supermario
Member
- Dec 2, 2011
- 48
- 15
Yani na kelele zao zote hapa mjini ni asilimia 20 tu ndo wana miliki magari yenye thamani zaidi ya milioni kumi na tano. Wengine wote ni chini ya hapo. Alafu makelele kila kukicha..kwenye magazeti,redioni na tv!
kazi kuvaa vitu feki na kujigamba. Look at kenya n uganda. People are serious with their music and acting cause thats their work and they value.
I really appreciate someone who talks and his words are supported by his actions! Non of our so called celebs here in Tzd own a house or if there is its not above 10% of them. So why the talk talk? borrowing money n nguo to look good on videos and movies while your own nothing is a shame.
I live close to a musician who thinks is on top of his game when hes behind the radio na kuongea na kucheka kama yeye ni supasta wa juu kumbe anakoishi na ndugu zake walio kuja kutoka nao mkoani ni kwa kushangaza..jamaa alibidi hadi ampeleke demu kwa msela anayeishi jirani na kwake kwa madai ndipo anapoishi.
Tembelea blog ya millard ayo ujionee wanavyo tabasamu ndani ya opa!
These guys need to be told the truth rather than kucheka nao na kusoma habari zao za ovyo kila siku. Hawaoni kina bebe cool na wenzao..tutabakia nyuma milele!
Millard Ayo
kazi kuvaa vitu feki na kujigamba. Look at kenya n uganda. People are serious with their music and acting cause thats their work and they value.
I really appreciate someone who talks and his words are supported by his actions! Non of our so called celebs here in Tzd own a house or if there is its not above 10% of them. So why the talk talk? borrowing money n nguo to look good on videos and movies while your own nothing is a shame.
I live close to a musician who thinks is on top of his game when hes behind the radio na kuongea na kucheka kama yeye ni supasta wa juu kumbe anakoishi na ndugu zake walio kuja kutoka nao mkoani ni kwa kushangaza..jamaa alibidi hadi ampeleke demu kwa msela anayeishi jirani na kwake kwa madai ndipo anapoishi.
Tembelea blog ya millard ayo ujionee wanavyo tabasamu ndani ya opa!
These guys need to be told the truth rather than kucheka nao na kusoma habari zao za ovyo kila siku. Hawaoni kina bebe cool na wenzao..tutabakia nyuma milele!
Millard Ayo