Tahakiki ya tukio la Uapisho na hotuba ya Rais Samia, 03 Novemba 2025: Muhtsari, Mazuri, Mabaya, Mapengo, Uwongo na Ubatili wa Kiapo
1. Muhtasari wa hotuba
Leo tarehe 03 Novemba 2025, akiwa Jijini Dodoma, katika uwanja wa Jeshi wa Nishani, Rais Samia ameapishwa kama Rais mpya wa Tanzania, na kisha kutoa hotuba yenye urefu wa dakika 16.
Rais Samia alisoma hotuba akiwa na uso wa upole, utulivu, mashaka, huzuni na wasiwasi. Hakuwa na bashasha yoyote.
Ametaja dhamira yake kuu mwishoni mwa...