Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Jamani wacha niseme wana kwa hili kwani huyu jaammaaa ni bonge l amtangazaji hata salama jabir akirudi pale pb hamuwezi na angepewa na hnl tuachane na yle tozi anashobokea wasichana na hata swaga...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wadau, Nimehakikishiwa na m1 wa mafundi wa riz1 aliyejenga pale darlive,kwamba ni ya kwake kabisa na pili ashanunua kile kiwanja cha pembeni cha CRDB na wanajenga parking,CRDB...
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Tajiri na bilionea wa kwanza duniani – Carlos Slim Helu wa Mexico Anamiliki utajiri wa:$74 bilioni Taarifa zilipatikana March 2011 Chanzo cha utajiri: Telecom Umri: 71 Uraia: Mexico Tajiri na...
1 Reactions
14 Replies
78K Views
Lets talk about NAPE NNAUYE as a celebrity in politics industry,is he just a famous person due to his position and responsibilities or he is a potential polititian deserving more tha what he...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Sameera Reddy The Hot And Sensational South Actress Sameera Reddy Spicy Hot Stills. Check Out Her Spicy Picture Gallery In HD Quality. She Has Worked In Bollywood Movies Too.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa nini wasanii wengi wa Tz wanapenda kuimba nyimbo za kulalamika? Malalamiko mengi ni kuachwa au kukataliwa kisa pesa...kilio kimekuwa ni pesa pesa..umasikini......ebu tujikumbushe hawa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wana JF,mwenzenu nimetafakari nimekosa jibu,maana vyuo ni vingi mno na wengi wanazidi kusoma,sasa wakimaliza hizo elimu,wapi watakwenda?Maana zamani vyo vilikuw avinahesabika ,,,
0 Reactions
0 Replies
1K Views
...................................... BuntyBubly: Large collection of bollywood wallpapers
0 Reactions
2 Replies
2K Views
our broda has been traded once again.This time is from Houston Rockets to Portland TrialBlazers.The deal was confirmed on the NBA trade deadline. he is still having some tough time in NBA as the...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Kuna tetesi zimezagaa mtaani kuwa hawa jamaa wawili ambao wako katika fashion Ally Remtulah na Rio Paul ni wanajihusisha na vitendo vya ushoga. Hii ni baada ya Ally Remtulah kuwa na tabia ya...
0 Reactions
57 Replies
26K Views
  • Closed
Mama Tunu Mizengo Peter Pinda, mtoto wa Mkulima, hana makeke ...sijamwaona muda mrefu hewani, leo namwona akiwa hewani TBC - 1 kuomba msaada wa kuicahngia CHANETA. Kazi ya Mke wa Waziri Mkuu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ‘Amber Rose wa Bongo', juzikati alinaswa akichunguliwa nyeti zake na msanii kutoka Afrika Kusini, Cleopas Monyepao ‘DJ Cleo'. Tukio hilo...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
mchekeshaji maarufu Sharo Milionea akiamba na mpira kuelekea langoni mwa timu ya wachekeshaji ya Mwanza na kuipatia timu yake bao la nne, Dar Comedy walishinda 4-3
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Wanajamvi naomba kujuzwa aliko Francicy Kiwanga(kijana)mkurugenz wa tume ya haki za binamu,naona siku hizi kuna yule mama Helen kijo Bisimba,au ndo ameshukua nafasi yakijana yule My take...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Dah aslay itabidi aende kwa mama kuwaremelea kili awards maana katika orodha zote nilizozipitia za kupiga kura za kili awards 2012 kwa kweli inasikitisha sana dogo aslay hayupo hata tuzo moja...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Source Jamii forums: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/234266-kikwete-safarini-marekani-2.html
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mtindo wa Kata K Mwizi mmoja hapa London aliyekuwa akijaribu kukimbia baada ya kufanya wizi wake, aliuhisi mkono wa sheria ukimkamata baada ya kuanguka, kwa kuwa alikuwa amevaa suruali yake...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Polisi wa Moscow Polisi katika mji wa St Petersburg wamesema wamemkamata afisa wa polisi akiwa anaendesha gari la wizi. Gazeti la RIA Novosti limeripoti siku ya Alhamis kuwa polisi huyo kapteni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kuna ngoma nimezisikia leo Kiss Fm nikamkumbuka huyu Dj aliyekuwa pale Mawingu kwenye Mid morning jam! Kipindi hicho Clouds moto kweli! Dj Boogie Master alikuwa mkali wa selection ya nyimbo kali!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuuliza nani mwenye Taarifa za Mtangazaji wa BBC anaitwa Lubunga Biyaombe? jamaa alikua anatangaza kutokea kule D.R.C..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom