sms

SMS (short message service) is a text messaging service component of most telephone, Internet, and mobile device systems. It uses standardized communication protocols that let mobile devices exchange short text messages. An intermediary service can facilitate a text-to-voice conversion to be sent to landlines.SMS, as used on modern devices, originated from radio telegraphy in radio memo pagers that used standardized phone protocols. These were defined in 1986 as part of the Global System for Mobile Communications (GSM) series of standards. The first test SMS message was sent on December 3, 1992, when Neil Papwort, a test engineer for Sema Group, used a personal computer to send "Merry Christmas" to the phone of colleague Richard Jarvis. SMS rolled out commercially on many cellular networks that decade and became hugely popular worldwide as a method of text communication. By the end of 2010, SMS was the most widely used data application, with an estimated 3.5 billion active users, or about 80% of all mobile phone subscribers.
The service allows users to send and receive messages of up to 160 characters (when entirely alpha-numeric) to and from GSM mobiles. Although most SMS messages are sent from one mobile phone to another, support for the service has expanded to include other mobile technologies, such as ANSI CDMA networks and Digital AMPS.Mobile marketing, a type of direct marketing, uses SMS. According to a 2018 market research report, the global SMS messaging business was estimated to be worth over US$100 billion, accounting for almost 50 percent of all revenue generated by mobile messaging.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Viongozi wa mifuko ya hifadhi wanashindwa kubuni hata utaratibu wa kutuma sms kwa wanachama kuwakumbusha makato? Wanasubiri ustaafu wakunyime mafao

    Benki wanaweka utaratibu wa taarifa kwa umma ikiwemo kupitia mfumo na kukumbusha kama kuna deni, kuna huduma mpya au chochote cha kukuweka karibu nao. TRA na Mamlaka za maji wanakutumia ujumbe wakiwa wanakudai au umepata huduma yao. Polisi wanatumia ujumbe mfupi kwa umma kutoa taadhari za...
  2. sinaham

    Kampuni ya vodacom mna nini mwaka huu? Nimekuwa nikipokea offer mfulululizo mfano sms hii hapa na kabla ya hapo MB kama zote.

    Najuaga hakunaga vya bure. Nimekuwa nikipokea sms za kupokea vifurushi bure. Una Dakika 20(Voda) na SMS 100 mpaka 2024-04-08 07:05:35 kuwasiliana na ndugu, jamaa na marafiki. Kujua salio Piga *149*60#. Vigezo kuzingatiwa nimajiuliza sana kwa ile kanuni ya HAKUNA CHA BURE HAPA DUNIANI yasije...
  3. Kiboko ya Jiwe

    Huna mpenzi bali una tapeli. Mwandikie SMS kuwa una shida na elfu 10 chap halafu subiri majibu

    Hii ni kwa ma men. Wengi wenu hamna wapenzi, mko single sema tu mna mabinti ambao wanawauzia bidhaa zao ingawa mnawaita wapenzi. Hata kama jana mlikutana mkazurura (kula bata) ukagharamia kila kitu, 60k- 70k ilikutoka. Leo asubuhi mwambie akutumie 10k chap una shida utaona sarakasi zake...
  4. P

    Ni SMS yangu ya mwisho kwake. Je, nimekosea?

    Wakuu huyu binti hadi anaingia nae kwenye nilitumia nguvu nyingi sana, wakati huo yeye alikuwa dip mwaka wa tatu (clinical medicine) mimi nilikuwa naanza first year degree ualimu. In short tumepitia mengi sana amekuwa na drama nyingi sana sana siwezi eleza hapa. Sasa jana baada ya kuendelea...
  5. R

    Naona kuna SMS inasambaa kuelekeza wanaccm wakekodiwe kupinga maandamano; soon zitaanza kwenda viral

    Muda mfupi baada ya Mbowe kusema kutakuwa na maandamano tarehe 24.01.24 maelekezo yametolewa kila kona watafutwe wanachama wahojiwe na vyombo vya habari wapinge maandamano hayo. Siamini katika maandamano lakini pia siamini katika falsafa yakutumia wajasiriamali kwa kigezo cha amani wasipaze...
  6. Lycaon pictus

    Mbona App yangu ya SMS imekuwa kama WhatsApp?

