Featured content

Serikali: Watumishi wa Umma mtafanyia kazi nyumbani Oktoba 30
Msigwa amewatangazia Watumishi wote wa Umma kutotoka nyumbani kesho
Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025: Matukio na taarifa mbalimbali Mubashara
Utangulizi Oktoba 29, 2025 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu katika mazingira yanayoelezwa kuwa yenye hali wasiwasi mkubwa na taharuki. Uchaguzi huu unakuja takriban mwaka mmoja baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, uliosababisha mijadala mikubwa kutokana na matukio ya ukiukwaji wa haki za wagombea, uonevu, mauaji na vitendo vya kuzuia baadhi ya watu kushiriki katika uchaguzi huo. Tukio hilo lilichukuliwa na wengi kama ishara mbaya, na wachambuzi kadhaa walitabiri...
2025 Tanzania Elections: Live Updates and Events monitoring
On October 29, 2025, Tanzanians will vote to elect leaders for the next five years amid heightened political tensions. ACT-Wazalendo presidential candidate Luhaga Mpina has been removed twice from the National Electoral Commission’s (NEC) list, while opposition party CHADEMA is boycotting the polls, demanding a new constitution and an independent electoral commission. CHADEMA leaders face treason charges and detentions, fueling citizen frustration amid reports of corruption, abductions, and...
Muliro na Mafwele walivyorekodiwa wakiongelea maandamano na wanavyokamata watu
Wakuu, Haya nimewaletea kile chote alichosema Mafwele na Muliro kwenye kipande cha audio ya dk 9 walichorekodiwa na askari wakati wakiwaonya kuhusu kujihusisha na maandamano na kuripoti watu wanaojihusisha na maandamano au wanaoelekea huko ili washughulikiwe. Mbali na kuwakanya wamepewa na vitisho, kwamba wajue wanakufa mara moja tu, mtu hawezi kufa mara mbili, kama wanajiona wao ndio wao na kusema wasiwatishe, sasa wajaribu waone! Ila askari wamenifurahisha sana, mbali na kutishiwa...
Mfanyabiashara Jeniffer Jovin ‘Niffer’ adaiwa kupigwa na kuchukuliwa na ‘wasiojulikana’
Faiza Ally amedai kuwa mfanyabiashara Niffer amepigwa sana na amechukuliwa na watu wasiojulikana, Niffer ambaye kwa siku za ivi karibuni amekuwa akionekana kucheza Challenge Nywinywi katika kurasa zake za mitindao ya kijamii.
Kumbukizi: Rais Magufuli alipogoma kumsalimia kwa mkono Paul Makonda
Ilikuwa Novemba 2019, wakati wananchi wangi walipokuwa wakilalamikia matendo yake kama Mkuu wa Mkoa wa Dar
Madagascar yamfuta uraia Rais aliyepinduliwa
Madagascar imemfuta uraia aliyekuwa rais wa nchi hiyo kabla ya kupinduliwa na jeshi. Waziri mkuu, Herintsalama Rajaonarivelo ndiye ametia sahini maamuzi haya ya kihistoria. Habari hii ni kwa mujibu wa BBC --- The order, signed by new Prime Minister Herintsalama Rajaonarivelo, cited local laws stipulating that people who acquired foreign citizenship should lose their Malagasy nationality. Rajoelina, 51, obtained French citizenship a decade ago, prompting calls for his disqualification...
UDSM yailaani UDASA kwa kukosa “Maadili ya Umma”
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ni taasisi ya umma, inayozingatia misingi ya kitaaluma, katiba, sheria za nchi, na maadili ya umma, na kujikita katika mijadala yenye tija kwa maendeleo endelevu na mshikamano wa kitaifa. Tunatoa wito kwa Watanzania wote wenye sifa za kisheria kushiriki kikamilifu katika Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, kwa amani, utulivu na uzalendo, tukizingatia kwamba amani ni msingi wa maendeleo, demokrasia, na ustawi wa Taifa letu. Pia soma: GE2025 - Jumuiya ya...
Japan: Takaichi achaguliwa kuwa Waziri Mkuu wa kwanza mwanamke
Sanae Takaichi kutoka chama cha Liberal Democratic Party (LDP) alishinda katika uchaguzi uliofanyika mapema Oktoba 21, 2025, ikiwa ni jaribio lake la tatu la kuwa Waziri Mkuu. Baada ya kuchaguliwa, Takaichi anatazamwa na wengi ni kwa namna gani atakabiliana na changamoto zinazojumuisha uchumi duni, uhusiano mbaya dhidi ya Marekani na mataifa mengine, lakini pia kuunganisha chama tawala ambacho kimetikiswa na kashfa pamoja na migogoro ya ndani.
Ufaransa: Rais Mstaafu Sarkozy aanza kutumikia kifungo cha miaka 5 jela
Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy (2007 – 2012), ameanza kutumikia kifungo chake cha miaka mitano gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kutafuta ufadhili wa kampeni kutoka kwa kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, katika uchaguzi ambao alishinda. Sarkozy anakuwa Rais wa kwanza wa Ufaransa kufungwa jela tangu Rais Philippe Petain ambaye alishirikiana na utawala wa Kinazi. Petain alifungwa jela baada ya Vita Vikuu vya Pili vya Dunia.
Mnyika: Kuna njama za kuwakamata Viongozi wa CHADEMA kabla ya Oktoba 29, 2025
John Mnyika (Katibu Mkuu CHADEMA) akiwa anatoa taarifa ya kukamatwa kwa John Heche (Makamu Mwenyekiti Bara) alieleza kuwa anafahamu kuna njama za kuwakamata viongozi wa chama hicho kabla ya Oktoba 29, 2025 na kuwaachia baada ya uchaguzi kufanyika kama namna ya kuondoa ushawishi wao katika zoezi la kupiga kura na kutangazwa kwa matokeo.
Wakili Gaston: Heche amepelekwa Tarime baada ya kukamatwa Mahakama Kuu
Wakili Gaston (Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu CHADEMA) amesema kuwa kwa taarifa za polisi, John Heche amesafirishwa Tarime baada ya kukamatwa Mahakama Kuu, kwani sababu za kukamatwa kwake zipo huko. Heche alikamatwa Oktoba 18, 2025 na kuwekwa kuzuizini kwa masaa kadhaa katika mpaka wa Sirari akiwa anaelekea kwenye mazishi ya Odinga, Kenya. Baadaye akiwa ameachiwa, Uhamiaji walitoa taarifa kuwa Heche alivuka mpaka huo kuingia Kenya kinyume cha sheria.
Wimbo wa Roma Mkatoliki, "Teremsha Bunduki" wafungiwa na BASATA
Wimbo wa msanii Roma Mkatoliki, "Teremsha Bunduki" wafungiwa na BASATA kwa madai ya Kupotosha, Kuchochea Ghasia, pamoja na kuwa na maneno ya Uongo na Uchochezi kulingana na Kanuni za Baraza 25 (6) (b),(c),(d). Katika wimbo huu, Roma amewataka polisi waache kupiga na kunyanyasa wananchi, waachie maandamano ya haki, akisisitiza kuwa bunduki si za kulinda mtawala anayeibia na kuteka wananchi.
Sirari: Wananchi wampambania mwenzao asitekwe!
Ni baada ya mwananchi mmoja kudaiwa amechukuliwa na "wasiojulikana" ambapo baada ya wananchi kufunga njia zote watu hao 'wasiojulikana' walikimbilia Polisi
Fahamu jinsi ya kutumia Pressure Cooker kwa usahihi ili kuepuka mlipuko
Pressure cooker ni kifaa muhimu jikoni kinachopunguza muda na kuokoa nishati kwenye baadhi ya mapishi ambayo huchukua muda mrefu kuiva. Siku za hivi karibuni matukio ya kifaa hiki kulipuka yamekuwa yakiongezeka kwa kasi huku sababu mbalimbali zikitajwa kusababisha hilo. Fahamu matumizi sahihi ya Pressure Cooker ili kuwa salama wakati wote unapoandaa mapishi yako.
Mzazi: Nilipigiwa simu kuwa mwanangu amechukuliwa na watu wasiojulikana...
Ashura Simba, mama wa Mickdady (21), anayeishi Tabata Chang'ombe, alieleza kuwa alipigiwa simu kuwa mwanaye amechukuliwa na watu wasiojulikana. Licha ya jitihada zake kumtafuta, hakufanikiwa hadi alipopokea taarifa za kupatikana kwa miili ya vijana hao wanne eneo la Mapinga, mkoani Pwani.
Heche akamatwa na kuzuiliwa Sirari akielekea Kenya kumzika Odinga
Pamoja na kumuweka kizuizini, Mamlaka ya Uhamiaji Tanzania imemnyang'anya hati yake ya kusafiria (Passport) bila kueleza kwanini wamechukua uamuzi huo.
Madagascar: Kanali Randrianirina aapishwa kuwa Rais, awashukuru waandamanaji
Randrianirina, ambaye alikuwa kamanda wa kikosi maalum cha jeshi, aliapishwa katika Ukumbi Mkuu wa Mahakama ya Katiba ya Juu, hatua iliyotamatisha mchakato wa haraka wa kuichukua madaraka ya nchi yenye wakazi takribani milioni 30 iliyoko katika Bahari ya Hindi, upande wa mashariki mwa Afrika
Cameroon: Raia waandamana, wachoma baadhi ya Majengo ya Serikali wakidai hawamtaki Rais
Wananchi wengi wamejitokeza barabarani wakipinga kile wanachokiita “uchaguzi wa wizi” na wakitaka Rais Paul Biya aondoke madarakani, wakimtaka Issa Tchiroma Bakari kutangazwa mshindi halali
Wasira: Kuna maswali kuhusu Polepole, alisema ametelekezwa Cuba halafu ghafla ikawa ametekwa Tanzania!
Wassira: Sitaki kuzungumza sana mambo ya Polepole kwasababu sasa hivi yanachunguzwa na Polisi, lakini yako maswali vilevile juu ya Polepole kwasababu, Polisi haohao walimwandikia wito aende akaandikishe kwao mambo anayo yazungumza kupitia mtandao ili wayachunguze Polepole akawaambia yeye yuko nje ya nchi...ametelekezwa Cuba alafu ghafla ametekwa Tanzania
Back
Top Bottom