Herr muller
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 1,017
- 1,214
kwani uliomba huyu mke wa ndeo akakunyima, maana mambo ya watu wawili ambae wako zaidi ya 18yrs inatoka wapi,kaa ni wapezi inakuhusu niniKijana Zitto anapenda kujikweza sana, usikute hakun hata anayemtishia ila anataka tu watu waache kumzungumzia yeye na mke wa Deo. Sawa tumekupata kijana Zitto, we chapa tu mke wa marehemu rafikiyo.
