Hayati Magufuli aliwaagiza Waziri wa Mambo ya ndani, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kuhakikisha huyo mtu anafikishwa mbele ya sheria ili pesa aliyochukua airudishe ikafanye shughuri zingine ndani ya Jeshi la Polisi.
Mdau anasema Makamu wa Rais kuwa Rais kwanza ni kuwakosea wananchi maana kiuhalisia watu hawakumchagua yeye alikuwa kama kivuli tu, nguvu na ushawishi wa mgombea Urais ndio iliyombeba.
Makonda ameyasema hayo Septemba 21, 2025, wakati wa ibada katika Kanisa la Mbingu Duniani lililopo Njiro - Arusha, akidai si mara yake ya kwanza kulishwa sumu na kwamba amenusurika kifo mara kadhaa.
Hii ni story ya kweli na siyo ya kutunga, lengo langu nataka ndugu zangu mpate ujumbe kuhusu haya maisha. Kiufupi usikubali kukata tamaa hata kidogo, no matter what you fall, keep fighting, God has plans for all of us.
Jaji Masaju anasema kuna haja ya kurekebisha Sheria/Kanuni za Uchaguzi. Anasisitiza wananchi ndio msingi wa mamlaka yote na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa wananchi kwa mujibu wa Katiba hii na lengo kuu la Serikali ikiwa ni ustawi wa wananchi na Serikali ikiwajibika kwa wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.