Kuna mahali nmekuona we nyau utatekwaa wwBashite huyo.
Huyu naye anapenda sana kuwa opportunist wa matukio nakuyatumia kutafuta headline
Anapenda sana attentionKijana Zitto anapenda kujikweza sana, usikute hakun hata anayemtishia ila anataka tu watu waache kumzungumzia yeye na mke wa Deo. Sawa tumekupata kijana Zitto, we chapa tu mke wa marehemu rafikiyo.
Nimepiga picha na bashite ee?Kuna mahali nmekuona we nyau utatekwaa ww
Aache kiki atupe mrejesho wa msigwa kwanza
Na tujiulize pia.. hivi bado anapiga kelele hadi sasa..???Hivi Musiba alitengua ile kauli yake?
Ziko chini ya kapeti hizo!Hamna lolote.
Hongera!ofukozi alini insipaya tu ila mimi ni muumini wa itikadi, sio mtu.
Kwani amejiita mchawi?Yeye amesema wataona bwawa tu!Mchawi gani anajifanyia promo mwenyewe ,,
Ili uwe mchawi subiri wao wakuite wewe ni mchawi kwa kuona advatize zako
Aah! Mbona ule mkwara wa mwandika jarida mpaka leo umebaki story?Huyo ndio Kabwe Zuberi Zitto mutu ya Kigoma! Yuko wazi, kama hamuamini jaribuni
Zitto anazingua. Kipindi kile kamtisha Musiba nkajikopesha bia kujipongeza mpaka sasa nadaiwa na Musiba yupo anadunda
ulitaka musiba afanyaje ?