Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 2,360
- 5,775
Kinachoendelea kupata umbeya, pia nikujifunza mambo mbalimbali.
Kwanza chanzo cha MNYUKANO, Diva alianza kumuongelea vibaya mitandaoni, marehemu Dida aliye kuwa mtangazaji mwenzake, hapo wasafi.
Watu hawakukubaliana nae, kwanini unamuongelea marehemu sasa, kwanini usingesema kipindi kile, tena unamuongelea kipindi amabcho unataka kuacha kazi na kwenda kujitegemea, unamaanisha sio kheri ni shari hiyo!
Baada ya kumsema marehemu kumbe marehem ana watu, jamaa na ndugu zake wee, acha kinuke mzeer, wamemvaa, sasa, Miongoni mwa watu waliosimamia show ni Juma Lokole aliyekuwa swahiba wa Dida.
Baada ya Diva kuona mambo yamemfika kooni raia zime muandama, akaona isiwe KESI, akaanza kutoa siri za ofisi na WAFANYAKAZI wenzake hapo Wasafi, tuachane na umbeya, nilitaka ni share elimu niliyo ipata kwenye huu mtifuano.
1. Kabla hujatengeneza urafiki na mtu wa kuambiana shida zenu mchunguze, ana kifua?
2. Punguza kiherehere mnapomjadili mtu, boss wenu au yeyote, tulia kuwa msikilizaji.
3. Kikulacho kinguoni mwako, marafiki zetu, wana mengi ya kutusema wanasubiri tuondoke!
4. Tuache kufeki maisha, kama huna huna tu, huyu diva anajiita tajiri, sasa hivi ndio siri inafichuka, alikuwa anasaidiwa na LUGUMI, kodi na pesa ya apartment aliyokuwa anaishi.
5. Alishawahi kudai hawezi ishi Goba na kupadharau, kumbe yeye mwenyewe kitonga hana hela.
6. Tujitegemee walau kidogo, inasemekana alikuwa anamuomba Diamond hela mara kwa mara, japo anadai alikuwa anakatwa kwa mshahara. Tujifunze kujitegemea tusiwe mizigo kwa maboss wetu, nao wana majukumu ya kifamilia. Ila Diamond namuonea huruma, kila msanii au jamaa akipata shida breki kwa Mondi!
Kuna dada mmoja nilikuwa nimepanga naye NYUMBA moja, alikuwa anajifanya mwema kwangu, kumbe huwa ananiteta na mambo mengine saa zingine nikawa namuona ananichora. Huwezi amini baadaye anataka tuwe closely sana nikamkataa live, kanitukana vibaya sikumjibu hata, nikatemana naye. Basi mambo niliyokuja kuyajua kumhusu yeye inasikitisha na kuogopesha sana, wanaume na wanawake tujitahidini kuweka mipaka ya kusema na watu private issues, we ropoka tu.
Wengine wataongezea chini.
Kwanza chanzo cha MNYUKANO, Diva alianza kumuongelea vibaya mitandaoni, marehemu Dida aliye kuwa mtangazaji mwenzake, hapo wasafi.
Watu hawakukubaliana nae, kwanini unamuongelea marehemu sasa, kwanini usingesema kipindi kile, tena unamuongelea kipindi amabcho unataka kuacha kazi na kwenda kujitegemea, unamaanisha sio kheri ni shari hiyo!
Baada ya kumsema marehemu kumbe marehem ana watu, jamaa na ndugu zake wee, acha kinuke mzeer, wamemvaa, sasa, Miongoni mwa watu waliosimamia show ni Juma Lokole aliyekuwa swahiba wa Dida.
Baada ya Diva kuona mambo yamemfika kooni raia zime muandama, akaona isiwe KESI, akaanza kutoa siri za ofisi na WAFANYAKAZI wenzake hapo Wasafi, tuachane na umbeya, nilitaka ni share elimu niliyo ipata kwenye huu mtifuano.
1. Kabla hujatengeneza urafiki na mtu wa kuambiana shida zenu mchunguze, ana kifua?
2. Punguza kiherehere mnapomjadili mtu, boss wenu au yeyote, tulia kuwa msikilizaji.
3. Kikulacho kinguoni mwako, marafiki zetu, wana mengi ya kutusema wanasubiri tuondoke!
4. Tuache kufeki maisha, kama huna huna tu, huyu diva anajiita tajiri, sasa hivi ndio siri inafichuka, alikuwa anasaidiwa na LUGUMI, kodi na pesa ya apartment aliyokuwa anaishi.
5. Alishawahi kudai hawezi ishi Goba na kupadharau, kumbe yeye mwenyewe kitonga hana hela.
6. Tujitegemee walau kidogo, inasemekana alikuwa anamuomba Diamond hela mara kwa mara, japo anadai alikuwa anakatwa kwa mshahara. Tujifunze kujitegemea tusiwe mizigo kwa maboss wetu, nao wana majukumu ya kifamilia. Ila Diamond namuonea huruma, kila msanii au jamaa akipata shida breki kwa Mondi!
Kuna dada mmoja nilikuwa nimepanga naye NYUMBA moja, alikuwa anajifanya mwema kwangu, kumbe huwa ananiteta na mambo mengine saa zingine nikawa namuona ananichora. Huwezi amini baadaye anataka tuwe closely sana nikamkataa live, kanitukana vibaya sikumjibu hata, nikatemana naye. Basi mambo niliyokuja kuyajua kumhusu yeye inasikitisha na kuogopesha sana, wanaume na wanawake tujitahidini kuweka mipaka ya kusema na watu private issues, we ropoka tu.
Wengine wataongezea chini.