Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Zitto Kabwe amesema kuwa
''Katika marekebisho ya sheria za uchaguzi Serikali imebakiza wakurugenzi wa halmashauri kuwa wasimamizi wa uchaguzi kitu ambacho nadhani si sahihi kwa sababu wakurugenzi wengi wa halmashauri ni makada wa CCM hawawezi kutenda haki, kwahiyo hili ni eneo ambalo tutalipigania kwenye kamati za Bunge kuwaondoa wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi"
''Katika marekebisho ya sheria za uchaguzi Serikali imebakiza wakurugenzi wa halmashauri kuwa wasimamizi wa uchaguzi kitu ambacho nadhani si sahihi kwa sababu wakurugenzi wengi wa halmashauri ni makada wa CCM hawawezi kutenda haki, kwahiyo hili ni eneo ambalo tutalipigania kwenye kamati za Bunge kuwaondoa wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi"