Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 17,023
- 13,370
Musiba yamekuta tayari au?
Zitto anazingua. Kipindi kile kamtisha Musiba nkajikopesha bia kujipongeza mpaka sasa nadaiwa na Musiba yupo anadunda
hapo pagumu mkuu kuna watu hawagusikiJamaa anajua kucheza na mazwazwa yasiyojulikana kama yanaamini ushirikina..
Uchawi ungekuwepo tungetumia software za asili kumtafuta MO nadhani tungempata siku ile ile
Mara Slaa,mara Zitto!Sasa nani ni nani?Haka ka msela ndo kaliiweka chadema kwenye ramani, siasa kanaijua
kanajua kula na vipofu na kanajua kupiga mkwala.
Kuna nyepesi nyepesi kuwa Musiba ile kitu ya kwenye kaptura haionekani!Zitto anazingua. Kipindi kile kamtisha Musiba nkajikopesha bia kujipongeza mpaka sasa nadaiwa na Musiba yupo anadunda
Ofukozi vijana wengi tulimfata zitto pale.Mara Slaa,mara Zitto!Sasa nani ni nani?
Kwahiyo saiv uko Act wazalendo?Ofukozi vijana wengi tulimfata zitto pale.
Kuna nyepesi kuwa Musiba kapoteza kiungo fulani muhimu sana!Musiba ndio kiboko ya Zitto

Hamna lolote.Kuna nyepesi kuwa Musiba kapoteza kiungo fulani muhimu sana!
Yule bb ndio alikuwa anam-recharge zzk. Ndio maana alipokufa tuu umaarufu wa zzk umeporomoka gafla anabaki kutapatapa tuu mitandaoniHahaha kuna jamaa tulikuwa tunasoma nae ni mtu wakigoma aliniambia mama ake zitto alikuwa mchawi hatari sa sijui alikua anamaanisha au story za kijiweni
ofukozi alini insipaya tu ila mimi ni muumini wa itikadi, sio mtu.Kwahiyo saiv uko Act wazalendo?