Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

McLaren

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
988
Reaction score
3,137
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo.

David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa alipiga kelele sana bodaboda wakafukuzia GARI kwa nyuma

Walipofika umbali wa kilometa kama 3 watekaji walipoona bodaboda bado wanafuatilia GARI, watekaji walishuka na kuanza kupiga RISASI wakati huo Djumbe wakiwa wamemuacha ndani ya GARI.

Soma Pia: David Djumbe (Msaidizi wa Lissu) adaiwa kutekwa

Ndio David Djumbe akapata upenyo na kukimbia akiwa na Pingu mkononi na amelowa damu kama anavyoonekana.

Mungu ametenda watekaji wanazidi kuuumbuka.


SnapInsta.to_702752854_18592903531010804_8144836812391177137_n.jpg


SnapInsta.to_702903304_18592903561010804_5095632844050695706_n.jpg
SnapInsta.to_703015066_18592903540010804_8971778107405822680_n.jpg
SnapInsta.to_703987554_18592903570010804_4855323701207072663_n.jpg
SnapInsta.to_705381654_18592903552010804_9138002456895050198_n.jpg


Video akielezea tukio:


 
1779355021158.png


1779355153712.png

Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo.

David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa alipiga kelele sana bodaboda wakafukuzia GARI kwa nyuma

Walipofika umbali wa kilometa kama 3 watekaji walipoona bodaboda bado wanafuatilia GARI, watekaji walishuka na kuanza kupiga RISASI wakati huo Djumbe wakiwa wamemuacha ndani ya GARI.

Ndio David Djumbe akapata upenyo na kukimbia akiwa na Pingu mkononi na amelowa damu kama anavyoonekana.

Mungu ametenda watekaji wanazidi kuuumbuka.
 
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo.

David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa alipiga kelele sana bodaboda wakafukuzia GARI kwa nyuma

Walipofika umbali wa kilometa kama 3 watekaji walipoona bodaboda bado wanafuatilia GARI, watekaji walishuka na kuanza kupiga RISASI wakati huo Djumbe wakiwa wamemuacha ndani ya GARI.

Ndio David Djumbe akapata upenyo na kukimbia akiwa na Pingu mkononi na amelowa damu kama anavyoonekana.

Mungu ametenda watekaji wanazidi kuuumbuka.



Screenshot 2026-05-21 at 12-17-12 Instagram.png


Screenshot 2026-05-21 at 12-17-18 Instagram.png
 
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo.

David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa alipiga kelele sana bodaboda wakafukuzia GARI kwa nyuma

Walipofika umbali wa kilometa kama 3 watekaji walipoona bodaboda bado wanafuatilia GARI, watekaji walishuka na kuanza kupiga RISASI wakati huo Djumbe wakiwa wamemuacha ndani ya GARI.

Ndio David Djumbe akapata upenyo na kukimbia akiwa na Pingu mkononi na amelowa damu kama anavyoonekana.

Mungu ametenda watekaji wanazidi kuuumbuka.



View attachment 3592172

View attachment 3592174
Dah🥺🥺🥺
 
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo.

David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa alipiga kelele sana bodaboda wakafukuzia GARI kwa nyuma

Walipofika umbali wa kilometa kama 3 watekaji walipoona bodaboda bado wanafuatilia GARI, watekaji walishuka na kuanza kupiga RISASI wakati huo Djumbe wakiwa wamemuacha ndani ya GARI.

Ndio David Djumbe akapata upenyo na kukimbia akiwa na Pingu mkononi na amelowa damu kama anavyoonekana.

Mungu ametenda watekaji wanazidi kuuumbuka.


View attachment 3592164

View attachment 3592165View attachment 3592166View attachment 3592167View attachment 3592168
Niliandika jana kwamba walipanga kumuua Uzi ukaunganishwa
 
Mlolongo wa hili tukio...

- Taarifa kusambaa za msaidizi wa Lissu ametekwa.

-Bodaboda wakafuatilia gari ya watekaji wakaona ikiingia nyumba za usalama wa taifa, Mbweni.

- Chadema kutaka kufanya press conference, polisi wanawazuia kwa kuzingira ofisi zao Mikocheni.

- Picha zinazomuonesha msaidizi wa Lissu akiwa amepigwa na kuumizwa vibaya, huku akiwa na pingu mikononi.

Naamini wote tumeshajua watekaji ni wakina nani. Watekaji bado wana kiu na damu zetu.
 
Picha zikionyesha Msaidizi wa TUNDU LISSU akiwa ameumizwa vibaya na watekaji usiku wa kuamkia leo.

David Djumbe alitekwa siku ya Jana Maeneo ya Bunju akiwa na rafiki yake wakati wa kutekwa alipiga kelele sana bodaboda wakafukuzia GARI kwa nyuma

Walipofika umbali wa kilometa kama 3 watekaji walipoona bodaboda bado wanafuatilia GARI, watekaji walishuka na kuanza kupiga RISASI wakati huo Djumbe wakiwa wamemuacha ndani ya GARI.

Ndio David Djumbe akapata upenyo na kukimbia akiwa na Pingu mkononi na amelowa damu kama anavyoonekana.

Mungu ametenda watekaji wanazidi kuuumbuka.


View attachment 3592164

View attachment 3592165View attachment 3592166View attachment 3592167View attachment 3592168
Something must be done ((bob Marley)
 
Kwa hali Kama hii unataka tuandike lugha gani?

Magufuli alimuua Saanane kwa mkono wake akashabikiwa n.a. wajinga wenzio lakini akaja kufa kibwege sana

Usijisahau, angalia aliko Polepole
Kila mtu atakufa hakuna formula ila unaposhindana na mwenzio ana moto wewe una nyasi sijui unategemea nini 😆😆

Mbowe na Mnyika hawana hizi lugha wangewasaidia ila nyie wanaharakati kazi mnayo huko kazini kwenu.
 
Back
Top Bottom