Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,123
Ningekua Mod.....
Weeeh! Alimkolokochoa babaa semugabo?Aisee mi tangu mzee wa Mchinga Mudhihiri Mudhihiri akatike ule mkono namwogopa sana Zitto!
Kuna nyepesi nyepesi kuwa Musiba ile kitu ya kwenye kaptura haionekani!
kashauriane na musiba kwanza kisha mtakachokubaliana uje useme atadhuriwa lini?Siku za hivi karibuni Mbunge huyu kutoka Kigoma amejigeuza kuwa mwanaharakati kwa kushutumu Serikali katika kila jambo.
Hii ni tofauti sana na uanasiasa wa kitanzania.
Halipiti juma moja bila ya zitto kupost shutuma bila ushahidi dhidi ya Serikali.
Wachambuzi wa mambo wanaona ni kama vile anajiandaa kwa kufanya au niseme kujifanyia tukio la kudhuru ili kuichafua Serikali ya Magufuli.
Pengine lengo lake ni kuona Serikali inachafuka baada ya kukamilisha hiyo 'sinema ' yake.
Je unaishauri nini Serikali ya Magufuli kuepuka mtego huu?
Pamoja na ukigeugeu wake, Zitto anaweza kuwa raisi bora na akaongoza nchi vizuri sana, Zitto ana akili sana kichwani..Zitto atakuja kuwa rais! Sema mfumo mbovu, hautupatii “le creme “, bali loosers! ila naamini Mungu akiwa upande wetu watanzania atakuja kuwa rais wa nchi!
Mfano kwenye thread hii umeona nimeimba sifa za Serikali?Watu wategemee nini kutoka kwa jingalao? Ujinga tu. Hakuna hoja. Kuimba sifa na kuikingia kifua serikali.
Musiba ndio kiboko ya Zitto
Soma kijana ....JF tuachie GTsNingekua Mod.....
Ni Mbowe mkuu wala usipate tabu..Mara Slaa,mara Zitto!Sasa nani ni nani?
Mbona siku ile alijibanza kwenye ukumbi wa bunge hadi Ndugai alipompa lift.......mbona hatukuliona hilo bwawa!Kwa nini tuandikie mate? Jaribuni muone.
Duuh! Ya Kweli Hayo???Hata juzi wakati bashiru anataka kuadress pale nkrumal hakumuona wakati amekaa pale baada ya zito kuona bashiru hana madhara kwake akajiruhusu mwenywe aonekane ndani ya dk mbili tu baadae akapotea. Mnakumbuka bashiru alidi zitto amekimbia lakini baada ya dk chake akamuona hakuyokea nje alikuwepo palepale. Zito ukimtaka kumtafuta kwa shari humuoni au unaona bwawa tu
Tabu unaipata wewe,acha kuwashwawashwa,hujaulizwa wewe!Ni Mbowe mkuu wala usipate tabu..
Eyes can not see what the mind does not know-Mark TwainKwa ujinga ulioandika, unajaza database ya JF na utumbo mtupu.... Ningekua mod ningekupa kadi nyekunduView attachment 898250
Huu upupu uliouandika ndio unajiita GT, we jamaa ni hopeles kabisaSoma kijana ....JF tuachie GTs
FafanuaHii serikali inajichafua kwa mikono yake yenyewe na wala haichafuliwi.
😳😳😳🙄Kuku wa familia anayetaga mayai ya dhahabu hupendwa na kulindwa na kila mwanafamilia. Akipotea abadan familia hupatwa taharuki. Tunapoona kuku wetu huyu katoweka, sisi tunatahayari lakini Baba wa familia hashtuki, tuna kila sababu ya kuhisi ama kamficha au kamdhuru.
ZZK