Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa taarifa kuwa shauri la Maombi ya Jinai Na. 7440840/2026 kati ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mwenyekiti wa chama hcho, Tundu Lissu, ambalo lilipangwa kuendelea Juni 11, 2026, limeahirishwa.
Kwa mujibu wa taarifa ya Mahakama ya Rufani ya Tanzania, shauri hilo sasa limepangwa kwa ajili ya Judgments, Rulings & Orders siku ya Jumatatu, Julai 6, 2026, saa 3:00 asubuhi.