Hatimaye Tume ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imetoa ripoti yake baada ya kufanya uchunguzi kwa siku 153.
Tume hiyo iliyoongozwa na Jaji Mkuu mstaafu, Mohamed Chande Othman, ilikuwa na wajumbe wanane ambao ni: Dkt. Stergomena Tax, Jaji Mkuu mstaafu Profesa Ibrahim Hamis Juma, Balozi Ombeni Yohana Sefue, Mkuu wa Jeshi la Polisi mstaafu Said Ally Mwema, Balozi Paul Meela, Balozi David Kapya, Balozi George Madafa, na Balozi...