Nyinyi munapenda Zitto aseme yes sir! kila wakati? Anayo haki ya kukataa kuunga mkono kitu kama hawafikiani nacho na huo sio usaliti.
Usaliti ni ile kujidai umekubali kumbe rohoni mwako hupendi kile kinachofanyika.
Jaribuni kufikiri nje ya boksi jamani!
I have no comments,so zitto hataki katiba mpya? yeye alipendekeza nini kifanyike badala ya kuingia ndani na kutoka? au kaahidiwa uwaziri na aliona akiingia na kutoka atakuwa kapoteza nafasi yake kwa jk?
Am still watching this movie.
Ningekuona una busara endapo ungejibu hoja nilizozitaja toka mwanzo kuliko kuanza kunivamia mie, wewe umejiunga 2010 mie 2007 na ninajua huu ni mtandao wa Small mind people, wasioweza kujadili maswala, nabadala yake neno lao ni Ufisadi na kumtaja makamba, lowasa kila saa,, grow up. Ukifuatilia kwa makini huu mtandao ni wa MASHABIKI WA CHADEMA na pia watu waliokua very biased kwa hiyo huwezi kua thanked unless uitukane CCM,, hayo ni maono ya kitoto kifikra. Kua
Omar.. hivi uamuzi wa kutoka Bungeni ulipigiwa kura na wabunge wa Chadema au uliamuliwa unilaterally na mtu mmoja?
Huyu jamaa ingawa ni kiongozi wetu lakini akiamua kutoka leo nitafurahi sana, ninachoomba Chadema iende naye taratibu wasimpe cheo kikubwa wala wasimfukuze ajiondoe mwenyewe, walikuwapo kina Kabouru enzi chama hakina mvuto atakuwa Zitto wakati chama kina vichwa vya uhakika, kwa busara za uongozi huwezi mlinganisha Zitto na Lissu.
Kwani katiba inasemaje juu ya situation kama hii?
Kaka waulize Chadema...wapo bwelele humu.....na pia unajua jibu lake
Huyu Nyerereist amekuwaje akawa JF senior Expert member na utumbo huu? how? inakuwaje awe amepost posts 420 lakini amekuwa thanked mara moja tu? nadhani huyu ni junior member tu kama siye au ni mropokaji tu!
mie nadhani atupe sababu kwanini alikuwa hakubaliani na pendekezo hilo,lazima alikuwa na sababu,sasa asiseme tu tulipiga kura wengi wape,vilevile atuambie kwanini hakukubaliana na maamuzi yale then uamuzi utolewe na wana JF.
Hao waliosema waliosema hawamtambui Jk , Nasisi hatuwatambui uwepo wao bungeni.
NO NEED OF REASONS IN POLITICS.
mie nadhani atupe sababu kwanini alikuwa hakubaliani na pendekezo hilo,lazima alikuwa na sababu,sasa asiseme tu tulipiga kura wengi wape,vilevile atuambie kwanini hakukubaliana na maamuzi yale then uamuzi utolewe na wana JF.
Sababu kubwa ni uenyekiti wa kamati nyeti.Bado anaitaka ile kamati ya Hesabu za mashirika ya uma. Zitto mpenda vyeo hana subira akajipanga anajiangalia yeye na si chama. mimi nitafurahi akiondoka CHADEMA kwani kiukweli chama kitakua na Amani sana. Chadema ya zamani ilikua haina migogoro hata mtu alikua akiondoka kwenye chama anaondoka kimya kimya tangia zitto aibuke ni makelele tu. Hafai kuwa CHADEMA aende CCM atapata hivyo vyeo anavyovitaka kwa haraka.