Zitto Kabwe: Tukemee wabakaji kusamehewa kiholela

Angetumia Katiba ile ile kwa Vyama vya Siasa kufanya Mikutano ya hadhara na maandamano ya amani.
Vyama vya siasa vinaruhusiwa kufanya campaign mara tu Tumw ya Uchakuzi ikitangaza tarehe ya uchaguzi. Uchaguzi ukipita mikao ya kampeinu inaisha ilu Mshindi atekelezw ilani yake
 
Mie kwa upande wangu nimefurah kutoka babu seya haiwezekan familia nzima ikawa wabakaji
Kifupi serikali waimbe radhi tu kuwa walimfunga kwa uonevu,Na walioshiriki kumfunga wakamatwe,wanamtoa kwa msamaha ili kukwepa kushtakiwa kwa uonevu
 
Mie kwa upande wangu nimefurah kutoka babu seya haiwezekan familia nzima ikawa wabakaji
Ni kweli ata mimi mkuu mtu hawezi kubaka na watoto ata kama kusoma hawezi aangalie picha japo najua ukweli anaujua ila anataka apate cha kukosoa
 
Zee la DRAMA/MASIFA na MAKIKI limekaa muda bila KUSIFIWA, Likaona liyasake MASIFA. Nchi imeangukia kwa JITU SHAMBA, LIMBUKENI, PENDA SIFA, AKILI NDOGO ila linajifanya MUCH KNOW. Ni Mungu tu atusaidie
Kunywa maji mengi mkuu upunguze makali ya hasira mwilini.
JPM hoyeeeeeeee.
 
Tunahamishwa kutoka kwenye mambo ya msingi kirahisi sana na sisi bila kutafakari tunahamisha mijadala. Ufedhuli walioufanya kwenye uchaguzi wa madiwani naona tayari tumeusahau na tunamshangilia mtu kwa kusamehe wafungwa. Tunamlilia Azory Gwanda na wote waliopotea. Hatujapata majibu juu ya shambulio la Tundu Lissu, halaf mtu anashangilia msamaha wa wafungwa!?
Tubadilike na tukatae akili zetu kuchezeshwa kama tiara!
 
Hivi wewe umezaliwa lini? Hujui Magufuli ni rais? Hujui kila neno na tendo lake lina impact kwa nchi na wananchi? Hujui kwamva yeye km rais anafuatiliwa kila siku kwa sababu maneno na matendo yake yana athari za moja kwa moja kwa kila mtanzania na kwa sera za nchi. Magufuli is not a private person, ni taasisi! Kumbe ulitaka tumjadili nani? Pumbavu! Kwanza yeye ndiye anaatract attention ya kujadiliwa kwa kupenda kwake kutafuta kiki zisizokuwa na msingi!
Watanzania ni watu wa ajabu sana. We can't think independently!!

Watu hawaelewi kinachohojiwa hapa. Pamoja na Rais kuwa na mamlaka hayo ... je maamuzi aliyoyatoa ni sahihi na ya haki!!?

Watu wanashindwa kuelewa kuwa victims wako mtaani na walichofanyiwa kitawasumbua maisha Yao yote!!
 
Huu yamkini ni ushahidi tosha kuwa ile kesi jamaa walibambikwa tu,wakuu wanajua na walikuwa kimya maana yamkini aliyembambika alikuwa mkuu mwenzao,wamekuwa wanaumia mioyoni,maana km kweli alitenda unyama ule kwa watoto aisee alipaswa siyo kufungwa ni kunyongwa,mnasameheje mbakaji,anachoongea zitto wenye akili ndogo hawawezi kujua anamaanisha mini,hilo ni dongo kwa double standard ya matendo ya serikali na ni kuwaambia waache udhalimu,unauaminisha umma kuwa jamaa mbakaji sugu unamfunga halafu unakuja kumuachia mbakaji
Na wale wa kunyongwa waliosamehewa nao walibambikizwa??
Kubalini kitu kimoja, HUKUMU ya mahakama kuhusu hii familia HAIJATENGULIWA, NI msamaha tu wa rais umetolewa.
 
