Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,249
Baada ya mivutano ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba kuhusu Tume ya Uchaguzi kuajiri wafanyakazi wake yenyewe , badala ya kutegemea Makada wa ccm wale Wakurugenzi wa Halmashauri , Tuliamua kufanya Utafiti mdogo mitaani .
Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .
Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .
Kiukweli Wananchi wanapinga kabisa Wakurugenzi kusimamia uchaguzi , hii ni kwa sababu wakurugenzi hao ni Makada halisi wa CCM na ni Wafia Chama .
Hata hivyo wananchi wameahidi kwamba wako tayari kuchangia mishahara ya Wafanyakazi wapya wa Tume kwa uaminifu kama vile wanavyochangia Mbio za mwenge milele na milele , kwa hiyo visingixio vyovyote vya kukwepa jambo hili kwa sababu ya ukosefu wa fedha havitakubalika .