Zitto ni kweli anakubali kushindwa au anaficha aibu ya kutotaka kusikiliza ushauri wa wenzake?

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,014
144,372
Ameandika hivi kupitia twitter:

Tumekusanya matokeo ya uchaguzi katika vituo vyote 336 vya kupigia kura Jimbo la Muhambwe. Kura zetu, 41% ya kura zote, haziwezi kutupa Ushindi. Uchaguzi uliendeshwa vizuri. Kasoro kadhaa zilizojitokeza zisingebadili matokeo. Tunatumia uchaguzi huu kama Mafunzo kujiimarisha zaidi hivi kupitia Twitter:

Tweet nyingine hii:

Nawapongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Jimbo la Muhambwe.Kila la Kheri kwa Mbunge mpya. Tutakutana Uchaguzi unaofuata tukiwa Imara zaidi.Nampongeza Msimamizi wa Uchaguzi wa Muhambwe na OCD wa Kibondo kwa kufanya kazi kwa weledi. Ninalaani matukio ya kuumiza Watu yaliyotokea
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Tumekusanya matokeo ya uchaguzi katika vituo vyote 336 vya kupigia kura Jimbo la Muhambwe. Kura zetu, 41% ya kura zote, haziwezi kutupa Ushindi. Uchaguzi uliendeshwa vizuri. Kasoro kadhaa zilizojitokeza zisingebadili matokeo. Tunatumia uchaguzi huu kama Mafunzo kujiimarisha zaidi hivi kupitia Twitter:
Act bado sana ndo shida ya kutengeneza tuvyama twa maslahi binafsi
 
ACT kwa sasa ni tawi la CCM.Anachokifanya Zito ni kuendeleza mahusiano na ushirikiano na CCM ili ruzuku ya chama iendelee kuflow. Simnajua kule Zanzibar wameunda serikali ya pamoja!!! Zito is so clever when it comes to his "INTEREST"
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Tumekusanya matokeo ya uchaguzi katika vituo vyote 336 vya kupigia kura Jimbo la Muhambwe. Kura zetu, 41% ya kura zote, haziwezi kutupa Ushindi. Uchaguzi uliendeshwa vizuri. Kasoro kadhaa zilizojitokeza zisingebadili matokeo. Tunatumia uchaguzi huu kama Mafunzo kujiimarisha zaidi hivi kupitia Twitter:

Tweet nyingine hii:

Nawapongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Jimbo la Muhambwe.Kila la Kheri kwa Mbunge mpya. Tutakutana Uchaguzi unaofuata tukiwa Imara zaidi.Nampongeza Msimamizi wa Uchaguzi wa Muhambwe na OCD wa Kibondo kwa kufanya kazi kwa weledi. Ninalaani matukio ya kuumiza Watu yaliyotokea
Hongera kwa Zitto na wadau wote uchaguzi ni hatua nzuri kwa Tanzania yetu.
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Tumekusanya matokeo ya uchaguzi katika vituo vyote 336 vya kupigia kura Jimbo la Muhambwe. Kura zetu, 41% ya kura zote, haziwezi kutupa Ushindi. Uchaguzi uliendeshwa vizuri. Kasoro kadhaa zilizojitokeza zisingebadili matokeo. Tunatumia uchaguzi huu kama Mafunzo kujiimarisha zaidi hivi kupitia Twitter:

Tweet nyingine hii:

Nawapongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Jimbo la Muhambwe.Kila la Kheri kwa Mbunge mpya. Tutakutana Uchaguzi unaofuata tukiwa Imara zaidi.Nampongeza Msimamizi wa Uchaguzi wa Muhambwe na OCD wa Kibondo kwa kufanya kazi kwa weledi. Ninalaani matukio ya kuumiza Watu yaliyotokea
Ingekua chama chenu, najua mngetengeneza kiki ya kuchafua taswira ya uchaguzi kisha mnatimkia ugaibuni kukwepa aibu ya kugaragazwaa.
 
Zitto ni mwanasiasa safi!

Chama chake kichanga anajaribu kukijenga.

Chadema wamemuunga mkono Samia kwa kutoweka mgombe ili kuwakomoa mataga na marehemu
Nilikupeza Crimea 😅😅😅😅
 
Zitto anatumika kupunguza nguvu ya madai ya Tume huru ya uchaguzi na katiba mpya!!
Kama uchaguzi ni huru na haki. Inaondoa haraka ya tume huru na katiba mpya!!
Nani anatoa hayo madai ya tume na katiba?
 
Asubiri uteuzi kwani huenda ni shariti aliopewa kukubali matokeo.
Hivi wapinzani mkiteuliwa na Mama Samia kwa ajili ya maslahi ya Watanzania tatizo lipo wapi?

That aside, ACT-Wazalendo wametumia haki yao ya kidemokrasia kushiriki uchaguzi ambao ninyi Chadema mmeususia. Tatizo lipo wapi?

Watanzania wana kiu ya kusikia jinsi gani Wapinzani mtapigania Katiba mpya, na sio kuzodoana.

Povu ruksa!
 
KC wa ACT wazalendo Zitto Kabwe amesema wamehesabu kura zao na wanakubali wameshindwa ila wanautumia uchaguzi huo kama sehemu ya mafunzo kwa chama chao.

Zitto Kabwe amesema uchaguzi ulikuwa huru na wa haki na kasoro zilizojitokeza ni za kawaida, ameandika katika ukurasa wake wa twitter.

Kazi Iendelee!
 
Hivi wapinzani mkiteuliwa na Mama Samia kwa ajili ya maslahi ya Watanzania tatizo lipo wapi?

That aside, ACT-Wazalendo wametumia haki yao ya kidemokrasia kushiriki uchaguzi ambao ninyi Chadema mmeususia. Tatizo lipo wapi?

Watanzania wana kiu ya kusikia jinsi gani Wapinzani mtapigania Katiba mpya, na sio kuzodoana.

Povu ruksa!

Maendeleo hayana vyama 💣💥
 
Back
Top Bottom