Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

mabwepande au?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
watch out the winner!
0 Reactions
12 Replies
3K Views
MUUZA sura anayetamba kwenye video za Kibongo, Agness Jerald ‘Masogange' juzikati alinusurika kuaga dunia baada ya kuchanganya pombe na dawa aina ya Cephalaxin kutokana kuudhiwa na...
0 Reactions
37 Replies
8K Views
Action star and noted tax hater Wesley Sniper turns 50 years old on Tuesday. But we're guessing he won't be getting a very nice cake. Snipes, who became a huge star in the '90s with roles in...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Namuulizia huyu dogo anaetumia jina la usanii kama mr blue,yuko wapi na anafanya nini?maana longtime sana sijamsikia tangu atoke na ile ngoma yake ya tilalila.
0 Reactions
22 Replies
11K Views
Nasib Abdul Juma ‘Diamond’. STAA wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu na kichwa kinachotingisha katika Bongo Fleva, Nasib Abdul Juma ‘Diamond’ wamenaswa wakiwa beneti mkoani Kigoma, Ijumaa lina...
0 Reactions
24 Replies
17K Views
wadau mambo vipi! naomba kufahamu web au blogs nazoweza kudownload miziki ya kibongo! pia muvi kali za action za kizungu!
0 Reactions
8 Replies
17K Views
Huyu jamaa sijui ana matatizo gani, kila siku ni ugomvi kwa kwenda mbele. Aligombana na Sugu, akagombana na O Ten, akagombana tena na P Funk, amegombana na Madee, amegombana na kina Ditto...
0 Reactions
25 Replies
9K Views
maandamano aliyofanya jana jose chameleon ubalozi wa tanzania nchini uganda yamemuwezesha kupata passport yake,passport amepata kupitia Air Uganda inayofanya safari zake entebe to dar. sasa hiv...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Kwa kuangalia Mwenendo wa Filamu Zetu na Jinsi wasanii wetu ambavyo hawaangalii Mbele na wanachojali ni Pesa pekee. Na hata siku Moja hawajaangalia Wenzao wanafanya nini katika Soko kuanzia la...
2 Reactions
11 Replies
4K Views
In unconfirmed news tumesikia kwamba Chameleone and his crew's passports have been detained by Eric Shigongo akimtaka ampe dola 3500 aliyotapeliwa na waganda wasiofahamika. Kwa mujibu wa...
1 Reactions
134 Replies
17K Views
  • Closed
Nasikiliza clouds fm dina marios anauliza watu wanapenda harufu gani mbaya...wengine wanasema wanapenda harufu ya uke,,kinyesi, petroli na kadharika...mimi najiuliza hii inafaida gani kwenye...
0 Reactions
60 Replies
47K Views
Kwa moyo mkunjufu nawaomba mmpigie PREZZO kura. Mpigie kura katika hii link VOTE PREZZO Ama ingia katika wesite http://www.bigbrotherafrica.com kisha uchague jina lake halafu ubofye kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
dua za watanzania zimekubaliwa
0 Reactions
58 Replies
26K Views
Russell's gonna get tired of looking at her and drop her pretty ass Damn let me get some money, man...I'mma have hella concubines. M&S lingerie model Noemie Lenoir falls for rap mogul...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Nimewasikiliza gerard hando na paul james leo na power breakfast wakiongea an tom mlambo wa super sports aiseeeeeeee.......hawa jamaa wapewe ufadhili wakanoe kingreza savanna inter schools.....
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Kama lady gaga sio freemason iweje wema sepetu,wolper ni freemasons...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
KESI ya msanii wa fani ya filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu Lulu, imeahirishwa hadi Agosti 20 mwaka huu, kutokana na Jaji anayeisikiliza, DK Fauz Twaib, kuwa na majukumu mengine.Akiahirisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
huyu demu tokea alivyumbuliwa na H. Baba kwamba anamtuhumu H.Baba hajui mapenzi kumbe anataka aliwe tiGO katulia tuliii ka maji ya mtungini vile,kumbe mombasa raha eeeh?,tujuze yakheeeee
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msanii wa toka kundi la vichekesho la Original Komedi, Mpoki amedondosha pini lake jipya liitwalo 'Mademu'. Wimbo huo ambao unazungumzia tabia za mademu tofauti tofauti kutoakana na sehemu...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…