Huko Tunduru wenzako .Mtutura & Co wapo mahabusu karibia wiki 2 sasa kutoka na mtifuano wa uchaguzi wa udiwani Ligoma.Ameandika hivi kupitia twitter:
Tumekusanya matokeo ya uchaguzi katika vituo vyote 336 vya kupigia kura Jimbo la Muhambwe. Kura zetu, 41% ya kura zote, haziwezi kutupa Ushindi. Uchaguzi uliendeshwa vizuri. Kasoro kadhaa zilizojitokeza zisingebadili matokeo. Tunatumia uchaguzi huu kama Mafunzo kujiimarisha zaidi hivi kupitia Twitter:
Tweet nyingine hii:
Nawapongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Jimbo la Muhambwe.Kila la Kheri kwa Mbunge mpya. Tutakutana Uchaguzi unaofuata tukiwa Imara zaidi.Nampongeza Msimamizi wa Uchaguzi wa Muhambwe na OCD wa Kibondo kwa kufanya kazi kwa weledi. Ninalaani matukio ya kuumiza Watu yaliyotokea
Sasaivi wapinzani wamekuwa kama mlenda, wanajipendekeza kwa mama wanajizuiya kuongea utumbo hata wakishikwa makalius wanachekacheka tu maana wana dhani kunasiku mama atawapa ugali.😁😁😁Ameandika hivi kupitia twitter:
Tumekusanya matokeo ya uchaguzi katika vituo vyote 336 vya kupigia kura Jimbo la Muhambwe. Kura zetu, 41% ya kura zote, haziwezi kutupa Ushindi. Uchaguzi uliendeshwa vizuri. Kasoro kadhaa zilizojitokeza zisingebadili matokeo. Tunatumia uchaguzi huu kama Mafunzo kujiimarisha zaidi hivi kupitia Twitter:
Tweet nyingine hii:
Nawapongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Jimbo la Muhambwe.Kila la Kheri kwa Mbunge mpya. Tutakutana Uchaguzi unaofuata tukiwa Imara zaidi.Nampongeza Msimamizi wa Uchaguzi wa Muhambwe na OCD wa Kibondo kwa kufanya kazi kwa weledi. Ninalaani matukio ya kuumiza Watu yaliyotokea
Acha hasira.Hili jamaa lina udini na ubinafsi sana.