Featured content

Kanada kutathmini upya msaada wake kwa Serikali ya Tanzania
Disemba 10, 2025 Kanada inapitia upya msaada wake wa muda mrefu kwa Tanzania baada ya ukandamizaji wa kikatili uliofanywa na Polisi na Wanajeshi, ambao unaripotiwa kuua mamia ya raia waliokuwa wakiandamana kupinga uchaguzi wenye utata. Ottawa imetoa msaada wa kimataifa wa Dola Milioni 3.4 kwa Tanzania tangu uhuru wake, ikiiona nchi hiyo ya Afrika Mashariki kama mshirika imara na mwenye amani – hadhi ambayo sasa ipo mashakani huku kukamatwa na kufungwa kwa watu kukiendelea. Serikali ya...
Samia to Western Countries: Who are You?
Rais Samia amesema katika visingizio vya upinzani kuepuka kushindwa na uchaguzi wanaweka visingizio, ambavyo vyote vinaungwa mkono na nchi za nje. Nje hawana aibu wanakaa wanasema Tanzania ifanye moja, mbili tatu halafu ndio itakuwa hivi, WHO ARE YOU? Niawaulize kwao hayatokei? Tumenyanyua sauti sisi kusema ya kwao? Wanadhani wao bado ni masters wetu? Ni kitu gani, ni fedha chache wanazotugawia? Na fedha yenyewe sasa hivi haipo. Tunafanya biashara wao wapate na sisi tupate, ndipo...
Sweden kusitisha Ushirikiano wa Kimaendeleo na Tanzania
Serikali ya Sweden imetangaza kusitisha ushirikiano wake na Tanzania. Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Sweden nchini inasema Sweden itasitisha ushirikiano wa maendeleo na Tanzania kufikia tarehe 31 Agosti 2026. Kwa sasa ushirikiano utaendelea hadi wakati huo.
Marekani: Tunatathmini upya Uhusiano kati yetu na Tanzania
Marekani inathamini ushirikiano wake wa muda mrefu na watu wa Tanzania, ambao umeleta ustawi kwa wananchi wetu na usalama katika kanda hii. Hata hivyo, hatua za hivi karibuni za Serikali ya Tanzania zimezua wasiwasi mkubwa kuhusu mwelekeo wa uhusiano wetu rasmi wa kibalozi na kuaminika kwa Serikali ya Tanzania kama mbia. Kwa hali hiyo, Marekani inafanya tathmini ya kina ya uhusiano wetu na Serikali ya Tanzania. Matukio yanaoendelea kufanywa na Serikali ya Tanzania ya kukandamiza uhuru wa...
Rais Samia: Nguvu iliyotumika iliendana na tukio lililokuwepo
“Tunaapa kuilinda nchi hii na mipaka yake, kulinda usalama wa raia na mali zao. Na katika hali hiyo, nguvu inayotumika inaendana na tukio lililopo.” - Rais Samia Suluhu akizungumza na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam
Fr. Kitima: Waliletwa majeruhi, wakasema wasitibiwe - walitaka kuwaona Mochwari
Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Padri Charles Kitima, amesema kuwa wakati wa maandamano kuliletwa majeruhi waliokuwa wameumia, lakini baadhi ya askari walizuia wapewe matibabu wakidai “tunataka kuwaona mochwari.”
Samuel Sitta: Kama Tanganyika tukikosana na Zanzibar, tunawazimia umeme
Naomba mumsikilize mheshimiwa akiongelea Zanzibar kisha tujadili. Yaani anamaanisha kwamba hata kama wazanzibari kwa wingi wao wakiukataa muungano basi Tanganyika haiko tayari? Ni kweli zanzinbar haina uwezo wa kuzalisha Umeme wake? Mengine nawaachia
Ijue kampuni ya “Itel East Africa Limited” inayohusishwa na ufisadi Tanzania
Kampuni ya Itel East Africa Limited ilijiandikisha rasmi tarehe 15 Februari 2013, ingawa inadai kuwa imekuwa ikifanya kazi tangu mwaka 2010. Kampuni hii, ambayo ofisi zake ziko Dar es Salaam, ofisi namba 27 katika jengo la Uhuru Heights, karibu na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ni kampuni inayomilikiwa na hisa 1000 zenye thamani jumla ya Tsh. 50M. 49% ya hisa hizi zinamilikiwa na raia wa India (chanzo). Leseni ya BRELA Kwa sura ya juu, wanajitokeza kama tawi la Tanzania la brand...
Waziri Kombo: Tanzania hatutakufa kwa kukosa fedha za EU
Serikali kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, imesema inafuatilia kwa karibu suala hilo kupitia kwa Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji lilipo bunge hilo, Jestas Nyamanga.
Mwigulu: Tanzania ni mali yetu sote, si mali ya Serikali wala Chama cha Siasa
𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗪𝗜𝗚𝗨𝗟𝗨: 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗡𝗜 𝗠𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗘𝗧𝗨 𝗦𝗢𝗧𝗘, 𝗦𝗜 𝗠𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗦𝗘𝗥𝗜𝗞𝗔𝗟𝗜 𝗪𝗔𝗟𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗠𝗔 𝗖𝗛𝗔 𝗦𝗜𝗔𝗦𝗔 WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania ni mali ya Watanzania wote wala si ya Serikali au chama cha siasa na hivyo kila mmoja anapaswa kuilinda. “Tanzania si mali ya Serikali, Tanzania si mali ya chama cha siasa na vyama vya siasa vipo kwa sababu nchi ipo. Tuilinde nchi yetu. Mungu ametupa nchi nzuri na kila mmoja ana wajibu wa kuilinda,” amesisitiza. Waziri Mkuu ameyasema hayo leo jioni...