    Habari wakuu. Mbona app ya sms imekuwa kama whatsapp. Hata inaruhusu kuunda niunde group. Imekaaje hii?
  7. JanguKamaJangu

    Mke ajiua kwa sumu ya Wadudu baada ya kupekua na kusoma SMS kwenye simu ya mumewe

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma (ACP) Marco G. Chilya akielezea kuhusu tukio hilo Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Marietha Bosco Sagana (32) Mkazi wa Kitongoji cha Matarawe, Kijiji cha Marungu Kata ya Tingi Tarafa ya Mpepo, Wilaya ya Nyasa amefariki Dunia wakati anapatiwa matibabu...
  8. Trainee

    Je, hakuna uwezekano wa mitandao ya simu kuruhusu kufuta au kuhariri ujumbe mfupi (sms)?

    Sina ujuzi wowote kwenye masuala ya mawasiliano lakini najaribu kuwaza kama kwenye WhatsApp kila siku maboresho yanafanyika why not kwenye jumbe za kawaida za simu? Kwani hakuna uwezekano wa kutufanyia tuweze kurekebisha ujumbe tunaotuma. Kwa mfano mngeweka mtu aweze kuhariri au kuufuta kabisa...
  9. Gentlemen_

    KERO: DAWASA Acheni kutuma SMS za madeni kwa wingi

    Kwanza Maji yenyewe mnayatoa kwa mgao (Hamjatangaza tu), huku Tabata hasa Kinyerezi maji mnabangaiza kuyatoa. Mkijiskia ndio mnayaachia hamfati ratiba inayoeleweka. Nirudi sasa kwenye KERO. Mnatuma sana SMS zenu kila muda mnatuma hayo madude yenu. Kuweni na weledi basi na mkiwa mnafanya...
  10. Analogia Malenga

    2018 kamati ya malalamiko ya TCRA iliitaka Voda imlipe Aboubakar Tsh 1.5m kwa kumtumia SMS bila ridhaa yake

    Aboubakar Ally alienda kamati ya malalamiko ya TCRA kulalamikia suala la kupokea sms kutoka Umojabet bila ridhaa yake. Suala hilo alilalamika Voda lakini hawakuchukua hatua. Walipofika kamati ya malalamiko Vodacom walikubali kuwa mteja wao alikuwa anapokea sms hizo lakini wao hawahusiki na...
  11. tzhosts

    Mfumo wa Usimamizi wa Shule wa Open Source SMS

    Habari za wakati huu; Wamiliki wengi na wasimamizi wa shule wanatumia mifumo mbalimbali ya usimamizi wa shule.Leo ninataka nitambulishe kwenu mfumo wa usimamizi wa shule ambao ni wa kipekee wenye sifa zifuatazo: Mfumo huo ni open source kwa maana unaweza kufanyiwa maboresho na marekebisho...
  12. D

    Kuna ukweli kuhusu SMS ya usahili kutoka KCB?

    Habari, Je, kuna ukweli wowote kuhusiana na sms iliyotumwa tarehe 22/08/2023 kuhusiana na usahili? sms inasomeka hivi: "Tafadhali fika VETA Chang'ombe kwa usahili tarehe 25/08/2023 saa moja asubuhi ukiwa na kitambulisho kati ya hivi, NIDA/mpiga kura/leseni ya udereva/barua ya serikali ya mtaa...
  13. Mama Edina

