Zitto: Wanachama ACT Wazalendo wanataka kubadili katiba ya chama ili niendelee kuongoza. Nimewaambia naheshimu katiba

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"

'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
 
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"

'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Huyu jamaa naye!! Anajikuta bado yuko relevant!??
 
Mvurugaji asie na sifa ya kua hata mwenyekiti wa Kijiji, alipewa ubunge kigoma miaka 15 na hakuna kitu chochote kile alichofanya ambacho anaweza kusimama na kujitetea
 
Zitto ni mmoja wa wanasiasa wachache hapa nchini wa daraja la kwanza kwa msimamo, uongozi, ufahamu wa uchumi na anaeweza kutambua na kutoa utatuzi sahihi wa changamoto zinazo kabili taifa.
Hana kukurupuka, amekomaa, ametulia kisiasa.
Anyway mimi sina chama kwa hiyo simpugii mtu debe ila natoa maoni.
 
1000005049.jpg
 
😂😂😂😂😂

Anatamani kuendelea ila anaogopa kuweka precedent mbaya

Waswahili kwa kupenda Vyeo!!

Kwako ustaadh Aboubakar Ufipa st
Tangu Nyerere aondoke CCM (astaafu), CCM haijawahi kusimama, bali ni nguvu za dola...polisi, mahakama, bunge ndivyo vinaiweka ccm madarakani.. Lakini kwa vile una akili za uchawa analysis kama hivyo huwezi kuifanya, a simple one!
 
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"

'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Mchumia tumbo at his best.
 
Tangu Nyerere aondoke CCM (astaafu), CCM haijawahi kusimama, bali ni nguvu za dola...polisi, mahakama, bunge ndivyo vinaiweka ccm madarakani.. Lakini kwa vile una akili za uchawa analysis kama hivyo huwezi kuifanya, a simple one!
Zitto kawa Mwanachama wa kawaida, mbunge, Naibu Katibu mkuu wa Chadema, Kiongozi wa Chama ACT Wazalendo na sasa anastaafu

Mbowe kawa mwenyekiti Bavicha, Mwenyekiti Chadema Taifa, Mgombea uRais, Mbunge, KUB, Mwenyekiti mwenza UKAWA, Mjumbe wa Maridhiano, Mtuhumiwa Ugaidi ...nk nk lakini kagoma kuuachia Uenyekiti Taifa 😂😂🐼
 
Back
Top Bottom