Aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Mwananchi, Bakari Machumu, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu.
Tido Mhando ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Habari na Mawasiliano.
Lazaro Nyalando ameteuliwa kuwa Balozi.
Juni 2024 niliandika hivi: Bakari Machumu anafaa kumrithi Zuhura Yunus si vinginevyo
Mwenzake Denis Msacky, ambaye pia aliwahi kuwa Mhariri MCL, alikabidhiwa Africa Media Group (waendeshaji wa Channel 10, CCM) mnamo mwezi Mei 2025 - Waandishi wa Habari Dennis...