Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Siku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.

Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?
Chizi wewe.
Kwahyo mtu akikosoa sirikali yako,haitakii mema silikali
 
Naona Hon Zitto Kabwe ameamua kujitoa muhanga na liwalo liwe!
 
Jamaa anajua kucheza na mazwazwa yasiyojulikana kama yanaamini ushirikina..

Uchawi ungekuwepo tungetumia software za asili kumtafuta MO nadhani tungempata siku ile ile
Mazwazwa nchi hii ni 4/5. Kama unabisha angalia ni viongozi wangapi walienda kunywa kikombe cha babu loliondo? Ni wangapi wameshiriki kuua au kukata Zeruzeru ili washinde uchaguzi au watajirike??????

Nchi hii ya mazwazwa mpaka wanaenda na waganga kwenye mipira ili washinde???
 
Mazwazwa nchi hii ni 4/5. Kama unabisha angalia ni viongozi wangapi walienda kunywa kikombe cha babu loliondo? Ni wangapi wameshiriki kuua au kukata Zeruzeru ili washinde uchaguzi au watajirike??????

Nchi hii ya mazwazwa mpaka wanaenda na waganga kwenye mipira ili washinde???
Hawa watu kuwaelewa huwa napata tabu..
Unakuta mtu anamwaga unga uanjani mchana kweupe halafu anaishia kudroo mechi..
Uchawi ungekua real zitto si angekuwa president miaka mingi tu
 
Wasiojulikana wakitaka kujua kama ni kweli au la, wajaribu tu kumteka waone itakuwaje.
Hahaha kuna jamaa tulikuwa tunasoma nae ni mtu wakigoma aliniambia mama ake zitto alikuwa mchawi hatari sa sijui alikua anamaanisha au story za kijiweni
 
Haa haa haa mzee wa mzebazeba kasulu,mkimfuata tuu anageuka kuwa bwawa la ruba haa haa nimecheka munoo
 
Inabidi umuelewe Zitto.....huyu dogo anapenda sana kujitafutia ujiko ili akubalike au watu wamuongelee. Alififia sana masikioni mwetu mpaka wengine tukahisi kajiua ama kajiteka. Ghafla bin vuu akaanzisha dude kwa kutembea na mke wa marehemu rafiki yake Filikunjombe na kuandikwa magazetini huku yeye akichekelea kuwa kafufuka kisiasa. Wewe jiulize, Zitto ana umuhimu gani hapa nchini mpaka atekwe, huko jimboni kwake tu hakuna cha maana alichokifanya zaidi ya kugawia wananchi wake dagaa waliojaa mchanga. Yeye anachokifanya ni kutengeneza sinema ili aonekane ni wa maana hapa nchini kisha aonewe huruma na wananchi wakati he's a nobody, just a damn ass mbunge asiye na mafanikio jimboni kwake.
Hata kama ni chuki si kwa kiwango hiki. Zitto hana mafanikio kama mbunge?
 
Back
Top Bottom