Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Zitto: Mtaona Bwawa Tu...

Siku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.

Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?
kashauriane na musiba kwanza kisha mtakachokubaliana uje useme atadhuriwa lini?
 
Zitto atakuja kuwa rais! Sema mfumo mbovu, hautupatii “le creme “, bali loosers! ila naamini Mungu akiwa upande wetu watanzania atakuja kuwa rais wa nchi!
Pamoja na ukigeugeu wake, Zitto anaweza kuwa raisi bora na akaongoza nchi vizuri sana, Zitto ana akili sana kichwani..
 
Kuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.

ZZK
 
Kwa ujinga ulioandika, unajaza database ya JF na utumbo mtupu.... Ningekua mod ningekupa kadi nyekundu
IMG-20170125-WA0009.jpg
 
Hata juzi wakati bashiru anataka kuadress pale nkrumal hakumuona wakati amekaa pale baada ya zito kuona bashiru hana madhara kwake akajiruhusu mwenywe aonekane ndani ya dk mbili tu baadae akapotea. Mnakumbuka bashiru alidi zitto amekimbia lakini baada ya dk chake akamuona hakuyokea nje alikuwepo palepale. Zito ukimtaka kumtafuta kwa shari humuoni au unaona bwawa tu
Duuh! Ya Kweli Hayo???
 
ni kazi ya serikali kuoitia takukuru kutafuta ushahidi-sio kazi ya zito kuto ushahidi
 
Kuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.

ZZK
😳😳😳🙄
 
Back
Top Bottom