    Makampuni nataasisi ya kifedha hizi sms za mikopo za kaz ipi

    Nimepokea sms ya kutakiwa kujiandaa nikakopeshwe is as if Hawa watu wanajua mshahara umeongezeka. Yaani utafikiri nina miadi nao. Jamani nina mikopo mingi Sana slip inakaribia kujaa. Nyie watu hizi sms zenu Sina stua Sana. Haya mambo yaacheni bana
  14. Yisen

    Mchumba wangu huwa hataki nimpigie simu wala SmS bosi wake wa kiume akiwepo

    Mimi na mchumba wangu tuna mahusiano ya miezi 5, anafanya kazi katika familia ya watumishi wa selikali nikimaanisha baba na mama ni wafanyakazi serikalini. Shida ni kwamba bosi wake wa kike asipo kuwepo akawepo wa kiume huwa hataki tuchati wala kupigiana simu (Hasa usiku) , akidai hataki boss...
  15. H

    Ukiona mtandao wa simu unakupa sms 10 kwenye kifurushi cha 1500 au 2000 ujue hali ni mbaya

    Salam, mambo ni mengi kwa sasa tuendelee tu Hii mitandao ya mawasiliano sàsa naona kama iko taabani. Inaonekana inapumulia mashine ya gesi ila yanajikaza kisabuni. Yaani sms za kuhesabu sàsa hivi tofauti na zamani. Huwa nikijiunga kifurushi huwa siangalii sms ziko ngapi, huwa najua zipo tu...
  16. safuher

    Ubabaishaji wa haloteli na sms ya 75% ya kifurushi, halotel hawajui mahesabu

    Habari za jioni wakuu,natumai wazima. Nimechoshwa kabisa na hii tabia ya halotel kutuma sms ya kubakisha 75% za kifurushi wakati haujafanya jambo la maana. leo saa nne na robo asubuhi (10: 15) nilijiunga kifurushi cha wiki cha mb 440 kupitia halopesa(megabando). CHa kushangaza saa nne na...
  17. Money Penny

    Nimekuta SMS ya I miss you kwenye simu ya mpenzi wangu, nifanyaje?

    Chai ni tamu ikiwa ya moto, ikipoa sasa umeme na gesi vyote vikawa vimeisha ndio utajua hujui. Haya sasa, kwa mnaonifahamu ingawa mimi sio mwamba. Msaidieni mwenzenu apashe kiporo au?
  18. Requal

    Nimeshangazwa na Sms za mpenzi wangu ambae nilitegemea awe mke wangu. Inavyoonekana atakuwa anajihusisha na madawa ya kulevya

    Mtu ambae niko nae kwenye mahusiano kwa zaidi ya miaka 4, nikiwa na mipango ya kuoana nae. Leo nimejikuta nashindwa kumuelewa, Hapa chini ni baadhi ya text nilizochati nae kabla ya kumpigia simu kujiridhisha ni yeye kweli Tukaendelea Baada ya hizi text nikaona isiwe tabu nikampigia simu, the...
  19. upworkup

    Msaada: njia ya kuforwad automatic email kutoka gmail kuja sms za kawaida

    Habari wakuu: Kichwa cha thread kinajieleza naomba mnisaidie njia ya kufoward email zangu zikiingia tu kasha la kupokelea zije moja kwa moja kwenye inbox ya kawaida kama SMS. Nimegoogle nikakutana na msamiati "SMS gateway domain" hapo nikashindwa. Mnisaidie kupata hiyo njia na maelezo ya huo...
  20. J

    Nimekuta SMS hizi kwenye simu ya zamani ya Mume wangu, sijazielewa naombeni mnisaidie mlioko kwenye Ndoa

    Habari, Mimi na mwenzangu tumeishi miaka kama 13 kwenye ndoa yetu na tumebarikiwa na kuwa na watoto 2. Niseme ukweli hatujawahi kukorofishaba au kugombana tunapendana sana. Sasa wiki mbili zilizopota kuna picha moja nilipigaga na mume wangu na watoto. Niliikumbuka nikamuuliza mume wangu kuhusu...
Back
Top Bottom