Kesi yafunguliwa ICC dhidi ya Rais Samia na wenzake
Novemba 13 ilifunguliwa kesi Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imepokelewa na mchakato unaendelea chini kwa chini. Hivi karibuni itasikika sana. Swali langu ni - Je, nini itakuwa hatma ya kesi hii? Media za Tanzania zitaripoti? ========= Legal Group Petitions ICC to Investigate Tanzanian President for Crimes Against Humanity Following Deadly 2025 Elections MADRID/THE HAGUE – A coalition of international legal experts and human rights organizations has filed a formal petition with...
Tunaitumia vibaya hii Kauli: “TUTALINDA AMANI KWA GHARAMA YOYOTE”
Kuna kauli moja imeibuka baada ya kilichotokea kipindi cha uchaguzi: “Tutalinda amani kwa gharama yoyote.” Imeanza kutumika kama wito wa wajibu wa kitaifa wa kuhakikisha nchi haianguki kwenye machafuko. Lakini ukiichunguza kwa makini, unagundua jambo la kusikitisha, gharama ambayo wengi wako tayari kulipa ni maisha ya raia wa kawaida. Risasi walizopigwa watu, kutekwa na kuuawa, au vifungo kwa wale wanaothubutu kuongea. Hiyo ndiyo gharama inayochukuliwa kuwa rahisi na inayoonekana inafaa...
Gerson Msigwa: It is Unprofessional and unacceptable to publish bad taste images
Naomba waliosoma uandishi wa habari kama Msigwa mtuelezee hapa anamaanisha nini:BBRUHH:
CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors
In the chaotic aftermath of Tanzania’s disputed presidential election last month, police and gun-wielding men on patrol shot at groups of protesters, many of whom appeared unarmed or were holding only rocks and sticks, a CNN investigation has found. Geolocated videos from the scenes, audio forensic analysis of the shots fired and first-hand accounts from witnesses and victims document the brutality unleashed on young demonstrators following the re-election of President Samia Suluhu Hassan...
Uchunguzi wa CNN wasema huenda kaburi la halaiki lipo katika Makaburi ya Kondo, jijini Dar
Wakuu, Uchunguzi wa CCN umesema huenda makaburi ya halaiki yapo katika eneo la Kondo, Dar es Salaam. Japokuwa walishindwa kuthibitisha moja kwa moja kuwa walizikwa hapo, kupitia picha za satelait, za kabla na baada ya uchaguzi inaonyesha eneo hilo lilichimbwa na vijana wanasema walipewa kazi ya kuchimba makaburi makubwa sehemu hiyo. Pengine watu wakienda hapo wanaweza kukuta miili ya wapendwa wao ambao sasa hawajulikani walipo. Haya Makaburi ya Kondo yapo wapi Wakuu?
Kifo cha MC Pilipili: Wauaji hawajajulikana. Polisi wasema alishambuliwa
Wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma likithibitisha kushambuliwa kabla ya kifo cha aliyekuwa mchekeshaji na mshereheshaji, Emmanuel Mathias maarufu MC Pilipili, suala la kuwatambua waliomshambulia, limebaki kuwa giza nene. MC Pilipili aliyekuwa mkazi wa Swaswa Jijini Dodoma, alifariki dunia Novemba 16, 2025 majira ya Saa 9:00 alasiri katika Hospitali ya Ilazo, Dodoma wakati akipatiwa matibabu kabla ya mwili wake kuhamishiwa Hospitali ya General jijini humo. Akizungumza na wanahabari leo...
Bakari Machumu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu
Aliyekuwa Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Mwananchi, Bakari Machumu, ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu. Tido Mhando ameteuliwa kuwa Mshauri wa Rais, Habari na Mawasiliano. Lazaro Nyalando ameteuliwa kuwa Balozi. Juni 2024 niliandika hivi: Bakari Machumu anafaa kumrithi Zuhura Yunus si vinginevyo Mwenzake Denis Msacky, ambaye pia aliwahi kuwa Mhariri MCL, alikabidhiwa Africa Media Group (waendeshaji wa Channel 10, CCM) mnamo mwezi Mei 2025 - Waandishi wa Habari Dennis...
Rais aunda Tume kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati wa Uchaguzi
Uongozi uliopita uliokuwa unatuhumiwa kwa mambo kama ya sasa na kudhoofisha mifumo ya haki ndio waje kufanya uchunguzi wa mauji haya yaliyofanyika kwenye serikali ya sasa (yako)? Juma, Tax, Mwema ndio the best you could do kweli? Ripoti iliyotolewa na Jaji Chande juu ya ukatili wa polisi imefanyiwa nini mpaka leo? Rais Samia unawatanzania Watanzania ambao uvumilivu wao kwenye maumivu umebakia utambi tu halafu unaenda kutia kijiti machoni! Lakini tume hii imewekwa na majina tu, haina vitu...
Samia admits that Tanzania’s donor trust is at risk after massive Election Day violence
As many Tanzanians continue to process and come to terms with what happened on election day, in one of her most anticipated speeches, President Samia Suluhu Hassan warned that the violent unrest on October 29 has undermined Tanzania’s credibility with foreign development partners, prompting the government to renew its focus on mobilizing domestic resources to keep national projects on track. Speaking during the swearing-in of newly appointed ministers in Dodoma on November 18, President...
Kwa hiyo ndio tumeshamsahau ndugu Humphrey Polepole?
Eti ndugu zangu ndio tumeshamsahau na kumbe ukitaka kukomboa taifa unasahaulika mapema hivi?
Back
Top Bottom