ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 931
Mama Tunu Mizengo Peter Pinda, mtoto wa Mkulima, hana makeke ...sijamwaona muda mrefu hewani, leo namwona akiwa hewani TBC - 1 kuomba msaada wa kuicahngia CHANETA.
Kazi ya Mke wa Waziri Mkuu kumbe si kubwa sana kuliko ya First Lady..(First Lady leo anaonekana akizingua chama cha wanawake wa Kiislamu pale "Islamic Uni ya Moro Tanesco"
Kazi ya Mke wa Waziri Mkuu kumbe si kubwa sana kuliko ya First Lady..(First Lady leo anaonekana akizingua chama cha wanawake wa Kiislamu pale "Islamic Uni ya Moro Tanesco"