Jamani wacha niseme wana kwa hili kwani huyu jaammaaa ni bonge l amtangazaji hata salama jabir akirudi pale pb hamuwezi na angepewa na hnl tuachane na yle tozi anashobokea wasichana na hata swaga...
Habari wadau,
Nimehakikishiwa na m1 wa mafundi wa riz1 aliyejenga pale darlive,kwamba ni ya kwake kabisa na pili ashanunua kile kiwanja cha pembeni cha CRDB na wanajenga parking,CRDB...
Tajiri na bilionea wa kwanza duniani Carlos Slim Helu wa Mexico
Anamiliki utajiri wa:$74 bilioni
Taarifa zilipatikana March 2011
Chanzo cha utajiri: Telecom
Umri: 71
Uraia: Mexico
Tajiri na...
Lets talk about NAPE NNAUYE as a celebrity in politics industry,is he just a famous person due to his position and responsibilities or he is a potential polititian deserving more tha what he...
Sameera Reddy The Hot And Sensational South Actress Sameera Reddy Spicy Hot Stills. Check Out Her Spicy Picture Gallery In HD Quality. She Has Worked In Bollywood Movies Too.
Kwa nini wasanii wengi wa Tz wanapenda kuimba nyimbo za kulalamika?
Malalamiko mengi ni kuachwa au kukataliwa kisa pesa...kilio kimekuwa ni pesa pesa..umasikini......ebu tujikumbushe hawa...
Wana JF,mwenzenu nimetafakari nimekosa jibu,maana vyuo ni vingi mno na wengi wanazidi kusoma,sasa wakimaliza hizo elimu,wapi watakwenda?Maana zamani vyo vilikuw avinahesabika ,,,
our broda has been traded once again.This time is from Houston Rockets to Portland TrialBlazers.The deal was confirmed on the NBA trade deadline.
he is still having some tough time in NBA as the...
Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa hawa jamaa wawili ambao wako katika fashion Ally Remtulah na Rio Paul ni wanajihusisha na vitendo vya ushoga.
Hii ni baada ya Ally Remtulah kuwa na tabia ya...
Mama Tunu Mizengo Peter Pinda, mtoto wa Mkulima, hana makeke ...sijamwaona muda mrefu hewani, leo namwona akiwa hewani TBC - 1 kuomba msaada wa kuicahngia CHANETA.
Kazi ya Mke wa Waziri Mkuu...
STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ‘Amber Rose wa Bongo', juzikati alinaswa akichunguliwa nyeti zake na msanii kutoka Afrika Kusini, Cleopas Monyepao ‘DJ Cleo'.
Tukio hilo...
mchekeshaji maarufu Sharo Milionea akiamba na mpira kuelekea langoni mwa timu ya wachekeshaji ya Mwanza na kuipatia timu yake bao la nne, Dar Comedy walishinda 4-3
Wanajamvi naomba kujuzwa aliko Francicy Kiwanga(kijana)mkurugenz wa tume ya haki za binamu,naona siku hizi kuna yule mama Helen kijo Bisimba,au ndo ameshukua nafasi yakijana yule
My take...
Dah aslay itabidi aende kwa mama kuwaremelea kili awards maana katika orodha zote nilizozipitia za kupiga kura za kili awards 2012 kwa kweli inasikitisha sana dogo aslay hayupo hata tuzo moja...
Mtindo wa Kata K
Mwizi mmoja hapa London aliyekuwa akijaribu kukimbia baada ya kufanya wizi wake, aliuhisi mkono wa sheria ukimkamata baada ya kuanguka, kwa kuwa alikuwa amevaa suruali yake...
Polisi wa Moscow
Polisi katika mji wa St Petersburg wamesema wamemkamata afisa wa polisi akiwa anaendesha gari la wizi.
Gazeti la RIA Novosti limeripoti siku ya Alhamis kuwa polisi huyo kapteni...
kuna ngoma nimezisikia leo Kiss Fm nikamkumbuka huyu Dj aliyekuwa pale Mawingu kwenye Mid morning jam! Kipindi hicho Clouds moto kweli! Dj Boogie Master alikuwa mkali wa selection ya nyimbo kali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.