Sasa mwisho wa umarioo ni kutobolewa spika maana utakuwa ushazoea dezodezobora hivyo kuliko kutobolewa spika
Arusha ndo zaobora hivyo kuliko kutobolewa spika
Hamkutimiza kikamilifu wajibu wenu mkiwa ni father-figures!Mliwaacha vijana wajichunge kama kuku wa kienyeji.Ndiyo matokeo yake.Na yapo mengi mengine.Samualeko!Kula chuma hiyo.
Kusah Vs Aunty Ezekiel
Rich mitindo Vs Jacklin Wolper
Lugendo Vs Shamsa Ford
Vijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika Kwa uchapakazi?
Mnakera.
Hata kuwashibisha na kuwatosheleza hawa makumbembe nayo ni kazi kubwa sana afadhali hata ukafyeke pori kuliko kuwa mume wa haya makumbembeKula chuma hiyo.
Kusah Vs Aunty Ezekiel
Rich mitindo Vs Jacklin Wolper
Lugendo Vs Shamsa Ford
Vijana wa kisambaa mmekuja kuwaje Wakati Sisi wazee wenu tulikuwa tunatambulika Kwa uchapakazi?
Mnakera.
Tanga nzima Kijana yoyote asipo kuwa marioo basi lazma awe PUNGA
Samaki kaona maji kulikoni kuangua kicheko hivo, watokea Tanga eti eeeh tanga raha 😅😅😅