Featured content

Magufuli: Kuna mtu amelipwa zaidi ya bilioni 20 kununulia sare za Polisi, akamatwe [KUMBUKIZI]
Hayati Magufuli aliwaagiza Waziri wa Mambo ya ndani, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini kuhakikisha huyo mtu anafikishwa mbele ya sheria ili pesa aliyochukua airudishe ikafanye shughuri zingine ndani ya Jeshi la Polisi.
Lissu ataja mashahidi 15 katika kesi dhidi yake. Wamo Samia, Mpango, Majaliwa, Jaji Mutunga...
Haya ni kama ilivyojiri katika Mahakama Kuu, jijini Dar es Salaam - Tanzania. Septemba 22, 2025
Suala la Makamu wa Rais kuwa Rais pindi Rais anapofariki inaleta hali ya kutoaminiana kisiasa
Mdau anasema Makamu wa Rais kuwa Rais kwanza ni kuwakosea wananchi maana kiuhalisia watu hawakumchagua yeye alikuwa kama kivuli tu, nguvu na ushawishi wa mgombea Urais ndio iliyombeba.
Makonda: Nililishwa sumu nikiwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ilikuwa nife 2024
Makonda ameyasema hayo Septemba 21, 2025, wakati wa ibada katika Kanisa la Mbingu Duniani lililopo Njiro - Arusha, akidai si mara yake ya kwanza kulishwa sumu na kwamba amenusurika kifo mara kadhaa.
Zitto: Siendi kufanya uchawa ili nipendelewe, naenda kuwasemea ikibidi kufoka
Amesema hayo Septemba 20, 2025 wakati akizungumza na wakazi wa Kata ya Bangwe, Kigoma Mjini katika mkutano wake wa kampeni
Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu
Hii ni story ya kweli na siyo ya kutunga, lengo langu nataka ndugu zangu mpate ujumbe kuhusu haya maisha. Kiufupi usikubali kukata tamaa hata kidogo, no matter what you fall, keep fighting, God has plans for all of us.
Apple wazindua iPhone 17 series na vifaa vingine!
Kwa kuanza na iPhone, jumla ya simu nne zimezinduliwa na CEO wao Tim Cook. Simu tajwa ni iPhone 17, iPhone Air, iPhone 17 Pro na iPhone 17 Pro Max.
Hotuba ya Jaji Masaju kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jaji Masaju anasema kuna haja ya kurekebisha Sheria/Kanuni za Uchaguzi. Anasisitiza wananchi ndio msingi wa mamlaka yote na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa wananchi kwa mujibu wa Katiba hii na lengo kuu la Serikali ikiwa ni ustawi wa wananchi na Serikali ikiwajibika kwa wananchi
Back
Top Bottom