Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Mi simtaji ili aendelee kutumia hiyo ID!Comments zake huwa nacheka balaa!
Ila ana tatizo la "r" na "L" kwenye uandishi wake!We mfuatilie utamnyaka tu!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Atapata tabu sanaaaaaaa
 
Wewe fikiria unae kuku wa kisasa halafu anajichanganya na kuku wa kienyeji, unategemea nini hapo?

Zitto amlaumu jogoo wa ng'ambo ya pili maana alionekana akimuita huyo kuku wa kisasa kwa ule milo wake wa mvuto na hapo ndipo akapotea na kuku huyo.

Sasa utasingizia vipi baba mwenye nyumba.

Akili za Zitto ndizo hizo tena.

Ana hoja!!!Zakaria alitakwa kutekwa kwa style hiyo hiyo,akawasha moto!Ndio ikawa ponapona yake maana wale jamaa ilibidi wajitambulishe kuwa ni usalama!
 
Mnapanga njama za kumteka, huku mkidai kuwa anajitengenezea sinema ya kutekwa??

Huyo hamumuwezi, kwao kaaga, mkijaribu tu mtarudi makwenu vichwa chini!
Alishawahi kusaka kiki ya kutekwa kule Kigoma ikabuma usidhani hatukumbuki
 
Kuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.

ZZK
ukisikia papasa kichwa jusi kafiri....nisafishe mtaro ndio hii
 
Tola atakula konokono au Ndo skuiz nayo dawa
 
Ana hoja!!!Zakaria alitakwa kutekwa kwa style hiyo hiyo,akawasha moto!Ndio ikawa ponapona yake maana wale jamaa ilibidi wajitambulishe kuwa ni usalama!

Unafahamu alipo Zakaria Hans Pope?

Na uwezo wa kuwasha moto lakini umri umemtupa na vijana wana uwezo wa kuzima moto huo kwa kasi ya ajabu.

Ila bado ipo heshima kwa Zakaria.

Zitto hana hoja yoyote zaidi ya kutafuta kisa cha ndege mjanja alienasa kwenye tundu bovu.
 
Ana hoja!!!Zakaria alitakwa kutekwa kwa style hiyo hiyo,akawasha moto!Ndio ikawa ponapona yake maana wale jamaa ilibidi wajitambulishe kuwa ni usalama!
Huyo jamaa inaonekana aliwawashia moto wasiojulikana mpaka ikabidi wajitambulishe...
Na mpaka leo ana kesi mahakamani
 
Hata juzi wakati bashiru anataka kuadress pale nkrumal hakumuona wakati amekaa pale baada ya zito kuona bashiru hana madhara kwake akajiruhusu mwenywe aonekane ndani ya dk mbili tu baadae akapotea. Mnakumbuka bashiru alidi zitto amekimbia lakini baada ya dk chake akamuona hakuyokea nje alikuwepo palepale. Zito ukimtaka kumtafuta kwa shari humuoni au unaona bwawa tu
Yahani na wewe kumbe ni tabula lasa kabisa
 
Back
Top Bottom