Hahaha kuna jamaa tulikuwa tunasoma nae ni mtu wakigoma aliniambia mama ake zitto alikuwa mchawi hatari sa sijui alikua anamaanisha au story za kijiweni
Kauli nzito hiyo duu
🤷🏽♂️Hahaha kuna jamaa tulikuwa tunasoma nae ni mtu wakigoma aliniambia mama ake zitto alikuwa mchawi hatari sa sijui alikua anamaanisha au story za kijiweni
🤷🏽♂️![]()
![]()
![]()
basin /dam /pond?
Natamani vita ya wasiojulikana na wenye tunguli...
Mshana Jr
Zilongwa Mbali Zitendwa Mbali
Nataka kusikia kauli ya Msiba hadharani kama.yuko salama 100%.Kwahiyo saiv uko Act wazalendo?
Bashite wewe utabururwa Dar es salaam usutwe kwa hayo unayoyatendaMh Zito ukiona watu wazima wanakusitai jifunze kukaa kimya nadhani kama mwanasiasa unalakujifunzwa Kule Uturuk ndani ya ubaloz wa Saudia. Nadhani nimuda muwafaka tufunge midomo yetu nakuacha wenye mamlaka wafanye kazi nje ya hapo tusilaumu serikali tusilaumu wanasiasa na watu wachache waliobadilika kuwa wasaliti wa Taifa. Kiufupi Tanzania nisalama kuliko kipindi kingine chochote ila ole nikwawalio liujumu taifa hakika ni Ole. Taifa moja kwa pamoja Chini ya mwamvuli wa ccm na Rais wetu Magufuli. End
HATARI KUMBE,unakumbuka ile tweet zitto alitoa juzi,ati imefika muda baraza la mawaziri likae kikao,limpe taarifa jaji mkuu maana inaonekana huyu rais ni kaa afya yake ya akili sio poa,na huyu kichaa aliyeko madarakani hakumufanya zitto chochoteKuna mbunge wa CCM kule mchinga, Mundhir Mundhir, alitoa hoja Zitto Kabwe afungiwe bungeni mwaka 2007. Haikupita miezi alipata ajali akakatika mkono.
Uchawi hautumiki kumtafuta mtuJamaa anajua kucheza na mazwazwa yasiyojulikana kama yanaamini ushirikina..
Uchawi ungekuwepo tungetumia software za asili kumtafuta MO nadhani tungempata siku ile ile
RIPHa ha ha we ulitaka Musiba aweje?
Yupo wapi?Hahaha kuna jamaa tulikuwa tunasoma nae ni mtu wakigoma aliniambia mama ake zitto alikuwa mchawi hatari sa sijui alikua anamaanisha au story za kijiweni
Anatafuta Kiki tu huyo.
Siku Hizi Kuna Kasi Sana Kubadili IDMkuu umempoteza zomba wapi? mwanajamii forums mwenzetu na mtetezi mzuri sana wa Chama dola kwa nguvu zote.
Mikwara tu hiyo ya zitto. Si alimtangazia ultimatum yule mwehu mwenye vijarida vya propaganda za kuwachafua wapinzani kila siku. Mbona hatujaona majibu mpaka leo japo toka siku ile sijamuona tena akiitisha press conference.Zitto huwa namkubali sana natamani sana amtolee pimbi mmoja mfano....
Kuna nyepesi nyepesi kuwa Musiba ile kitu ya kwenye kaptura haionekani!
Hatari sana hiyo.Kuna nyepesi kuwa Musiba kapoteza kiungo fulani muhimu sana!
Yap member wa jf hawezi kupaniki.sis tunawakilisha mawazo ya watanzania jf ni bunge part 2.Wee utakuwa umevurugwa,![]()
au ni mgeni jukwaani? Member wa JF hawezi kupaniki kijinga kiasi hicho, pole sana...
Kwani alisha wahi kugombea urais??Kama Kigoma uchawi upo Zitto angekuwa Raisi