Tupeni info sioni kitu hapo,umeweka nini picha au? Kama ni picha ambayo ana damu nakumbuka ashatolea maelezo kwamba kuna trak yake ameitoa ame-act jinsi alivyotekwa ulimboka na kumpeleka msitu wa pande,ebu nipe info ndio ni-confirm!
mkubwa kama ulikuwepo kuna mtu kani watsapp picha flani ila nadhani nimezielewa kutokana na maelezo yako....e bwana siku izi ku upload picha inanizingua sana ebu nipe maujanja zaidi maana ni niki attch au ku insert inagoma ku browse....