Sifa zote njema ni za mwenyezimungu mola mlezi wa viumbe vyote, yeye tu ndio tunamuabudu na yeye tu tunamuomba msaada na alitakalo ni kun fayakun. inawezekana kwani asichokiuwa mungu binadamu hawezi kukiua kabisa. inshallah twakutakia kila la kheri uzidi kupata nafuu na urudi kwenye kazi zako. ila nakupa ushauri mmoja tu usiache kumshukuru Allah na kumsujudia kila wakati. na pongezi sana zimuendee mkewe wastara juma kwa kuwa na subra na mumewe na kumuuguza kwa dhati, mwenyezimungu awajaalie maskizano na upendo katika ndoa yao. Amin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.