Huu ndio msimu wao??

Fraddle b

JF-Expert Member
Nov 20, 2011
222
18
Katika siku za karibuni katika tasnia ya muziki wa bongo zimeibuka bifu nyingi hasa kwa wasanii wa HIP HOP TANZANIA
mfano:
Roma/izo B
chid beenz/Afande sele
soggy/afande sele
kikosi cha mizinga(kala pina)/WEUSI
Nick mbishi/WEUSI
chid beenz/jay moe.
POINTI YA MSINGI NDIO TUSEME HUU NDIO MSIMU WAO WA BEEF KWA WANA HIP HOP??
 
beef ni muhimu ktk hip-hop,hip-hop heads wanaelewa hili,ni kama kijana anaporithi ufalme halafu anatangaza vita na falme tofauti,kifupi ni kwamba beef inakuza hip-hop.mfano mzuri 2pac na Biggie walifanikiwa sana kutokana na beef,na hiyo ikasaidia kupaisha watu wengine kama Jay z na snoop.
 
beef ni muhimu ktk hip-hop,hip-hop heads wanaelewa hili,ni kama kijana anaporithi ufalme halafu anatangaza vita na falme tofauti,kifupi ni kwamba beef inakuza hip-hop.mfano mzuri 2pac na Biggie walifanikiwa sana kutokana na beef,na hiyo ikasaidia kupaisha watu wengine kama Jay z na snoop.

lakini bongo wamezidi,halafu wako wengi mkuu
 
Katika siku za karibuni katika tasnia ya muziki wa bongo zimeibuka bifu nyingi hasa kwa wasanii wa HIP HOP TANZANIA
mfano:
Roma/izo B
chid beenz/Afande sele
soggy/afande sele
kikosi cha mizinga(kala pina)/WEUSI
Nick mbishi/WEUSI
chid beenz/jay moe.
POINTI YA MSINGI NDIO TUSEME HUU NDIO MSIMU WAO WA BEEF KWA WANA HIP HOP??

Kwenye "red"=Wasanii wanojiita wanahiphop
 
Katika siku za karibuni katika tasnia ya muziki wa bongo zimeibuka bifu nyingi hasa kwa wasanii wa HIP HOP TANZANIA
mfano:
Roma/izo B
chid beenz/Afande sele
soggy/afande sele
kikosi cha mizinga(kala pina)/WEUSI
Nick mbishi/WEUSI
chid beenz/jay moe.
POINTI YA MSINGI NDIO TUSEME HUU NDIO MSIMU WAO WA BEEF KWA WANA HIP HOP??

Wana target soko la pasaka kuanzia alhamis kuu,ijumaa kuu,jumamosi kuu,junapili ya pasaka na jumatatu ya pasaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom