Featured content

Polisi: Tumemkamata Mwanajeshi wa Marekani, cheo cha Sajenti akiwa ana mabomu 4
Wakuu Jeshi la Polisi Tarime Rorya limesema limemkamata Charles Onkuri Ongeta, mwenye umri wa miaka 30 na uraia wa Marekani na Kenya, akidaiwa kuingia Tanzania kupitia mpakani Sirari akiwa na mabomu manne aina ya CS M68. Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, mtu huyo anadaiwa kuwa mwanajeshi wa Marekani mwenye cheo cha Sajenti na alikamatwa akitumia gari lenye namba KDP 502 Y aina ya Toyota Landcruiser. Soma pia: PostGE2025 - Mwigulu: Aliyekamatwa na mabomu hajabisha, baada ya kuhojiwa...
TEC: Chanzo cha Maandamano ni ukosefu wa Demokrasia ya kweli na Usalama nchini
Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) limesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 imeliingiza Taifa katika hali ya maandamano yaliyozaa vifo, watu kujeruhiwa, kupotea na uharibifu wa mali, hali ambayo imepelekea Taifa kuwa kwenye masononeko, na maumivu kwani wapo walioawa na kuumizwa wakiwa nyumbani kwao bila kuhusika kwenye maandamano hayo Rais wa TEC Askofu Wolfgang Pisa ameeleza hayo wakati akisoma tafakuri ya pamoja ya Maaskofu wa Kanisa hilo, kufuatia tafakari na sala...
Watanzania tumekubali na kuridhia Deus Soka kupotezwa mazima?
Kijana jasiri, mzalendo na mpenda nchi yake, nuru yake imezimwa hivihivi. Je walionyakua nuru hii wanajionaje, wanajisikiaje?. Je ni madaraka tu na kiburi chake?
Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Rais Samia, amelipendekeza jina la Dr. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uteuzi huo unafanyika kufuatia taratibu za kikatiba ambapo jina la mgombea huwasilishwa kwa Bunge la Tanzania ili kupigiwa kura na wabunge. Baada ya pendekezo hilo, wabunge watapiga kura ili kuthibitisha au kukataa uteuzi wa Mwigulu Nchemba kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mwigulu Nchemba alizaliwa tarehe 7 Januari 1975 katika Wilaya ya Iramba, Mkoa wa...
AFP: Tanzania politicians in shock as cabal takes over after massacre
Nairobi (AFP) – Tanzanian politicians are in shock over the massacre of hundreds of young protesters during its recent election, insiders told AFP, but are too afraid to speak out as a tiny cabal of hardliners around the president takes control. Gruesome images of dead Tanzanians have flooded the internet in the wake of the October 29 elections that triggered widespread protests over government repression. President Samia Suluhu Hassan officially won with 98 percent of the vote, but key...
Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake?
Je, wahitaji ushauri kuhusu ujenzi? Hapa ndipo mahala pake. Piga au wasap. 0756244608 Uliza kuhusu ujenzi wa boma (walling) Uliza kuhusu kupaua Uliza kuhusu kupiga plaster Uliza kuhusu plumbing Uliza kuhusu mashimo majitaka Uliza kuhusu skimming Uliza kuhusu mambo ya rangi Uliza kuhusu paving. ULIZA LOLOTE HATA KAMA SIJALITAJA HAPO JUU. PIA KWA: HUDUMA BORA ZA UJENZI NA FUNDI UJENZI MWENYE UZOEFU. Je, unatafuta fundi ujenzi makini, mwaminifu na mwenye uzoefu? Usitafute mbali , upo...
Nimefukuzwa Kazi kwa sababu ya "Chapisho la Kisiasa"
Na: Jumanne Mwita Leo tarehe 12/11/2025 nimesimamishwa kazi. Sio kwa sababu nilichelewa kazini, wala kwa kosa la kitaaluma — bali kwa sababu nilichapisha au nili "screenshot" chapisho la mtu mwingine lenye mtazamo wa kisiasa. Chapisho hilo halikuwa la matusi, halikuhusiana na kazi yangu, lakini kwa namna fulani lilitafsiriwa kama kudhihaki serikali. Niliambiwa na uongozi wangu niandike barua ya kujieleza kukiri kosa na kuahidi kutorudia. Nimeandika barua hiyo kwa heshima na utulivu...
‘Bongo Zozo’ ajivua Ubalozi wa Utalii Tanzania kufuatia mauaji ya Waandamanaji
Nicholas Reynolds (maarufu kama Bongozozo) ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Balozi wa Hiari wa Utalii wa Tanzania, akieleza kuwa uamuzi huo umetokana na hali ya uvunjifu wa amani na kupotea kwa utu nchini kufuatia mauaji yaliyotokea katika maandamano ya Oktoba 29, 2025. Reynolds, anayejulikana kwa kutumia Kiswahili fasaha na kuishabikia timu ya Taifa ya Tanzania, aliteuliwa kwenye nafasi hiyo na Dkt. Hamisi Kigwangalla mnamo Januari 31, 2020.
Musiba: Kwa nilichokiona kwenye Uchaguzi Mkuu, Madai yote ya Tundu Lissu na CHADEMA ni sahihi
Mwanaharakati huru Cyprian Musiba, ambaye pia alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Mwibara mkoani Mara kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, amesema kuwa malalamiko yote ambayo yamekuwa yakitolewa na Tundu Lissu pamoja na chama cha CHADEMA ni ya kweli, akisisitiza kuwa mfumo wa sasa wa kikatiba unatoa ugumu mkubwa kwa chama kingine kushinda na kutangazwa kuwa mshindi dhidi ya chama tawala. Akizungumza na Jambo TV leo, tarehe 07 Novemba 2025, Musiba alisema kuwa kama Katiba haitabadilishwa, itakuwa...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali: Nimepewa maelekezo, tutamkamata Mange Kimambi!
Wakuu, Hii nchi kuna changamoto kubwa sana kwenye priorities. Anyway wenyewe ndo wanajua zaidi. ---------------------------- Baada ya kuapishwa na Rais Samia leo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari amepania Mange Kimambi lazima akamatwe!
Waangalizi SADC: Uchaguzi Mkuu wa Tanzania haukuwa HURU wala wa HAKI
Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) imesema kuwa uchaguzi uliohitimishwa hivi karibuni nchini Tanzania haukutimiza viwango vinavyohitajika ili kutangazwa kuwa huru na wa haki. Katika ripoti yake ya awali, Ujumbe wa Waangalizi wa SADC (SEOM) umebainisha kuwepo kwa vitisho dhidi ya viongozi wa upinzani, kuzuia uhuru wa kisiasa, na ukosefu wa uwazi katika mchakato mzima wa uchaguzi. Ripoti: Baadhi ya maeneo, askari walikuwa wengi kuliko wapiga kura. Pia, wapiga kura...
Hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uongo na …
Tahakiki ya tukio la Uapisho na hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili wa Kiapo 1. Muhtasari wa hotuba Leo tarehe 03 Novemba 2025, akiwa Jijini Dodoma, katika uwanja wa Jeshi wa Nishani, Rais Samia ameapishwa kama Rais mpya wa Tanzania, na kisha kutoa hotuba yenye urefu wa dakika 16. Rais Samia alisoma hotuba akiwa na uso wa upole, utulivu, mashaka, huzuni na wasiwasi. Hakuwa na bashasha yoyote. Ametaja dhamira yake kuu mwishoni mwa...
Mo Ibrahim: Kwanini uue, kuteka na kufunga Watu kama unapendwa kiasi cha kupata 98% ya kura?
Mmoja wa watetezi wakubwa wa demokrasia barani Afrika na bilionea, Dkt. Mo Ibrahim, amekosoa vikali jinsi uchaguzi wa 2025 nchini Tanzania ulivyofanyika, akisema kuwa ni “kitendo kisichofaa na kisichokubalika” kuzuia vyama vya upinzani kushiriki. “Nadhani ni kosa kubwa na jambo lisilokubalika kupiga marufuku vyama vya upinzani kushiriki uchaguzi. Unawezaje kuwa na uchaguzi bila vyama vikuu?” alisema Dkt. Ibrahim. Aliongeza kuwa kuwafunga viongozi wa upinzani hakukuwa na ulazima wowote na...
Umoja wa Mataifa wasikitishwa na Vifo na Majeruhi katika Uchaguzi wa Tanzania
Oktoba 31, 2025 Tumeshtushwa na vifo na majeraha yaliyotokea katika maandamano yanayoendelea yanayohusu uchaguzi nchini Tanzania. Ripoti za kuaminika tulizopokea zinaonyesha kuwa angalau watu 10 waliuawa Dar es Salaam, Shinyanga na Morogoro wakati vikosi vya usalama vilitumia silaha za moto na mabomu ya machozi kutawanya waandamanaji. Amri ya kutotoka nje kote nchini imewekwa, na upatikanaji wa intaneti unaonekana kuzuiliwa sana tangu uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, bila ya sababu zozote rasmi...
Polisi: Kuna wageni wameingia nchini kuchochea vurugu
TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi Tanzania, limepata taarifa za watu ambao siyo raia wa Tanzania kuwa wameingia nchini kwa njia zisizo rasmi kwa nia ovu ya kufanya uhalifu ikiwepo vurugu. Watu hao wanajifanya kuwa wanafanya shughuli mbalimbali ikiwepo za bodaboda. Taarifa zinasema watu hao wapo katika Mikoa ya Arusha, Dar es salaam, Mbeya, Mwanza, Songwe na Mikoa mingineyo. Wakati Jeshi la Polisi linaendelea kuwafuatilia ili kuwachukulia hatua kali kwa mujibu wa Sheria, mwananchi yeyote...
CHADEMA: Hakukufanyika uchaguzi Tanzania
TAARIFA YA AWALI YA CHAMA JUU YA KINACHOITWA MATOKEO YA UCHAGUZI TANZANIA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinapinga vikali kinachoitwa matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi. Matokeo haya hayana uhalisia wowote kwani ukweli ni kwamba hakukufanyika uchaguzi Tanzania. Wananchi hawakushiriki katika uchaguzi wa Oktoba 29 kutokana na mazingira yasiyo huru, haki, na kukosekana kwa uwanja sawa wa kisiasa. Aidha, Chadema tunasisitiza kwamba Tume ya Uchaguzi imetoa...
Nyerere (1987): Msingi wa Amani ni HAKI! Bila haki, huwezi kupata utulivu wa kisiasa
GT Haya sasa wale wajinga wajinga ambao hamtaki kutamka.neo haki sikilizeni hii. Kiufupi HAKI ni matendo na AMANI ni Matokeo Mfano Heshima ni matokea lazima kuna matendo lazima uyafanye kupata heshima
ZEC yamtangaza Dk Hussein Mwinyi kuwa mshindi wa urais Zanzibar
30 October 2025 | Unguja, Zanzibar Dr. Hussein Ali Mwinyi azoa kura 448,892 uchaguzi wa 2025 Huku mpinzani wake mkuu Othman Masoud Othman almaarufu OMO wa ACT Wazalendo akipata kura 139,399 ZEC imemtangaza Dk Hussein Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Braza la Mapinduzi ya Zanzibar baada ya kuibuka mshindi kwa zaidi ya asilimia 74.4 ya kura zilizopigwa. https://m.youtube.com/watch?v=fgw0dROQpVg mwenyekiti wa ZEC Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar jaji George Joseph Kazi...
UE Statement: Elections in Tanzania were neither free nor fair
Elections in Tanzania were neither free nor fair October 30, 2025 In a joint statement on general elections held on 29 October in Tanzania, leading MEPs urge all democratic partners to stand firm in defence of democracy and human rights. “As Tanzanians went to the polls today, the international community watched with deep concern. What should have been a celebration of democracy, instead unfolded in an atmosphere of repression, intimidation, and fear. These elections cannot be regarded as...
Back
Top Bottom