Wakati wa uchaguzi mkuu 2020 aliyekuwa mgombea ubunge jimbo la Kawe kupitia Chadema Halima Mdee aliutangazia umma kuwa amekamata mabegi yenye kura feki akasema hatotambua matokeo yake leo kaungana na waliomuibia kura.
Jana kwenye uchaguzi mdogo wa majimbo ya Muhambwe na Buhigwe.
Asubuhi: Zitto Kabwe, tumetekwa na watu wenye mapanga maisha yetu yako hatarini, kuna magari matatu yamejaza maboksi yenye kura feki.
Jioni: Zitto, naipongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Tume ya Uchaguzi imefanyakazi yake kwa weledi.
Binafsi nashindwa kuwatofautisha wanasiasa hawa wawili ndumilakuwili ukiwaacha (Mrema, Cheyo na Lipumba) matendo yao yanafanana kwa kiwango kikubwa ni waongo, wanafiki, wasaliti, hawaaminiki na wachonganishi. Wanataka wao ndio waonekane wanajua siasa kuliko wengine na la mwisho zaidi wote wawili ni ‘Opportunist’ wanaangalia maslahi yao kwanza.
Jana kwenye uchaguzi mdogo wa majimbo ya Muhambwe na Buhigwe.
Asubuhi: Zitto Kabwe, tumetekwa na watu wenye mapanga maisha yetu yako hatarini, kuna magari matatu yamejaza maboksi yenye kura feki.
Jioni: Zitto, naipongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Tume ya Uchaguzi imefanyakazi yake kwa weledi.
Binafsi nashindwa kuwatofautisha wanasiasa hawa wawili ndumilakuwili ukiwaacha (Mrema, Cheyo na Lipumba) matendo yao yanafanana kwa kiwango kikubwa ni waongo, wanafiki, wasaliti, hawaaminiki na wachonganishi. Wanataka wao ndio waonekane wanajua siasa kuliko wengine na la mwisho zaidi wote wawili ni ‘Opportunist’ wanaangalia maslahi yao kwanza.