Nipo naangalia program yao kupitia TBC,yaonekana wamechoka.Hata kipindi cha leo,just imagin mambo ya jairo na igunga ya mwezi wa kumi mwaka jana.IVI KWA NINI WALIMTUKANA MAMBA HALI HAWAJAVUKA...
Katika siku za karibuni katika tasnia ya muziki wa bongo zimeibuka bifu nyingi hasa kwa wasanii wa HIP HOP TANZANIA
mfano:
Roma/izo B
chid beenz/Afande sele
soggy/afande sele
kikosi cha...
Aliyewahi kuwa Mrs. Majani, malkia wa Bongo Records na sasa Bongo Movie actress Kajala Masanja, mapema leo amechukuliwa na kufungwa Segerea kufuatia mashitaka ya ufujaji wa pesa za umma...
Yaonekana mwanadafada Wema siku hizi baada ya kuachana na almasi a.k.a diamond amekuwa wa kujiachia na kufanya matanuz amabyo duuuuhhhhhhh!!!!!! amekuwa mtu wa shoppings hapa home, na sasa yuko...
A Death by Skin Cancer? The Bob Marley Story
Dr Cleland Gooding MD., F.A.A.D., a physician with a specialty in Skin Diseases employed by the Bahamas Government, has...
The Kenyan government has been urged to implement the laws on sex tourism. Truth, Justice and Reconciliation Commission acting chair Tecla Namachanja said lax laws are to blame for sexual...
Kwa wale wenye wajukuu kama Baba_Enock na walikuwa wapenzi wa Mpira wa Kikapu nadhani mtakuwa mnamkumbuka sana Rodman aka "BadBoy"...
Inasemekana hali yake ya kifedha si njema sana...
WaKATI NCHI IKO Kwenye janga kubwa la afya kuwahi kutokea, na wengi wakitaharuki baada ya kusoma matokeo ya kidato cha nne...huko kwenye burudani yanayojiri ni haya...
Mimi binafsi nisikiapo sauti ya kiongozi wa nchi Redioni au kwenye luninga roho hunidunda najua kuna kitu muhimu nakuja kusikia Sasa hawa wa jamaa clouds naona kama wanaitumia vibaya sauti ya Mkuu...
Yani na kelele zao zote hapa mjini ni asilimia 20 tu ndo wana miliki magari yenye thamani zaidi ya milioni kumi na tano. Wengine wote ni chini ya hapo. Alafu makelele kila kukicha..kwenye...
Sikatai kila mtu ana haki ya kuamua kitu lakini nimekuwa nikijiuliza kaka yetu sunzu ataacha lini kujichubua na hili linamfanya hata alipoumia kwa kweli upande wa kushoto ukiangalia namkumbuka...
huyu padri alikua ni mwalimu wangu pale Visiga enzi izo.....hongera padri kwa katoto! h
Skendo ya ngono inaitikisa Kanisa la Katoliki, Parokia ya Mburahati lililopo wilayani Kinondoni jijini...
Yani na kelele zao zote hapa mjini ni asilimia 20 tu ndo wana miliki magari yenye thamani zaidi ya milioni kumi na tano. Wengine wote ni chini ya hapo. Alafu makelele kila kukicha..kwenye...
Omotola and husand celebrate 16 years of marriage
The star actress wed her pilot husband Mathew Ekeinde exactly today (March 23 1996) 16 years ago at the Ikeja registry. Their white wedding held...
Leo katika kipindi cha SUPER MIX EAST AFRICA RADIO,alikuwepo seleman msindi AFANDE SELE amezungumza mambo mengi tena kwa uchungu kwa mfano amesema kuwa harakati za kupinga virus wa huu mziki...
Mkali wa bongo movie ambaye pia ni muimbaji wa bongo flava Hemedy Suleiman PHD leo usiku kuanzia mishale ya saa 4 na nusu usiku atakuwa katika kipindi cha weekend chat show ndani ya clouds...
FAMILIA ya hayati Whitney Houston imemwomba mwanamuziki, Ray J, asitoe mkanda wa video unaomwonyesha akiwa faragha na Whitney baada ya habari za kutaka kutolewa mkanda huo kuzagaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.