Tunahamishwa kutoka kwenye mambo ya msingi kirahisi sana na sisi bila kutafakari tunahamisha mijadala. Ufedhuli walioufanya kwenye uchaguzi wa madiwani naona tayari tumeusahau na tunamshangilia mtu kwa kusamehe wafungwa. Tunamlilia Azory Gwanda na wote waliopotea. Hatujapata majibu juu ya shambulio la Tundu Lissu, halaf mtu anashangilia msamaha wa wafungwa!?
Tubadilike na tukatae akili zetu kuchezeshwa kama tiara!
Usingeandika hapa, ungekuwa haujaamishwa nawe ila nawe umehamishika kirahisi sana ila haujui hili sababu ya ujinga wako.
 
Watanzania ni watu wa ajabu sana. We can't think independently!!

Watu hawaelewi kinachohojiwa hapa. Pamoja na Rais kuwa na mamlaka hayo ... je maamuzi aliyoyatoa ni sahihi na ya haki!!?

Watu wanashindwa kuelewa kuwa victims wako mtaani na walichofanyiwa kitawasumbua maisha Yao yote!!
Discretionary power!
Watu wengi wamefurahi kuachiwa kwa hawa watu, public cry was much bigger. Plus, the convicts had learn their lesson, it's not like they ran away with murder! They served their sentence atleast. Through their music, kama wataendelea kuimba, wataifunza jamii kitu.
 
JPM hakubakwa na hao kina babu seya, hiyo samehe 7*70 hai apply, laiti kama wale waathiriwa wangesema tumewasamehe hapo sawa. There is no place for sex predators and pedophiles in the society, they belong behind bars.
Umejuaje hao waliobakwa kama hawajasamehe?
 
Hiyo tabia yenu ya kufwata nyumanya kama fisi ndio inawaponza?! Hivi hamuwezagi jianzishia jambo lenu? Mpaka msubiri jambo aanzishe Mag ndio muanze kulijadili? Ina maana gani hiii kwenu?
Anaweza kuwa kakosea hta mmi simuungi mkono lakini ndio kazi ya upinzani yani serikali ikifanya jambo lazma upinzani utoe ushauri au kukosoa au kutoa hoja mbadala ndio maana hta bungeni waziri wa fedha akiwasilisha bajeti lazma pia KUB iwasilishe bajeti mbadala sasa utasema na wenyewe wanamendea??? Unajua kazi ya upinzani???
 
Kabisa sioni haja ya kutongoza na kuingia gharama
baka uone shenzi,kiufupi kama adhabu wameipata sana wamekaa miaka 14 jela ambayo Ni karibia Na miakab 20 anayostahili kufungwa jambazi au mbakaji. Kwa hiyo kama rais Ana mamlaka acha iwe hivyo
 
Haya mambo magumu sana, Upande wa familia za waathirika yaani kwa watoto na ndugu, Upande wa siasa na uhalisia, Pengine kuna mambo nyuma ya pazia, Lakini muda ni wakati ukweli utaonekana ,"tusubiri ukweli "
Rais keshaamua
 
Discretionary power!
Watu wengi wamefurahi kuachiwa kwa hawa watu, public cry was much bigger. Plus, the convicts had learn their lesson, it's not like they ran away with murder! They served their sentence atleast. Through their music, kama wataendelea kuimba, wataifunza jamii kitu.
Sawa Mkuu. Lakini hii issue haina public interest na sioni sababu ya kutoa msamaha based on public outcry. Pamoja na kwamba sina much knowledge na hii kesi, naamini kabisa kesi yake itakuwa ilipitia mahakama kuu na pia mahakama ya rufaa. Na kote akawa convicted.

Hapa pia tusisahau kuwa kuna victims ambao wako mtaani na kitendo walichofanyiwa kimewaathiri maisha yao yote ..... psychologically!!
 
Kinachoshangaza ni Watz Leo wanashangilia kuwachiwa Kwa wabakaji mahakama zote nchin zimesibitisha bila kuwacha shaka kuwa ni wabakaji na wanasitahili azabu vip ww unashangilia
 
Mimi binafsi nampongeza Rais haijawai tokea waliohukumiwa kunyongwa na vifungo vya maisha kupata msamaha Jamani Rais ametenda jambo jema tumpongeze
 
Uamuzi wa Rais umefungua milango zaidi kwa wabakaji kuongeza speed ya uovu huo
 
Back
Top Bottom