kishanshuda
Member
- Feb 25, 2011
- 73
- 11
Yaonekana mwanadafada Wema siku hizi baada ya kuachana na almasi a.k.a diamond amekuwa wa kujiachia na kufanya matanuz amabyo duuuuhhhhhhh!!!!!! amekuwa mtu wa shoppings hapa home, na sasa yuko zake dubai kwa ajili ya shopping na matembezi kidogo,
hapo akitafuta michuchumiooooo.......................halaaaaa,
madiniiiiiii...................usimsahau shamim zeze wa 8020, anapenda huyoooooo
binafsi najarib tafakari ni kazi gan huyu bibie anafanya siku hiz ambayo inamlipa kiasi hicho hadi anafanya hayo na mengineyo zaidi???, je ni hizi bongo movie tuuu au kuna mzito mmoja au kadhaa wanamuwezesha binti na matanuz hayaaaa?????
mwenye habari jaman, nani anachukua mzigo huu siku hizi jaman!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????
hapo akitafuta michuchumiooooo.......................halaaaaa,
madiniiiiiii...................usimsahau shamim zeze wa 8020, anapenda huyoooooo
binafsi najarib tafakari ni kazi gan huyu bibie anafanya siku hiz ambayo inamlipa kiasi hicho hadi anafanya hayo na mengineyo zaidi???, je ni hizi bongo movie tuuu au kuna mzito mmoja au kadhaa wanamuwezesha binti na matanuz hayaaaa?????
mwenye habari jaman, nani anachukua mzigo huu siku hizi jaman!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????