Zitto ni kweli anakubali kushindwa au anaficha aibu ya kutotaka kusikiliza ushauri wa wenzake?

Hivi vyama vya mfukoni, wananchi tumeshavichoka. Upinzani ulishajifia siku nyingi, vimebaki vioja tu.
 
Hivi ndivyo anavyosema kiongozi wa Act wazalendo. Anadai japo wenzao walisusia uchaguzi lakini wao walishiriki ili kupima upepo. Waligungua kura feki na kudhibiti na wameshindwa kihalali. Chadema waache kutoa povu.

Screenshot_20210517-044811.png
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Tumekusanya matokeo ya uchaguzi katika vituo vyote 336 vya kupigia kura Jimbo la Muhambwe. Kura zetu, 41% ya kura zote, haziwezi kutupa Ushindi. Uchaguzi uliendeshwa vizuri. Kasoro kadhaa zilizojitokeza zisingebadili matokeo. Tunatumia uchaguzi huu kama Mafunzo kujiimarisha zaidi hivi kupitia Twitter:

Tweet nyingine hii:

Nawapongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Jimbo la Muhambwe.Kila la Kheri kwa Mbunge mpya. Tutakutana Uchaguzi unaofuata tukiwa Imara zaidi.Nampongeza Msimamizi wa Uchaguzi wa Muhambwe na OCD wa Kibondo kwa kufanya kazi kwa weledi. Ninalaani matukio ya kuumiza Watu yaliyotokea
Huko Tunduru wenzako .Mtutura & Co wapo mahabusu karibia wiki 2 sasa kutoka na mtifuano wa uchaguzi wa udiwani Ligoma.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Ameandika hivi kupitia twitter:

Tumekusanya matokeo ya uchaguzi katika vituo vyote 336 vya kupigia kura Jimbo la Muhambwe. Kura zetu, 41% ya kura zote, haziwezi kutupa Ushindi. Uchaguzi uliendeshwa vizuri. Kasoro kadhaa zilizojitokeza zisingebadili matokeo. Tunatumia uchaguzi huu kama Mafunzo kujiimarisha zaidi hivi kupitia Twitter:

Tweet nyingine hii:

Nawapongeza CCM kwa ushindi wa halali kabisa Jimbo la Muhambwe.Kila la Kheri kwa Mbunge mpya. Tutakutana Uchaguzi unaofuata tukiwa Imara zaidi.Nampongeza Msimamizi wa Uchaguzi wa Muhambwe na OCD wa Kibondo kwa kufanya kazi kwa weledi. Ninalaani matukio ya kuumiza Watu yaliyotokea
Sasaivi wapinzani wamekuwa kama mlenda, wanajipendekeza kwa mama wanajizuiya kuongea utumbo hata wakishikwa makalius wanachekacheka tu maana wana dhani kunasiku mama atawapa ugali.😁😁😁
 
Back
Top Bottom