SAUSTINE CHARLES
JF-Expert Member
- Nov 23, 2014
- 364
- 335
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mi simtaji ili aendelee kutumia hiyo ID!Comments zake huwa nacheka balaa!
Ila ana tatizo la "r" na "L" kwenye uandishi wake!We mfuatilie utamnyaka tu!
Atapata tabu sanaaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mi simtaji ili aendelee kutumia hiyo ID!Comments zake huwa nacheka balaa!
Ila ana tatizo la "r" na "L" kwenye uandishi wake!We mfuatilie utamnyaka tu!
Wewe fikiria unae kuku wa kisasa halafu anajichanganya na kuku wa kienyeji, unategemea nini hapo?
Zitto amlaumu jogoo wa ng'ambo ya pili maana alionekana akimuita huyo kuku wa kisasa kwa ule milo wake wa mvuto na hapo ndipo akapotea na kuku huyo.
Sasa utasingizia vipi baba mwenye nyumba.
Akili za Zitto ndizo hizo tena.
Alishawahi kusaka kiki ya kutekwa kule Kigoma ikabuma usidhani hatukumbukiMnapanga njama za kumteka, huku mkidai kuwa anajitengenezea sinema ya kutekwa??
Huyo hamumuwezi, kwao kaaga, mkijaribu tu mtarudi makwenu vichwa chini!
Atabadili!tupe id yake mkuu
😂😂🤣 Hachelewi kuibuka na yai viza..Tola Anakula mayai gizani.
ukisikia papasa kichwa jusi kafiri....nisafishe mtaro ndio hiiKuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.
ZZK
Nipo moro njoo guest unipe?Unaongea na mange kimambi
Tweeter!Source tafadhali!
Zitto ameripoti?Lissu alipokuwa akiripot alikuwa anajitengenezea mazingira?
Ila wanafananishwa na nyumbu au vipi?Binadamu hawezi fananishwa na kuku
Ana hoja!!!Zakaria alitakwa kutekwa kwa style hiyo hiyo,akawasha moto!Ndio ikawa ponapona yake maana wale jamaa ilibidi wajitambulishe kuwa ni usalama!
Huyo jamaa inaonekana aliwawashia moto wasiojulikana mpaka ikabidi wajitambulishe...Ana hoja!!!Zakaria alitakwa kutekwa kwa style hiyo hiyo,akawasha moto!Ndio ikawa ponapona yake maana wale jamaa ilibidi wajitambulishe kuwa ni usalama!
Hahahaaaaa, wabongo wanamaneno!.Kumsubiri kuku wetu ni sawa na kusubiri embe dodo chini ya mnazi!
ni kweli mkuu..jitathminiKweli kichaa hajijui kama ni kichaa,
Yahani na wewe kumbe ni tabula lasa kabisaHata juzi wakati bashiru anataka kuadress pale nkrumal hakumuona wakati amekaa pale baada ya zito kuona bashiru hana madhara kwake akajiruhusu mwenywe aonekane ndani ya dk mbili tu baadae akapotea. Mnakumbuka bashiru alidi zitto amekimbia lakini baada ya dk chake akamuona hakuyokea nje alikuwepo palepale. Zito ukimtaka kumtafuta kwa shari humuoni au unaona bwawa tu