Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Toka Morogoro mastar wawili wa muziki wa Bongo Flava wanatengeneza news siku yale, hawa ni Selemani Msindi, ‘Afande Sele’ na Abbas Kinzasa ‘20%’, ambapo juzi walizua tafrani kubwa mjini Morogoro...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi East Africa Radio ambacho kinaendeshwa na Misago,alikuwa anafanya mahojiano na Msanii maaarufu kanda za kaskazini JCB,kuwa anaionaje hali ya Arusha na maswala...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Players, fans and others shows their suport for Bolton miedfielder, Fabrice Muamba who is still in critical condition at Chest Hospital due to cardiac arrest happened to him in this weekend's FA...
3 Reactions
37 Replies
4K Views
Nampenda kwa jinsi anavyoandaa vipindi vya michezo vya kwenye luninga.. Huyu bwana anaipenda kazi yake kweli! Kamarada wala hamfikii..
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Afande Sele na msani mwenzake 20p% wamekamatwa jana na polisi mkoani morogoro jana na kufikishwa mahakamani leo kwa kosa la kufanya fujo na kuharibu mali.
1 Reactions
31 Replies
4K Views
msanii wa kizazi kipya CHID BENZZ
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Wanapo kwenda ni pabaya sababu kama ni mfatiliaji wa taarifa za habari,jana niliamua kuchungulia tbc1 na kukutana na habari inayohusu wao kuandaliwa mpambano j.pili. Sikuwa na tatizo na hilo bali...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Huyu si nanihii yule au namfananisha tu? Kabambwa anafanya shopping mahali
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Askari wa jeshi la polisi nchini wamempa kibano staa wa bongo freva, Abdul Sykes'Dully Sykes'. Dully, alivuka mataa wakati askari wa usalama barabarani walikuwa wamezuia magari kupita ili kupisha...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamaa mshamba kweli. Anaulizwa na Diva kama ana girlfriend anajibu ooh maswala ya siasa yasichanganywe na siasa. Clouds wakaamua kumkatia simu. Yaani huyu jamaa anafikiri kila sehemu ni kuuza...
0 Reactions
213 Replies
19K Views
Kwa upande wake mgombea ubunge, Bw. Joshua Nassari, naye alimvaa Bw. Wassira kwa kauli yake ya kutaka wananchi wasimchague kwa kuwa hajaoa. "Kwa kuwa wameniambia sijaoa, nitamuoa Halima Mdee...
0 Reactions
151 Replies
21K Views
The Legend Flora Mbasha and her husband Mr Emmanuel Mbasha as they visited VOA studio in Washington DC in USA Boston, USA, Wednesday, April 4, 2012. INTRODUCTION It is now approaching a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yule NGULI wa Maskendo bongo anafanya Mahojiano na Jamaa wa XXL muda huu...
0 Reactions
193 Replies
31K Views
...................... BuntyBubly: Biggest portal for wallpaper desktop
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waungwana na wakubwa zangu kwa heshima kubwa ninaomba nimrudishe huyu Mana kwenye majadiliano yetu ya kila siku, pengine wengi mmesikia mambo yake, wengine mmetetea tusimnyoshee mtumishi wa Mungu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mnamkumbuka huyu dada she came into limelight na hiyo bendi kipindi flani na mi binafsi nlikua namhsudu sana. Sasa alidisappear kimya kimya na ghafla na hadi leo najiuliza bila majibu alienda...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
http://youtu.be/ZzXyrhFjeBY
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mkuu wa jeshi la polisi mstaafu kaaga dunia mchana huu, poleni sana wafiwa
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi huyu bidada miziki yake huwa inapigwa bongo? Kwa habari zaidi kuhusu miziki yake na bio gonga chini... ReverbNation My take: huyu dada ni mwanamziki ambaye maybe hajapata producer ama...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Back
Top Bottom