Mastaa wa bongo(movie na muziki)

supermario

Member
Dec 2, 2011
48
15
Yani na kelele zao zote hapa mjini ni asilimia 20 tu ndo wana miliki magari yenye thamani zaidi ya milioni kumi na tano. Wengine wote ni chini ya hapo. Alafu makelele kila kukicha..kwenye magazeti,redioni na tv!
kazi kuvaa vitu feki na kujigamba. Look at kenya n uganda. People are serious with their music and acting cause thats their work and they value.
I really appreciate someone who talks and his words are supported by his actions! Non of our so called celebs here in Tzd own a house or if there is its not above 10% of them. So why the talk talk? borrowing money n nguo to look good on videos and movies while your own nothing is a shame.
I live close to a musician who thinks is on top of his game when hes behind the radio na kuongea na kucheka kama yeye ni supasta wa juu kumbe anakoishi na ndugu zake walio kuja kutoka nao mkoani ni kwa kushangaza..jamaa alibidi hadi ampeleke demu kwa msela anayeishi jirani na kwake kwa madai ndipo anapoishi.
Tembelea blog ya millard ayo ujionee wanavyo tabasamu ndani ya opa!
These guys need to be told the truth rather than kucheka nao na kusoma habari zao za ovyo kila siku. Hawaoni kina bebe cool na wenzao..tutabakia nyuma milele!
Millard Ayo
 
tumekubali sawa wanamiliki magari, awaulize je? na nyumba wamejenga? ama ikifika usiku wanalala ndani ya magari?
 
" Taswira ndani ya mboni wasanii kumiliki magari(yale aliyozungumzia fid#) nyumba za kulala hatuzioni,mtangazaji bila mkwanja uitia nyimbo kapuni,wadau wa mziki wananeemeka wasanii tuna hali duni mdosi ananiambia toka nigonge kopi mia hajauza hata kumi"---Inspector Haroun Babuu Triple 5.
 
"Magazeti yanauza kwa skendo za wasanii,machinga wanauza kopi cosota wamekula jii,shabiki ana burn nyimbo na shoo anaingia free"---Roma ehhee Tanga is mine.
 
"Jasho la mc ndio maziwa ya mdosi ,sasa tunageuza sumu hautaki kunywa tunaforce,mkwanja mbuzi mnaotulipa hautoshi kununua mavazi,vp malazi?? Mnataka tuwe wote majambazi,john mjema kajiua kisa nyinyi ndio source"---Solo Thang Ulamaa wa mbagara
 
Wenyewe walishaimba Bongo fleva is all about MISOSI, MITUNGI na PAMBA .....usikute hata starlet zao ni za kugongea kwa washkaji.
 
Back
Top Bottom