*Shemu mi c u23 minutes ago*·*Like



    • Violet Mzindakaya*mic u too shemu wangu...poa ngoja nicheki23 minutes ago*·*Like
    • Henry Kilewo*unajifanya hujui? we sikada? muulize pinda akusomee kwenye katiba kifungu kwa kifungu...... aisee kwishinee, tuliwaambia hamna uchungu na taifa hili mkaleta ukada ukweli umejieleza juzi...22 minutes ago*·*Like



    • Violet Mzindakaya*we henry kaka tuheshimiane kuwa kada siyo ndo kujua kila kitu minimeuliza kama ningekuwa najua ningeuliza?????au una hamu tu yakuiharibu jumap[ili yako kupitia kwangu????/kama huwezi kunambia jichenge siyo lazma we vp???/21 minutes ago*·*Like



    • Chacha Mathew*Yaps, check na Zito ndo mwanzilishi wa hili sekeseke, hawa wengine watakuzingua 2 ccta V.19 minutes ago*·*Like
    • Henry Kilewo*popote pale nionapo neno la kada lazima ni mnyookee coz ur klng dic country...18 minutes ago*·*Like*·**1 person



    • Violet Mzindakaya*mi zitto siyo rafiki yangu kwenye fcb......nyi niambieni tu,,kwani si mnajua??????18 minutes ago*·*Like



    • Violet Mzindakaya*sasa kaka wanyokee hao hao kwangu tutanyookana,,,,,,,,na hulazimishwi ku comment kwangu na mimi ni KADA,,,,,,,sasa fanya unalotaka.........17 minutes ago*·*Like*·**1 person



    • Yassin Aboubakar*Gwand boy unaongea nini wewe ?@ Henry Kileo17 minutes ago*·*Like*·**1 person
      [*]


      Violet Mzindakaya*‎@henry kilewo.....,,,,muulize wewe yassin mana naona kitui cha......tayari sa hizi anataka kumalizia kwangu heshima kuheshimianan bwana....15 minutes ago*·*Like
      [*]


      Violet Mzindakaya*umemaliza@henry kunyooka na mimi????13 minutes ago*·*Like
      [*]


      Sanga Festo*Zito amesewa waziri mkuu inatakiwa ajiuzulu ama Afukuzwe kazi.Nikutokana na kusaliti maamuzi ya mapema kabla ya bunge kuwa Posho za wabunge zielekezwe kwenye Mfuko wa maendeleo wa miaka mitano(nadhani unajua mpango huo).Kwa kuwa amekiuka makubaliano anastahili kufukuzwa au Ajiuzulu mtoto wa mkulima.Ni hayo shemeji yangu.(plz acha kuharibu siku yako).12 minutes ago*·*Like
      [*] Henry Kilewo*‎Violet Mzindakaya:ninachotaka tayari nishakifanya kukufikishia ujumbe yakuwa nyie makada mnaua hii nchi na hamtakaa mpate na nafasi hiyo tena.... na jibu nilikupa muulize PINDA na wewe YASSIN umefufukia wapi chalii yangu? mimi nipo bongo kwasasa natarajia kuondoka mwezi ujao11 minutes ago*·*Like
      [*]


      Hassan Haruna*sister usiwe mkali hizo ni changamoto@Violet Mzindakaya10 minutes ago*·*Like
      [*]


      Violet Mzindakaya*nakushukuru sana kwa ujumbe wako.........jipe moyo10 minutes ago*·*Like
      [*]


      Yassin Aboubakar*hahahaha kijana niko njiani naja kuangalia unavyo sema wameharibu niko Klein kwa sasa Gwanda boy @ Henry Kileo ni aje Building ? hahaha8 minutes ago*·*Like
      [*]


      Violet Mzindakaya*wala misina ukali kaka hasan,,,,,sema minimeuliza nieleweshwe naanza kuambiwa muulize Pinda si kashfa hiyo mi pinda namtoa wapi kumuuliza nimefanya makosa kuwauliza nyinyi marafiki mniambie.......................tatizo hatupendi kuelewa huyu anataka kufahamu nini????/we kada ndo jibu hilo????minikada kweli kwani nimeandika kwenye status yangu mininani?????CHANGAMOTO ziwe akili siyo matope na chuki binafsi7 minutes ago*·*Like
      [*] Henry Kilewo*‎Violet Mzindakaya:The way for a young man to rise is to improve himself in every way he can, never suspecting that anybody wishes to hinder him.*
      There is another old poet whose name I do not now remember who said, "Truth is the daughter of Time."6 minutes ago*·*Like*·**1 person
      [*]


      Violet Mzindakaya*sijui kiingereza andika lugha yetu ya taifat*Henry4 minutes ago*·*Like



    • Yassin Aboubakar*hahahaha unasikia kada hajui kingereza @ Henry kilewo , Kama vipi mpige kwa kiswahili gwanda2 minutes ago*·*Like
    • Henry Kilewo*brother...longtime tumekuwa tukisafa katika taifa hili so unapokutana na watu kama hawa lazima tuwaambie hii ni nyeusi na siyo nyeupe
kwani wewe ulikuwa huwajui makada? ila bora umemwambia maana huyu anajifanyaga kuwa amekunywa maji ya bendera, endeleeni kuwapiga kwenye majukwaa mbalimbali mpaka waukubali ukweli
 
Facebook bwana akili zao mbovu kweli lakini kwaa hili wacha wamweleze . HIvi Mzindakaya huwa haji hapa JF ? Si ajaribu kutia mguu ? Hapa ndiyo wako watu wenye majibu Facebook wengi vijana .
 
lol kilewo ni noma ukipita huku naomba unijibu kati ya wewe na kada nani aliomba kupinga urafiki ? Duh manake urafiki wenu hadi raha mnapeana ya usoni hadi kada kaona vimulimuli
 
lol kilewo ni noma ukipita huku naomba unijibu kati ya wewe na kada nani aliomba kupinga urafiki ? Duh manake urafiki wenu hadi raha mnapeana ya usoni hadi kada kaona vimulimuli

ila alichofanya KILEWO ni sahihi, kwenye mambo ya msingi ya taifa urafiki unaweka pembeni unaingia mzigoni then hayo mengine yatafuata baadae, *big up vijana wa CDM
 
- Unfair: huwezi kuwa Makerere University ukawa hujui English wale sio kama sisi wababaishaji!

Willie @ NYC, USA.

sasa sikasema mwenyewe? mbona unamjibia? yaani nyie watoto wa magamba mnataka kutuambia mnajua kila kitu, siyo vyote ving'aavyo ni dhahabu... mmeshikwa kila mahala, si FCB,JF,TWITTER na bungeni na kwenye majukwaa ya kisiasa
 
Wenye kumfahamu KILEWO wamuambie aingie humu ndani watoto wa magamba wanataka kugeuza mjadala kuwa wa kikabila
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom