wanaojiita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Makaburi wa Tanzania ni wale wanaojiita wazawa.

    Maana maneno haya ya wazawa yalisikika wakati DP weldi walipokuwa wanapingwa kuendesha Bandari , zikatoka hadithi kwamba , Kwanza Bandari wenyewe ni , wachomvi . Neno makaburi wa Tanzania ni wazawa yapo kwenye Hotuba ya Mwl Nyerere kuhusu Raisi tunayemtaka, na matatizo ya Muungano. Na Ubaguzi...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    Serikali imdhibiti Maulid Kitenge na kundi lake la wahuni wanaojiita Wasafi Jogging Group

    Huyu jamaa Kwa kutambua kwamba nchi Sasa Ina mbululaz wengi wanaojipendekeza Kwa watu maarufu huku wakijiita machawa akaanzisha kundi la kukimbia mchakamchaka barabarani. Mazoezi ni muhimu Kwa afya ya mwili na akili, lakini yasifanywe kihuni, yafanywe mahali sahihi na salama Kwa wafanya mazoezi...
  3. P

    Rais Samia awakana machawa, asema yeye hana makundi

    Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya. Rais Samia ameyasema hayo leo Machi 13, 2024 katika halfa ya kuwaapisha baadhi ya viongozi...
  4. Erythrocyte

    Wanaojiita “Samia Queens” ni akina nani na wanatafuta nini?

    Nimekutana na Jina hilo kwenye taarifa za kinachoitwa Mkutano wa Katibu wa UWT, Msanii duni wa filamu Jokate. Taarifa zaidi zinaonesha kwamba kikundi hicho kimezindua Wimbo (sijui unahusu nini) Sasa swali letu ni hili, wanaounda kikundi hiki ni akina nani na wamelenga kitu gani? Jina la Rais...
  5. Swahili AI

    Kibiblia: Namna wanaojiita manabii, mitume, makuhani wanavyopotosha watu

    Leo nataka niwaonyeshe namna ambavyo wakujiita manabii, makuhani, mitume na wengineo wanavyo walaghai wakristo. Nitafafanua kibiblia kabisa. Kwanza chanzo cha upotoshaji wa waaumini umetajwa katika Hosea 4:6 “Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; Ni kweli kabisa, wanaangamia kiuchumi...
  6. M

    Ujumbe kwa Anthony Lusekelo anayeamini ana tiketi ya mbinguni tayari pamoja na wanaojiita walokole

    PAPA FRANCIS ALISEMA: "Fikiria mama asiye na mume anayeenda kanisani au parokiani, na kumwambia katibu: NATAKA KUBATIZA MWANANGU, na mhudumu anasema: 'Hapana, huwezi, kwa sababu hajaolewa..." Tukumbuke kwamba. Mama huyu alikuwa na ujasiri wa kuendelea na ujauzito - na ni kitu gani kilichompata...
  7. kitonsa

    Polisi yapiga marufuku maandamano ya UVCCM ya kuunga mkono Serikali yaliyokuwa yafanyike Julai 18, 2023

    Polisi Tanzania wametoa taarifa kuwa maandamano yaliyopangwa kufanyika na UVCCM nchi mzima hayataruhusiwa. Wametoa sababu kuwa kufanya hivi kunaweza kusababisha taaruki kwenye jamii. My take, Hii Ni mbinu zilizopangwa kati ya uvccm na vyombo ya ulinzi, ili kupata sababu ya kumzuia mwamba...
  8. Victor Mlaki

    Kinachofanywa na watu wanaojiita maafisa wa bima Kwa waendesha pikipiki wilaya ya Mbogwe kinapaswa kuangaliwa kina sasa

    Kinachofanywa na maafisa bima wilaya ya Mbogwe kinatia mashaka sana kwa wamiliki wa pikipiki na kwa waendeshaji wengine wa pikipiki kwa jina maarufu bodaboda katika wilaya ya Mbogwe. Niliwahi kutoa malalamiko ya aina hii lakini Kwa Sasa naona ni kama historia inajirudia. Ukusanyaji wa hela za...
  9. N

    Usioe hawa wajinga wanaojiita feminist ni hovyo kabisa

    Hivi kuna Mwanamume mwenye akili timamu yaani kichwa cha Familia ana mke wa aina hii? Ok mtakumbuka wiki kadhaa nilieleza mambo yanayochangia ndoa nyingi kuvunjika... Mfano halisi ni aina ya wanawake kama huyu katika video. Vijana msikurupuke kuoa mwanamke kwakuangalia makalio na mwisho wa...
  10. Venture783

    MSAADA: Anayejua kuhusu ALSTZ anisaidie

    ALSTZ ni kinani? Wamenitumia sms hii hapa "This is to inform you that your order is confirmed, Code is 848837. We are delighted to have you as our customer" na sijajiunga na huduma yoyote! Anayewajua tafadhali msaada isije kuwa mtego.
  11. D

    Kwa walioyafanya wanaojiita wanamapinduzi kwenye hii nchi ni dhahiri kabisa hii nchi itaendelea kuwa na laana ya milele

    Waliuwa watu karibu 20,000 kwenye mapinduzi yale na wanendelea kuua na kutesa watu hadi hi leo. Ni ngumu sana hii nchi kuendelea kwa Laana hii, hata tungekepewa rasilimali za ulimwengu mzima tungekua maskini tu. Kinachosikitisha zaidi ni kuona common Men wakishabikia mambo ya kikatilia kama haya.
  12. figganigga

    Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa

    Baada ya kutafakari na kuangalia mambo yanavyoenda, nimegundua Hussein Bashe wanamuita Msomali lakini ni Mzalendo kuliko wakina Makamba wanaojiita Wazawa. Hussein Bashe ni Waziri wa Kilimo sioni Watu wa Kilimo Wanamlalamikia. Sasa hivi anapima udongo anajenga maghala sababu anaamini Wakulima...
  13. K

    Uzoefu wangu kuhusu wanaojiita wataalam tiba

    Naomba na mimi leo nitoe uzoefu wangu kuhusu hawa wanaojiita wataalamu tiba za asili. Nilipatwa na changamoto mwaka huu mwanzoni mtoto wangu binti wa kike yupo kidato cha tatu alipatwa na hali isiyo kawaida. Alikuwa anasoma Boarding darasani akawa analala tu na anaweza kulala masaa24 bila kuamka...
  14. K

    Naiomba Serikali ifuatilie utakatishaji wa pesa unaofanya na watu wanaojiita Mawakili wa Sabaya

    Isionekane kama ushauri wangu huu ni sababu ya chuki dhidi ya jambazi sabaya lakini ukweli uko wazi kuna njama ya kutakatisha mamillion ya pesa yaliyotokana na ujambazi wa wazi wazi uliofanywa na Sabaya enzi za utawala wa kayafa kupitia mbinu ya michango ya wananchi kugharamia gharama za kesi...
  15. sky soldier

    Hapa bongo wengi wanaojiita hackers ni show off kwajili ya attention, hawajafika hizo level na ni watupu hawajui kitu.

    Copy paste kutoka fb...... Tanzania kuna "𝐭𝐚𝐩 𝐤𝐢𝐝𝐝𝐢𝐞𝐬" wengi wanaojiita "𝐇𝐚𝐜𝐤𝐞𝐫𝐬" , hii ni sawa na panya kujifananisha na simba wakati hamwezi hata nyau. Kumekua na tabia ya ajabu sana siku hizi, mtu anajijua kabisa hafikii hata theluthi ya hacker ila anaamua kujipachika jina la hacker...
  16. Mateso chakubanga

    TCRA fuatilieni matapeli wa mtandao wanaojiita" Digital Master"

    Kumeibuka kikundi cha watu wanaojiita Digital Master kikiongozwa na mtu anaejiita Saidi Mbondela jijini Daresalaam ambao kazi yao ni kutangaza wana uwezo wa kutengeneza programme katika simu kwaajili ya kufuatilia message, na simu za watu,aidha mtu huyo mwenye namba 0757039596 anakuhitaji...
  17. Mmawia

    Mzee Warioba: Siyo lazima Mbunge aitwe Mheshimiwa

    Mzee wetu Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Sinde Warioba amesema kulazimisha watu wakuite wewe kuwa ni mheshimiwa mbunge, mheshimiwa waziri, mheshimiwa diwani huko ni kuweka matabaka kwenye jamii ya watanzania. Hii inapingana na Naibu Spika alivyogombana na Mbunge wa Mbeya Mjini Mbilinyi. Tulia...
  18. L

    Kijana aliyeuawa na watu wanaojiita Sungu sungu Mburahati, Rais Samia ingilia kati

    Mheshimiwa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, sisi wanawake tuna imani sana na wewe, tutakupa kura zetu zote za urais mwaka 2025 ila kuna mambo machafu sana yanayofanyika katika serikali yako. Sisi wanawake wa Tanzania tumesikitishwa sana na mauaji ya kijana mdogo mkazi wa kata ya Mabibo kitongoji...
  19. Linguistic

    Watu wanaojiita maarufu wanalazimisha kuongea kingereza

    Mabibi na Mabwana, msikilizeni Mr. Uchebe X Wake Shilole akiongea Kingereza. Kwa nini wanapenda kuongea Lugha ambayo Hawaiwezi?
  20. chizcom

    Wanaojiita wasanii Tanzania hawana vipaji

    Kana huyu jamaa dullvani kwa mtindo huu basi kila mtu angeweza kuwa msanii. Watu wanajua sanaa ni kitu cha kawaida tu. Ndio maana sanaa ni kipaji na kwa sasa tanzania hawa wanajiita wasanii hawna vipaji. Kila siku kuteletea mambo ya ajabu. Kuna wale jana wa futui walikuwa wanatoa vichekesho...
Back
Top Bottom